Yanga Yaipiga Mbeya City 2-1, Makambo Kama Kawa
KIKOSI cha Yanga leo kimefanikiwa kushinda bao 2-1 dhidi ya Mbeya City katika Uwanja wa Sokoine ambayo yamefungwa na Heritier Makambo dakika ya 15 a na 41 kipimdi cha kwanza mbaye kwa sasa anafikisha mabao 11 kwenye orodha ya wafungaji.
Bao la Mbeya City lilifungwa na Iddy Seleman dakika ya 23 kwa kichwa akiwa katikati ya mabeki wa Yanga Kelvin Yondani na Abdalah Shaibu.
Kikosi cha timu ya Yanga kilikuwa ni
1. Kabwili
2. Godfrey
3. Gadiel
4. Shaibu
5. Yondani
6. Feisal
7. H. Moshi
8. Ajibu
9. Ngassa
10. Makambo
11. Tambwe
WAKOKOTOAJI 6 WA ZIADA.
1. Kindoki
2. Abdul
3. Kaseke
4. Buswita
5. Jafarry
6. Maka
PICHA NA MUSA MATEJA | GPL
Comments are closed.