Rais wa Zamani Bolivia Ajaribu Kujiua Jela
RAIS wa zamani wa mpito wa Bolivia Jeanine Anez amefanya jaribio la kujiua akiwa jela siku moja baada yakufunguliwa mashtaka ya "mauaji ya halaiki" kutokana na vifo vya waandamanaji vilivyotokea mwaka 2019.
Mmoja ya mawakili wa…