WASTARA AMSHUKURU MAGUFULI KUSAIDIA MATIBABU YAKE
Msanii wa Filamu Bongo, Wastara Juma, jana alifika katika ofisi za Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt.Harrison Mwakyembe jijini Dodoma kumshuruku Rais John Magufuli kwa msaada aliompa kufanikisha matibabu yake ya mguu nchini India katika hospitali ya Saifee Februari mwaka huu ambapo alisema sasa afya yake imeimarika.
Comments are closed.