Video: Ajali Arusha Yaua Watu 5 Wakitoka Kwenye Mnada – Daladala Iliigonga Gari Ya Mbao
Kufuatia ajali iliyohusisha daladala iliyokuwa inatoka mnadani na lori la magogo jijini Arusha na kusababisha vifo vya watu takribanmi watano, shuhuda wa ajali hiyo anasimulia jinsi hali ilivyokuwa.