The House of Favourite Newspapers

AGGREY & CLIFFORD WAJISHINDIA TUZO YA DHAHABU KUPITIA KAMPENI YA VODACOM

0
Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao(wanne kushoto) na Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Aggrey & Clifford,Rashid Tenga(watano kushoto)wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wao wakati wa hafla ya kukabidhiwa Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 nchini Singapore iliyotokana na tangazo la kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma,Tangazo hilo lililotengenezwa na kampuni ya Aggrey & Clifford,Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia(kushoto)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa hafla ya kukabidhiwa Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 nchini Singapore iliyotokana na tangazo la kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma,Tangazo hilo lililotengenezwa na kampuni ya Aggrey & Clifford,Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam,Katikati Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo,Ian Ferrao na Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Aggrey & Clifford,Rashid Tenga.
Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 nchini Singapore iliyotokana na tangazo la kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma lililotengenezwa na kampuni ya Aggrey & Clifford,Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam,Wanaoshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo,Rosalynn Mworia na Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Aggrey & Clifford,Rashid Tenga.
Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC,Ian Ferrao( katikati) akikabidhiwa na Afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya Aggrey & Clifford,Rashid Tenga,Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 nchini Singapore iliyotokana na tangazo lililotengenezwa na kampuni hiyo kwa niaba ya Vodacom kuhusiana na kampeni ya kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma,Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam,Anaeshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia.

 

Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC,Ian Ferrao amekabidhiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Aggrey & Clifford, Rashid Tenga,Tuzo ya kimataifa ya dhahabu kutoka Spike Asia Festival of Creativity 2017 Nchini Singapore iliyotokana na tangazo lililotengenezwa na kampuni hiyo kwa niaba ya Vodacom kuhusiana na kampeni ya kuuza sehemu ya hisa za kampuni hiyo kwa Umma.

 

Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam, na imeshuhudia  na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia  na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari.

 

 

Leave A Reply