Bodi Ya Filamu Yawashushia Rungu Wawekea Picha Za Ngono Kwa Abiria
Bodi ya Filamu Tanzania leo imetangaza kuchukua hatua kali kwa wenye vyombo vya usafiri kama vile mabasi ya abiria na vyombo vingine watakaobainika kuwawekea abiria wao filamu zisizo na maadili.
Akizungumza na wanahabari Kaimu Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini, Dkt. Kiango Kilonzo amesema sasa hawatawafumbia macho wanaoendelea kufanya hivyo.
Comments are closed.