Anna Banner ageukia ujasiriamali
Miss Nigeria, 2012, Anna Ebiere Banner.
ALIYEWAHI kuwa Miss Nigeria, 2012, Anna Ebiere Banner ameamua kuachana na urembo na kugeukia ujasiriamali.
Staa huyo ambaye yupo kimahusiano na nyota wa muziki kutoka Nigeria, Mr. Flavour kupitia ukurasa wake wa Instagram alitupia picha za mabegi na kuandika maneno yaliyosomeka;
“Habari wapendwa! Nina vitu naviuza, asanteni kama mmevutiwa navyo.”
Anna kwa sasa ana mtoto mmoja wa kike, Sophia aliyejifungua hivi karibuni na Mr. Flavour.
Comments are closed.