The House of Favourite Newspapers

Bei ya mafuta nchini Kenya yapanda kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa

0
Mkurugenzi Mkuu wa EPRA Daniel Bargoria

NAIROBI – Wakenya kuanzia Jumatatu wameanza kulipia bei ya juu wanaponunua bidhaa za petroli kufuatia tangazo la bei mpya iliyotangazwa na mamlaka inayodhibiti bidhaa hiyo (EPRA).

Kila tarehe 14 ya kila mwezi, mamlaka hiyo hutangaza bei mpya ya mafuta. Mwezi huu, bei ya Super Petrol, imeaongezeka kwa Shilingi za nchi hiyo 3.40 kwa lita moja.

Nayo bei ya mafuta aina ya Disel, imeongezeka kwa Shilingi 6.40 huku mafuta taa bei ikiongezeka kwa Shilingi 15.19 kwa lita. Kwa sasa, bei ya petroli jijini Nairobi inauzwa kwa shillingi 182.70

Mkurugenzi Mkuu wa EPRA Daniel Bargoria amesema kupanda kwa mafuta, kumechangiwa na kuongeza kwa gharama ya uigizaji na usafirishaji wa mafuta kutoka soko la kimataifa.

Bargoria ametolea mfano uaangizwaji wa mafuta ya Super Petrol nchini Kenya kuongezeka kwa 8.63% mwezi Machi 2023.

Aidha, ongezeko hili limekuja baada ya serikali kuondoa ruzuku kwenye diseli na mafuta taa.

Hatua hii inakuja wakati huu wananchi wa taifa hilo kubwa kiuchumi, likikabiliwa na kupanda kwa gharama ya maisha na ongezeko hilo, linatarajiwa kusababisha kupanda kwa bei ya bidhaa mbalimbali.

Waziri wa nishati Davis Chirchir amesema hali hiyo imesababishwa kwa kiasi kikubwa na hatua iliyochukuliwa mapema mwezi huu na Saudi Arabia na Russia, wazilashaji wakubwa wa mafuta duniani, kwa kupunguza uzalishaji wa bidhaa hiyo, hatua ambayo ilisababisha bei ya mafuta ghafi kupanda kwenye soko la kimataifa

Mtwara: RAIS SAMIA ATINGA AIRPORT ya MTWARA KUSHUHUDIA KAZI KUBWA ILIYOFANYIKA…

{
“ns”: “yt”,
“el”: “detailpage”,
“cpn”: “jaHReZPRuEgGr3x5”,
“ver”: 2,
“cmt”: “2692.22”,
“fmt”: “243”,
“fs”: “0”,
“rt”: “2463.194”,
“euri”: “”,
“lact”: 1,
“live”: “dvr”,
“cl”: “564805759”,
“mos”: 0,
“state”: “4”,
“volume”: 100,
“subscribed”: “1”,
“cbr”: “Firefox”,
“cbrver”: “117.0”,
“c”: “WEB”,
“cver”: “2.20230913.04.00”,
“cplayer”: “UNIPLAYER”,
“cos”: “Windows”,
“cosver”: “10.0”,
“cplatform”: “DESKTOP”,
“delay”: 5,
“hl”: “en_GB”,
“cr”: “TZ”,
“fexp”: “v1,23983296,2736,18612,2602,73492,54572,73455,160066,2567,44892,23071,70414,14323,19571,5816,973,3581,5288,1089,4973,962,14,322,965,2235,130012,26306256,26,171,136,840,2371,536,1253,677,612,243”,
“afmt”: “140”,
“lio”: “1694761970.012”,
“muted”: “0”,
“docid”: “kLFsI086xn8”,
“ei”: “cg4EZfXVIPqOxN8PvoigoAY”,
“plid”: “AAYFYSVz6O66Azx0”,
“referrer”: “https://www.youtube.com/@globaltv_online”,
“sdetail”: “p:/@globaltv_online”,
“sourceid”: “y”,
“of”: “ShmeZmSqYILjkkavJEvV-A”,
“vm”: “CAEQARgEOjJBQWpSVTZud0JnS2dPTWhiWnRzenJweGducUU1OURTdTJmWmtrVG85Q3o3SlBCaERyQWJaQVBta0tESkU4X1M1ejRaTW1aNWR2QVRTNVU5YzFOMW96cFQwQXJvNVplSWdOSTdEZy1fMkMyTzF5VEpVLVRidVRDOG11QVE3VTdJTTRnaFR1LXhia1hndTN3aAE”,
“vct”: “2692.220”,
“vd”: “6275.078”,
“vpl”: “2690.190-2692.220”,
“vbu”: “2690.090-2815.071”,
“vpa”: “1”,
“vsk”: “0”,
“ven”: “0”,
“vpr”: “1”,
“vrs”: “4”,
“vns”: “2”,
“vec”: “null”,
“vemsg”: “”,
“vvol”: “1”,
“vdom”: “1”,
“vsrc”: “1”,
“vw”: “709”,
“vh”: “399”,
“lct”: “2692.220”,
“lsk”: false,
“lmf”: false,
“lbw”: “1016997.076”,
“lhd”: “0.191”,
“lst”: “2423.700”,
“laa”: “itag_140_type_3_src_updateWithSegmentInfo_segsrc_updateWithSegmentInfo_seg_562_time_2810.1-2815.1_off_0_len_81996_end_1”,
“lva”: “itag_243_type_3_src_updateWithSegmentInfo_segsrc_updateWithSegmentInfo_seg_562_time_2810.1-2815.1_off_0_len_142498_end_1”,
“lar”: “itag_140_type_3_src_mlLiveCreateReqInfoForSeg_segsrc_updateWithSegmentInfo_seg_562_time_2810.1-2815.1_off_0_len_90000_end_1”,
“lvr”: “itag_243_type_3_src_mlLiveCreateReqInfoForSeg_segsrc_updateWithSegmentInfo_seg_562_time_2810.1-2815.1_off_0_len_148000_end_1”,
“laq”: “0”,
“lvq”: “0”,
“lab”: “2690.078-2815.071”,
“lvb”: “2690.090-2815.082”,
“ismb”: 1600000,
“latency_class”: “NORMAL”,
“segduration”: 5,
“lat”: 19.44170379638672,
“relative_loudness”: “NaN”,
“optimal_format”: “360p”,
“user_qual”: 0,
“release_version”: “youtube.player.web_20230910_00_RC02”,
“debug_videoId”: “kLFsI086xn8”,
“0sz”: “false”,
“op”: “”,
“yof”: “false”,
“dis”: “”,
“gpu”: “ANGLE_(Intel,_Intel(R)_HD_Graphics_Direct3D11_vs_5_0_ps_5_0)”,
“debug_playbackQuality”: “medium”,
“debug_date”: “Fri Sep 15 2023 11:38:43 GMT+0300 (East Africa Time)”,
“timestamp”: 1694767123659
}

Leave A Reply