The House of Favourite Newspapers

Aunt Ezekiel Afungukia Nyumba Ya Kupanga

Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel.

BAADA ya kuandamwa mitandaoni kuwa tangu amekuwa staa bado anaishi nyumba za kupanga maeneo ya Kijitonyama jijini Dar, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefungukia madai hayo kuwa wengi wanaongea bila kujua undani wa maisha yake.

 

Akizungumza na Star Mix, Aunt alisema ameamua kuishi maisha ya kupanga kwa sababu ya ukaribu na kazi zake na kama ni nyumba yake ipo maeneo ya Kigamboni.

 

“Nawashangaa sana wanaosema hivyo. Nimepanga katikati ya mji ili nifanye kazi zangu kwa wepesi na kama ni nyumba mbona ninayo Kigamboni?” Alihoji Aunt ambaye ni mzazi mwenza na Moze Iyobo.

Stori: Imelda Mtema

LIVE: BIRTHDAY YA WOLPER! Mtazame Akikata Nyonga za Kufa Mtu!

 

LIVE: Birthday ya WOLPER! Alivyoingia Ukumbini kwa Mbwembwe!

 

Comments are closed.