×

Celebrities

Lulu Diva Anatembea na Roho ya Wema, Mazito Yaibuka!

UKISIKIA ushoga umepamba moto, basi ni huu wa staa mwenye jina kubwa Bongo, Wema Sepetu na mwanamuziki wa kike wa...

READ MORE

Mahakama Kuanza Kusikiliza Maombi ya Lissu Kukamatwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, inatarajia kuanza kusikiliza maombi ya wadhamini wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki,...

READ MORE

Poshy: Mwenye nia ya Kunioa Asihofie Bei!

MMOJA wa warembo wanaotrendi kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti) kutokana na umbo lake matata, ni mwanamitindo msomi Bongo, Jacqueline Obeid...

READ MORE

Mahaba ya Nandy, Harmo Yamtishia Amani Sarah

WAKATI wimbo wao mpya wa Acha Lizame ukiendelea kutikisa kwenye mitandao ya kijamii, redioni na televisheni, picha za kimahaba walizopiga...

READ MORE

Usichokijua Kuhusu Mzee wa Bwax na Uwoya

“WEE nasema kisimu changu laini mbili kinanisevu mamaa… Wee japokuwa kidogodogo kinanisevu babaa… Etii masela tambo hilooo… Ahh new life...

READ MORE

Balaa la Ngoma ya Nandy, Harmo

  BAADA ya Janga la Corona kupungua makali, wasanii nao wanaanza kurudi kwenye reli tena kama zamani. Kwani wasanii wengi...

READ MORE

Kala: Madam Rita ni Mkombozi

STAA wa Hip Hop Bongo anayesumbua na ngoma zake za kiharakati, Jeremiah Masanja ‘Kala’, amesema hakuna kitu kinachomuuma kama kumsema...

READ MORE

Mimba Yampeleka Puta Queen Darleen

MIMBA ya msanii wa Bongo Fleva, Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’, inadaiwa kumpeleka puta, IJUMAA WIKIENDA limedokezwa. Queen Darleen ni first...

READ MORE

Matusi Yamponza Zari!

  KABLA ya kuwachamba Wabongo wiki iliyopita, mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ alichukuliwa kama mfano wa kuigwa kwa...

READ MORE

Kingwendu Ataja Siri Wabongo Kuzidiwa Ujanja Nje

MSANII kunako tasnia ya uche-keshaji hapa nchini, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ amesema kuwa wasanii wa nje wanafanya muvi zao kisomi ndiyo...

READ MORE

Nikki wa Pili: Sifa ya Mahusiano Kufanana – Video

  RAPA maarufu nchini, Nikki wa Pili amesema sifa ya kuhusiana lazima mfanane, huku akitolea mfano kuwa wanywaji wa pombe...

READ MORE

Rasmi: Harmonize Ageukia Ubunge

STAA wa Bongo Fleva, Rajab Abdul maarufu Harmonize, amesema ana mpango wa kugombea Ubunge katika Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara,...

READ MORE

MSANII wa Kongo fleva, kutokea nchini, Kongo, Maarufu kama ‘LaCreamenac’ ameachia wimbo wa OIOIOI

Akizungumza,na Global Publishers alisema kuwa   alizaliwa na kukuzwa katika jamhuriya Kongo, barani Afrika. LaCreamenac alisema Burudani zake anapenda ni pamoja...

READ MORE

Meneja Afunga Mjadala Rayvanny Kujitoa Wasafi

DAR: Miezi kadhaa imepita tangu kusambaa kwa taarifa kuhusu staa wa Bongo Fleva anayeitumikia Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB),...

READ MORE

Aisee King Kiba Ameshindikana!

“EEH kama bahati, sadakalawe… Nimeipata kwako… Baby usinichukulie poa… Mama jitete ohh… Baby mi mti mwema… Nipigwe mawe sababu yako…...

READ MORE

Chameleone, Daniella wagonga miaka 12 ya ndoa

KATIKA ujumbe wake kwa mkewe, Daniella mapema wiki hii, mwanamuziki mwenye mafanikio makubwa Afrika Mashariki, Jose Chameleone amemshukuru mno mama...

READ MORE

Wolper: Nimetukanwa Sana, Namwachia Mungu

DAR: Wiki iliyopita kwenye mitandao ya kijamii, kuliibuka tafrani kubwa baada ya staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe...

READ MORE

Esma: Ndoa Yangu Inawaka Moto!

ESMA Khan almaarufu kama Esma Platnumz, ni dada wa supastaa wa Bongo Fleva, Afro- Pop na Afro-Beat, Nasibu Abdul ‘Diamond...

READ MORE

Kiba Ampindua Mondi, Harmo Kibabe!

DAR: Mara paap! Mwenye muziki wake huyu hapa, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ ameibuka na kuwapindua vibaya wenzake; Nasibu Abdul...

READ MORE

Exclusive: Kingwendu Autamani Ubunge Tena!

UKISIKIA; “Aluuu kukuruka mwanangu, helohelo, tupate raha duniani!” Hii ni saini inayomtambulisha komediani mkongwe Bongo, Kingwendu Ngwendulile. Jina lake halisi...

READ MORE

Kingwendu Aibuka na Jeuri ya Pesa!

MWIGIZAJI nguli wa vichekesho Bongo, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’, ameibuka na kuonesha pesa na utajiri wake anaomiliki uliotokana na kazi yake...

READ MORE

Meja Kunta Aasikitika Uchumba wa Wolper

MWANAMUZIKI anayefanya poa kwenye muziki wa Singeli Bongo, Khalid Sadick ‘Meja Kunta’, amefunguka juu ya kusikitishwa kwake na kile kilichotokea...

READ MORE

Alikiba Ataja Sababu ya Dodo na So hot Kushutiwa Zanzibar – Video

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’ leo Juni 10, 2020 amefunguka sababu iliyopelekea wimbo wake...

READ MORE

Tanasha, Mama D, Vijembe Vyaanza!

  CHOKOCHOKO zimeanza! Hicho ndicho kinachoendelea kwa sasa kati ya mama mzaa chema wa mwanamuziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond...

READ MORE

Mtoto wa Harmonize Azua Balaa Zito!

  DUNIA ina mambo kama alivyowahi kuimba mwanamuziki Seleman Msindi ‘Afande Sele’ akishirikiana Lameck Ditto, Gazeti la IJUMAA WIKIENDA linakuletea...

READ MORE

Stamina Kumuomba Msamaha Mkewe?

MKALI wa Hip Hop Bongo, Bonventure Kabongo ‘Stamina’ amesema suala la kumuoma msamaha aliyekuwa mkewe ni jambo la siri na...

READ MORE

Wapenzi Wa Hadithi za Shigongo Sasa Kuzipata Kwenye Simu

KAMPUNI ya huduma ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kwa kushirikiana na Kampuni ya Global Publishers...

READ MORE

Shilole: Sijatembea na DJ, Presenter, Aje Nitampa Mil 1.5

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed, Shilole amesema hajawahi ku-date na presenter wala DJ wa kituo chochote ili aweze kutusua...

READ MORE

Uchebe Amtaka Shishi Akate Tumbo

ZUWENA Moha-mmed almaarufu Shilole au Shishi Baby ni mwanamama Bongo Fleva amekiri kuwa mumewe, Ashraf Uchebe amemtaka kukata tumbo kutokana...

READ MORE

Lulu Diva Atamba Kuwa Mama Bora

SEXY Lady wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ametamba kuwa yeye ni mama bora (wife material), tofauti na watu...

READ MORE

Amber Lulu Atamani Kuwa Kama Wema

MREMBO mwingine kunako Bongo Flevani, Lulu Eugen ‘Amber Lulu’ anachukizwa na ubonge nyanya alioupata ghafla na sasa anatamani kuwa mwembamba...

READ MORE

Uchumba wa Wolper ni Aibu ya Milele!

KUNA kipindi kinafika haya maisha tuliyonayo sasa hatutakuwa nayo tena hapo baadaye. Kuna umri unafika, unapoteza kabisa mvuto ulionao sasa....

READ MORE

Siri Nje! Aunt Kumnyang’anya Gari Wema

  DAR: Mwanamama wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amezua gumzo kama lote mitandaoni baada ya kuposti picha akiwa amesimama kwenye...

READ MORE

Mondi Amtajirisha Mbosso

DAR : Kwa mambo makubwa aliyoyafanya bwa’mdogo kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Yusuph Mbwana Kilungi ‘Mbosso’, ni dhahiri...

READ MORE

Vanessa Afunguka Kununua Koti la Bil. 4

DAR: Mambo ya fedha! Siku kadhaa zimepita tangu malkia mwingine wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V-Money’ aposti video kwenye ukurasa...

READ MORE

Mzee Yusuf ‘Amkataa’ Dada’ke

  DAR: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jahazi Modern Taarab ambaye alimgeukia Mungu wake na kufikia hatua ya kuwa Alhaj, Mzee Yusuf...

READ MORE

Mr Nice: Muziki Pekee Unaua

MSANII aliyejizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya Bongo miaka ya 2000, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka upyaaa!   Safari...

READ MORE

Kajala Amficha Bwana’ke Kisa Paula!

KAJALA Masanja ni mmoja wa mastaa ambao wana mvuto mkubwa sana ndani ya Bongo Muvi, mara nyingi anapenda kujiita Big...

READ MORE

Kila Kitu Kuhusu Sanchi Kubadili Dini

NI maarufu mno kwenye mitandao ya kijamii. Umaarufu wake umetokana na umbo lake matata linalovunja watu shingo wamuonapo. Mwanzo alijulikana...

READ MORE

Esma: Familia Yetu Haina Tatizo

Baada ya kuwepo habari za hapa na pale kuhusiana na Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Mondi’, kurudisha majeshi kwa mama watoto wake...

READ MORE