
Browsing Category
Afya
Hizi Ndizo Sababu za Upungufu wa Nguvu Za Kiume… Dokta atoa Ushauri Huu
Kwa kawaida mwanaume ili uume uweze kufanya kazi uhitaji ushirikiano wa mifumo minne.
Kwanza ni mfumo wa mishipa ya damu ambao huingiza damu katika uume, mfumo wa neva za fahamu ambao hutoa taarifa kutoka kwenye ubongo hadi kwenye…
Kwa Nini Kula Karoti ni Muhimu kwa Afya ya Macho
Karoti zinajulikana sana kwa maudhui yake ya juu ya vitamini A, virutubisho muhimu kwa afya ya macho. Vitamini A ni vitamini mumunyifu wa mafuta ambayo ina jukumu muhimu katika kudumisha kornea, safu ya nje ya jicho.
Bila vitamini A ya…
Dalili za Kiharusi cha Ubongo Kila Mtu Anapaswa Kuzijua
Ubongo wa mwanadamu ni kiungo muhimu ambacho kinategemea usambazaji wa damu unaoendelea. Kutatizika kwa mtiririko wa damu kunaweza kukata oksijeni muhimu na glukosi kwenye ubongo na kusababisha kifo cha ubongo ndani ya dakika chache.…
Fahamu Vyakula vya Kuondoa Gesi Tumboni au Kusaidia Tumbo Kujaa
Watu wengi wamekuwa wakiniomba mada hii japo nilishawahi kuitoa huko nyuma baada ya kuhangaika sana na matumbo yao kujaa gesi na pengine kuvimba. Leo hii nitairudia kwa kuletea baadhi ya vyakula vya kuondoa hili tatizo kama linakusumbua…
Fahamu Tatizo la Vidonda vya Tumbo kwa Mjamzito
MJAMZITO anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito. Umakini unahitajika sana katika kumchunguza mama mjamzito ili kuelewa nini kitakuwa ndiyo chanzo cha vidonda vya tumbo kwake. Mwanamke ambaye ulikuwa unaumwa vidonda…
Ifahamu figo yako inavyoweza kuharibika
LEO tutakuelimisha kuhusu chanzo cha maradhi ya figo na tutakueleza dalili zake ili ufahamu jinsi ya kujikinga. Figo ni sehemu ya kiungo cha mwilini (ogani) inayoshirikiana na moyo, kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na…
Marekani Yajiondoa Rasmi WHO, Trump Atekeleza Amri ya 2025
Marekani imejiondoa rasmi katika Shirika la Afya Duniani (WHO) jana, Alhamisi, Januari 22, 2026, ikiwa ni utekelezaji wa amri ya Rais Donald Trump aliyoitoa siku ya kwanza ya kuingia kwake madarakani mwaka 2025.
Uamuzi huo unakuja…
Fahamu Jinsi Umeme wa Mwili Unavyoendesha Maisha Yetu ‘Unaweza Kukuua’
Binadamu wengi huufikiria umeme kama kitu kinachotoka kwenye nyaya, transfoma au radi. Hata hivyo, ukweli usiofahamika na wengi ni kwamba kila binadamu ana umeme ndani ya mwili wake. Umeme huu wa asili kitaalamu ukiitwa bioelectricity…
Hizi Hapa Faida saba za Tango Mwilini Mwako
HAWANA makosa wale waliosema kuwa mboga za majani na matunda ni kinga kwa afya yako. Matunda mengi yana manufaa lakini tango linaonekana kutia for a kwa manufaa katika mwili wa binadamu. Tango ni aina ya tunda jamii ya tikitimaji kwani…
Fahamu Faida 7 Muhimu za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki
Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla. Kwa mujibu wa Healthline, juisi ya karoti ina kalori chache na wanga mdogo lakini ina…
Mboga 5 za Mizizi Zinazofanya Macho Yako Kuangalia Vizuri Kila Siku!
Vyakula vyenye antioxidants na vitamini vina mchango mkubwa katika kulinda afya ya macho. Kwa mujibu wa Dkt. Duong Minh Phuc kutoka High-Tech Eye Center katika Hospitali ya Tam Anh, Ho Chi Minh City, ulaji sahihi wa vyakula hivi husaidia…
Mambo 10 Muhimu Aliyoyasema Waziri Makonda Alipokabidhiwa Ofisi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ametoa kauli nzito jana wakati wa hafla ya kukabidhiwa ofisi kutoka kwa mtangulizi wake Profesa Palamagamba Kabudi, akieleza mwelekeo wake wa uongozi na matarajio kwa…
Matatizo ya Afya Yanayosababishwa na Maji Kupita Kiasi Mwilini
Maji ni muhimu sana kwa afya ya binadamu, lakini kama mwili ukiwa na maji mengi kuliko inavyohitajika, hali hii inaweza kusababisha matatizo makubwa kiafya. Hapa tunazungumzia hasara kuu zinazoweza kutokea kutokana na kuchukua au…
Soma Maajabu ya Kitunguu Maji: Lishe Asili Yenye Faida Kubwa kwa Afya
Kitunguu maji, kinachojulikana pia kama green garlic, ni mojawapo ya mimea yenye nguvu ya lishe na faida nyingi za kiafya. Mbali na kuongeza ladha kwenye chakula, kitunguu maji kina mali zinazosaidia mwili kwa njia zisizo za kawaida.…
Fahamu Kwa Nini Wataalamu wa Lishe Wanashauri Kula Korosho Mara kwa Mara
KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara, Lindi na Pwani. Wengi wetu hatuli korosho na hata pale tunapokula, hula kama kitafunwa cha kuchangamsha mdomo…
Serikali Yazalisha Ajira Zaidi ya 1,400 Nje ya Nchi kwa Vijana na Wanawake
Serikali imefanikiwa kuzalisha ajira zaidi ya 1,400 za vijana na wanawake kwenda kufanya kazi nje ya nchi katika kipindi cha mwezi Novemba 2025 hadi sasa ikiwa ni matokeo ya mahusiano mazuri yalipo kati ya Tanzania na nchi za nje ili…
Faida za Kula Ufuta Kila Siku kwa Afya ya Mwili, Siri Nzito Ipo Hapa
UFUTA au kitaalamu Sesamum indicum, hustawi na hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania ya Lindi, Mtwara na sehemu ya mkoa wa Ruvuma, Tunduru.
Hata hivyo, tafiti mbalimbali za ndani na nje ya nchi, zinaonesha kuwa ulaji wake ni…
Jinsi Ya Kudhibiti Kupanda Kwa Shinikizo La Damu
Shinikizo la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira unaoweza kujazwa hewa. Ukanda huo hufungwa kwenye sehemu ya juu ya mkono na kuunganishwa na kifaa cha kurekodi shinikizo.…
Faida 5 za Maji ya Limao Ambazo Watu Wengi Hawazijui
Maji ya limao ni kinywaji rahisi kinachotengenezwa kwa kuchanganya maji na juisi ya limao mbichi. Kunywa maji ya limao kila siku kunaweza kusaidia kuboresha afya kwa ujumla kwa kutoa virutubisho muhimu, kuimarisha kinga ya mwili na…
Mwanaume Afariki Baada ya Kufuata “tiba” ya Mtandaoni, Familia Yafunguka
Mwanaume mwenye umri wa miaka 47 nchini Vietnam amefariki dunia baada ya kuacha kutumia dawa zake za shinikizo la damu na badala yake kufuata ushauri alioupata kwenye mitandao ya kijamii. Ushauri huo ulimtaka anywe maji ya limao yenye…
Sababu Kuu za Maumivu ya Tumbo kwa Wanawake
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake yanaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali mwilini yanayoweza kuwa sehemu yenye maumivu au sehemu nyingine mbali na maumivu yalipo.
Kuna Visababishi vingi ambavyo vinaweza kuwa vya kuhitaji…
Ridhiwani Kikwete Aitaka Sekretarieti Ya Ajira Kuharakisha Kuweka Wazi Mchakato Wa Ajira 12,000…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameitaka Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuharakisha na kuweka wazi mchakato wa ajira…
Mambo Sita Yasiyopaswa Kufanywa Wakati Wa Ujauzito… Soma Hapa
Kuna mambo mengi yasiyopaswa kufanywa na mjamzito na leo tutadodosa baadhi kama ifuatavyo:
Kunywa Pombe
Mwanamke mjamzito hapaswi kunywa pombe. Unywaji wa pombe kwa mjamzito husababisha mjamzito kujifungua kabla ya muda, kuzaa…
Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025: NMB Yaahidi Kuongeza Ubunifu
Benki ya NMB jana ilizindua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja, huku ikiahidi kuboresha zaidi huduma zake na kusisitiza dhamira yake ya kuendelea kuwa kinara wa huduma bunifu, jumuishi, na zinazokidhi mahitaji…
Kwa Nini Supu ya Kongoro Ni Maarufu? Hizi Ndizo Sababu
Supu ya kongoro ni moja ya vyakula vinavyopendwa sana barani Afrika, hususan Tanzania, ambapo mara nyingi huliwa hasa asubuhi au baada ya shughuli nzito. Licha ya ladha yake tamu, supu hii pia imejipatia umaarufu kwa sifa zake kiafya na…
Elewa Kinachosababisha Kuwa na Kizunguzungu (Dizziness)
Kizunguzungu kisichofahamika chanzo (Benign Paroxysmal Positional Vertigo) – Kizunguzungu hiki hakina athari kubwa kwa maisha ya muhusika. Aina hii ya kizunguzungu hakifahamiki chanzo chake (idiopathic), kwa lugha nyepesi tungesema cha…
Fahamu Hatari Kubwa Itokanazo na Mtu Kulala Usinginzi Kupindukia
WAKATI huu mgumu wa janga la virusi vya corona wengi ulimwenguni wamelazimika kutumia muda wao mwingi kukaa majumbani mwao ili kujikinga na maambuzi.
Sio kwa kutaka bali baadhi ya serikali zimetumia njia ya kuweka marufuku…
Exim Bank Tanzania, JKCI Zashirikiana Kuimarisha Afya Ya Wafanyakazi
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania, Stanley Kafu (kushoto), Afisa Masoko Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Irene Mbonde, na Mkurugenzi wa hospitali ya JKCI-Dar Group, Dk. Tulizo Shem wakiwa katika picha ya…
Mipango Na Mikakati Ya Muhimbili Imefungamanishwa Na Matarajio Ya Dira Ya Taifa 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambayo pia ni Hospitali ya Ubingwa Bobezi nchini, Dkt. Delilah Kimambo amesema mipango na mikakati ya hospitali hiyo imefungamanishwa na matarajio ya Dira ya Taifa ya Tanzania ya…
Njia 7 Rahisi Zinazosaidia Kwa Tiba ya Mafua Msimu wa Baridi Kali
Mwili unahitaji kuwa na kinga ya kutosha ili kakabiliana na maradhi mbalimbali hasa mafua ambayo huwapata watu mara nyingi katika mazingira yenye baridi na vumbi.
Muhimu zaidi katika kukabiliana na mafua ni mtu kuzingatua usafi na…
Fahamu Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Kike
BAADA ya kuandika makala yangu kuhusu madhara anayoweza kupata mtu kwa kutofanya tendo la ndoa, nimepokea maswali mengi huku wengi wao wakitaka kujua zaidi kuhusu masuala ya uzazi ikiwemo mambo yanayosababisha kupata mtoto wa kiume ama…
Fahamu Namna ya Kulala Vizuri Wakati wa Ujauzito
MOJA ya mambo muhimu licha ya hali unayopambana nayo kama mjamzito ni ambavyo unalala hasa katika miezi mitatu ya mwisho ya ujauzito. Unaweza kulala kwa upande wako wa kulia na kushoto lakini chali? Hapana na hata usithubutu.
Kulala…
Magonjwa 10 Yasababishayo Maumivu Ya Tumbo Kwa Mjamzito
LEO nitakufahamisha sababu 10 zinazosababisha maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito kwani ni mojawapo ya matatizo yanayolalamikiwa na kinamama wengi wajawazito.
Kuna matatizo mengi ambayo yanasababisha maumivu…
Zijue Athari za Kula Chipsi, Moja Kati ya Chakula Pendwa Zaidi Duniani
KIUKWELI katika vyakula vitamu duniani na vinavyopendwa haswaa na watu duniani usiposema chipsi utakuwa mtu waajabu sana. Chipsi haziliki bongo tu ata ughaibuni chips zinalika sana na zinapendwa haswaa, chipsi zinaenda na vitu vingi…
Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuamua Kubeba Mimba!
MAANDALIZI kabla ya ujauzito yanasaidia kumwezesha mama kuwa na afya bora wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua na kumwezesha kuzaa mtoto mzuri na mwenye afya. Mambo haya hayaji kwa kujipanga ukishapata mimba bali ni kabla ya…
Haya Husababisha Mwanamke Kukosa Hedhi (Amenorrhea)
WANAWAKEwengi wamekuwa wakikosa hedhi na hali hiyo imekuwa ikiwaletea usumbufu mwingi wa kisaikolojia kwa waliowahi kukumbana na tatizo hilo.Tatizo la kukosa hedhi au kitaalamu amenorrhea linaweza kutokea awali kabisa (primary) au…
Athari za Kunywa Pombe kwa Mjamzito … Soma Hapa
KATI ya mambo ambayo wanawake wengi hawatilii maanani sana ni unywaji wa pombe wakati wa ujauzito licha ya kushauriwa na madaktari. Wengi tumekuwa tukiona wajawazito wakinywa pombe. Mara nyingi huwa nashauri kuacha pombe kabisa wakati…
Sababu 10 za Maumivu ya Tumbo Kwa Wajawazito Wakati wa Miezi Mitatu ya Kwanza
WAJAWAZITO wengi huugua wakati wakiwa na ujauzito. Zipo Sababu zinazofanya kutokea kwa maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya kwanza ya mimba.
Kuna matatizo mengi ambayo yanahusiana tu na mimba, hata hivyo ni muhimu kukumbuka…
Sasa Hali Inatisha… Mawazo Yanaua Mamilioni ya Watu
‘USICHUKULIE POA... msongo wa mawazo unaua’. Hiyo ni kauli ya watalaam baada ya kubainika kuwa mtu mmoja kati ya watano anakabiliwa na msongo wa mawazo ambao unaweza kumsababishia magonjwa hatari katika maisha yake. UWAZI linachambua.…
Fahamu Makundi Matatu ya Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo
KUNA makundi matatu makuu ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo na leo tutajadili kwa kina aina hizo za magonjwa haya ya tumbo kama ifuatavyo:
1. Gastric Ulcers: Aina hii ya vidonda vya tumbo hutokea kwenye mfuko wa kuhifadhia chakula yaani…