BREAKING: Uzinduzi wa Bongostar Search – VIDEO
PRODUCER mkongwe wa muziki Master J na mtangazaji Ritha Paulsen au maarufu kama “Madam Ritha” ambao pia ni majaji wa Shindano la Bongo Star Search (BSS), wamejibu mapigo kwa watu ambao wamekuwa wakiisema vibaya kuhusu baadhi ya wasanii wanaotoka kwenye shindano hilo kushindwa kufanya vizuri kwenye soko la muziki kwa muda mrefu.
Comments are closed.