Angelina Jolie
London, Uingereza
Staa wa filamu, Angelina Jolie amesema kuwa anampinga mgombea urais wa chama cha Republican kuwakataa Waislam wakati Marekani inajengwa na watu wote.
Donald Trump.
Angelina alisema kuwa anamshangaa sana mtu ambaye anatarajia kuwa rais wa nchi na tajiri mkubwa kuwagawa watu na kwenda mbali kwa kusema kuwa, yeye anavyoona haendani na mawazo yake kabisa.
“Kwangu mimi Amerika imejengwa na watu wa aina zote bila kujali kabila wala dini, tumekuwa huru siku zote, hasa uhuru wa kuabudu. Sasa inashangaza sana kusikia mtu ambaye anatarajia kuwa rais wa Marekani anasema maneno ya kibaguzi kama hayo,” alisema Jolie.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz