Mshambuliaji, Antoine Griezmann ndiye mwanasoka anayependwa zaidi na mashabiki katika Ligi Kuu Hispania.
Mshambuliaji nyota wa FC Barcelona, Luis Suarez ameteuliwa kuwa mwanasoka bora wa dunia kwenye La Liga.
Kiungo wa Real Madrid, Luka Modric ameshinda tuzo ya kiungo bora wa La Liga kwa msimu wa 2015-16.
Mshambuliaji Bora wa Ligi Kuu Hispania, La Liga ni Muargentina, Lionel Messi ambaye ni nahodha namba mbili wa FC Barcelona.
Comments are closed.