BREAKING: MAKONDA Akikabidhi Mabasi kwa Jeshi – Video
Share
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amekabidhi mabasi kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ na vyombo vya ulinzi na usalama. JWTZ wamempongeza RC Makonda kwa jitihada ambazo amezichukua kwa ajili ya kuboresha usafiri na miundombinu.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.