BARABARA za kuingia na kutoka katika Stendi ya Daladala ya Makumbusho, Dar es Salaam zimeendelea kujengwa tofauti na awali zilivyokuwa zikionekana kuwa kero kwa waendeshaji wa vyombo vya usafiri.
Mtandao huu umeshuhudia baadhi ya sehemu ya miundombinu hiyo ikiwa tayari imewekwa kokoto na sehemu nyingine ujenzi ukiendelea.
Comments are closed.