Maadhimisho Ya Siku Ya Usalama Kazini, Tigo Yagawa Zawadi Kwa Wateja Wake
Meneja Mauzo wa Tigo Mkoa wa Arusha, Ryami Fatala akimkabidhi zawadi ya simu mkazi wa Arusha, John Mtaka katika maadhimisho ya Siku ya Usalama Makazini yaliyofanyika Mjini Arusha.