MKUTANO mkuu wa kitaifa wa Jukwaa la Katiba Tanzania leo umejadili mambo mbalimbali yakiwemo pia masuala ya maslahi ya Zanzibar Katika Mchakato wa Katiba Inayopendekezwa.
Mkutano huo ulianza jana na kumalizika leo katika Hoteli ya Land Mark, Ubungo jijini Dar es Salaam, ambapo wazungumzaji mbalimbali walitoa mada na kuwasilisha mapendekezo yao akiwemo mwanasheria wa zamani wa Zanzibar mwaka tangu mwaka 2011 hadi 2014, Othman Masoud, aliwasilisha mada mbalimbali juu ya mkutano huo.
Kwa taarifa kamili tembelea www.globaltvtz.com.
Na Denis Mtima/GPL.
Comments are closed.