The House of Favourite Newspapers
gunners X

Yanga Yamsajili Mshambuliaji Mwanengo kutoka TRA United

0

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Emmanuel Samuel Mwanengo kutoka TRA United.

Mwanengo (22) raia wa Tanzania amesaini mkataba wa miaka miwili.

Leave A Reply