Tetemeko jingine la ardhi lenye ukubwa wa ritcha 6.8 limekumba Myanmar na kuuwa takribani watu watatu na kujeruhi wengine 20 huku likiharibu vibaya makazi ya watu na maeneo ya kuabudu.
Watu watatu wameripotiwa kufariki katika tetemeko hilo ambalo lilisikika mpaka mji wa Bangkok nchini Thailand na Dhaka nchini Bangladesh.
Zaidi ya watu elfu moja waliokua wanasheherekea sherehe za kibudha wameathiriwa na tetemeko hilo.
#burma #earthquake #damage it sounds like there is no one injured here. pic.twitter.com/whmtaTQtps
— Dave (@DaveInOsaka) August 24, 2016