Breaking News: Mwandishi Aokotwa Akiwa Hajitambui, Jijini Dar
Mwandishi wa gazeti la The Guardian, Finnigan Simbeye ameokotwa asubuhi ya leo kwenye eneo la Bunju Dar akiwa hajitambui na akiwa na majeraha.
Taarifa kutoka kwa mashuhuda inasema mwandishi huyo ameokotwa akiwa na hali mbaya na mjitihada za kufikisha hospitali zilikuwa zinafanyika haraka.
Kitambulisho cha mwandishi huyo kilichokutwa katika moja ya mifuko ya nguo zake wakati alipokutwa eneo hilo.
Comments are closed.