Ini Edo aangusha maombi ukumbini
Mkongwe wa filamu Nollywood, Ini Edo.
MKONGWE wa filamu Nollywood, Ini Edo juzi kati ‘aliwasapraiz’ mashabiki wake kwa kuangusha maombi mfululizo kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa rafiki yao ambaye pia ni msanii, Oge Okoye.
Ini Edo aliangusha maombi hayo wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na Oge ambapo mchana wake waliutumia kwa kuzunguka na boti.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Ini Edo alitupia picha zote za tuki hilo na nyingine akiwa na marafiki zake Rukky Sanda, Tana Adelana, Ebube Nwagbo na wengine wengi.
Comments are closed.