The House of Favourite Newspapers

Breaking: Abdul Nondo Asimamishwa Masomo Chuo Kikuu

 

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa William Anangisye, amemsimamisha masomo Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo hadi kesi yake ya kutoa taarifa za uongo mitandaoni na kudanganya kutekwa itakapomalizika.

 

Nondo alipewa dhamana na mahakama ya Iringa, jana Jumatatu,Machi 2018 baada ya kusota rumande kwa wiki kadhaa.

TAARIFA YA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM

BREAKING: Hatimaye Nondo Kapewa Dhamana Leo

Comments are closed.