The House of Favourite Newspapers

Shilole Kutoka na Kigoli

0
Mwanamuziki mwenye jina hapa Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’.

MWANAMUZIKI mwenye jina hapa Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameibuka na kusema kuwa yupo mbioni kutoa Ngoma ya Kigoli mwishoni mwa mwezi huu ambao utakuwa na ma­hadhi ya Afropop.

Shilole ambaye amewahi kutamba na nyimbo zake kadhaa zikiwemo Say My Name, Hatutoi Kiki, Malele na nyinginezo kibao, amese­ma ngoma hiyo ina ujumbe mzuri kwa jamii hivyo mashabiki wake wajiandae kuipokea.

“Natarajia kutoa wimbo mpya mwishoni mwa mwe­zi huu, nimeimba mahadhi ya Afropop naamini uki­toka tu na watu wakiusikia utakuwa funzo kwa jamii kutokana na ujumbe uli­omo humo,” alisema Shilole.

STORI: KHADIJA MNGWAI | CHAMPIONI

Kumbe Top 5 Ya Wasanii wa BSS 2015, Waliachwa Kwenye Mataa,Ukweli Huu Hapa

Leave A Reply