Breaking: CCM Yampitisha Mwinyi Kugombea Urais Zanzibar

MKUTANO wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa umemteua Dkt. Hussein Mwinyi kuwa mgombea urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
1. Dkt Hussein Ali Hassan Mwinyi alipata kura 129 (78.65%)
2. Dkt Khalid Salim Mohamed -kura 19 (11.58%)
3. Shamsi Vuai Nahodha -kura 16 (9.75%).

