The House of Favourite Newspapers

Maimartha Kujifungua Live Instagram

0
Maimartha Jesse ‘Mai’

MTANGAZAJI maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ambaye hivi sasa ni mjamzito, amesema atapenda siku yake ya kujifungua ikifi ka, awe mubashara katika Mtandao wa Kijamii wa Instagram.

 

Tofauti na alivyozoeleka kuwa ni mtu wa ‘viwanja’, siku hizi Mai haonekani tena akijichanganya kama zamani na badala yake amkuwa mtulivu nyumbani.

 

“Ni kweli, nina ujauzito na unanisumbua sana ndiyo maana sionekani siku hizi, siwezi kusema una umri gani ila ninapenda kujifi cha hivi hadi nitakapojifungua na ninapenda siku hiyo nikiwa ninajifungua, niwe live kwenye Instagram,” alisema Mai ambaye mtangazaji wa AzamTV

Leave A Reply