×

Celebrities

Shilole: Wolper Anapenda Mwanaume Wenye Hela

BAADA ya msanii wa filamu, Jackline Wolper, kuvishwa pete ya uchumba hivi karibuni, msanii wa muziki na filamu, Zuwena Mohamed,...

READ MORE

Johari: Wasanii wa Sasa Wanakurupuka

MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu nchini, Johari Chagula ”Johari”, amefunguka kuwa wasanii wa sasa hivi hawafanyi kazi kwa weledi...

READ MORE

Gigy: Siwezi Kurudiana na Mo J

MSANII wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’, amesema  hafikirii kurudiana na mzazi mwenzake, Mourad Alpha ‘Mo J,’ kama ambavyo...

READ MORE

Darasa: Njia 6 za Kutengeneza Pesa Mtandaoni – Eric Shigongo

MHAMASISHAJI maarufu Afrika Mashariki na Kati ambaye pia ni mjasiriamali na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo,...

READ MORE

Kauli ya B Dozen Baada ya Kutua EFM

IKIWA tayari siku mbili zimetimia tangu mtangazaji maarufu Hamisi Mandi ‘B Dozen’ kutangazwa rasmi kuwa amejiunga na E-FM & TV-E,...

READ MORE

Kanye Atoa Bil. 4.6 Kumsomesha Mtoto wa George Floyd

IKIWA ni saa chache kupita baada ya kutangazwa na Forbes kuingiza kiasi cha Tsh Bilioni 393.8 kwa mwaka 2020, na...

READ MORE

Ndoa ya siri ya Ben Pol yatikisa

MAZITO yameibuka baada ya kuvuja siri ya ndoa ya mwanamuziki wa Bongo Fleva Benard Paul ‘Ben Pol’, kufunga ndoa ya...

READ MORE

Efm Redio Yamtambua Baba Kama Mshua Masta

Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Baba duniani tarehe 21 june 2020,   EFM redio imezidi kutambua na kuthamini mchango wa...

READ MORE

Ray C Afichua Siri Yake na Kanumba

MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara ya kwanza amefichua siri inayomhusu yeye na msanii mwenzake marehemu...

READ MORE

Esma: Familia yetu haina tatizo

BAADA ya kuwepo habari za hapa na pale kuhusiana na Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Mondi’, kurudisha majeshi kwa mama watoto wake...

READ MORE

Wolper Amfunika Wema kwa Wachumba

    WIKIENDI iliyopita staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe mwenye umri wa miaka 33, amechumbiwa na mfanyabiashara...

READ MORE

Mondi, Zari Ndoa Yanukia

CHINI ya kapeti kuna mambo matamu! Msanii Nasibu Abdul ‘Mondi’ na mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ndoa...

READ MORE

Kisa Jide,Nandy zuchu yamkuta mazito

MREMBO anayekuja kwa kasi kunako anga la Bongo Fleva, Zuhura Kopa ‘Zuchu’ yamemkuta mazito kufuatia shabiki mmoja kutaka asilinganishwe uwezo...

READ MORE

Asha Baraka: Nipo tayari kuajiriwa na Mwinjuma Muumini

AMA kweli aliye juu msubiri chini, ndivyo unavyoweza kuitafsiri kauli ya Mmiliki wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ Asha...

READ MORE

Gigy Afichua Siri Ya Jina Lake

  MSANII wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’, amesema kuwa jina ambalo analolitumia hivi sasa la Gift ni kwamba...

READ MORE

Muna: Sina kinyongo na Wema

MSANII wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna Love’ amesema kuwa hajawahi kuacha kumpenda msanii mwenzake Wema Sepetu licha ya mambo...

READ MORE

Kopa: Nitazeeka mwili, siyo sauti

KATIKA kazi yangu hii ya kuandika na kuhoji mastaa kwa zaidi ya miaka 16, nimekutana na kumuona mara nyingi mno,...

READ MORE

JUX ALIPA ZAIDI YA MILIONI 26

MKALI wa RnB Bongo, Juma Musa ‘Jux’ amesema kuwa yeye ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania wanaolipa kodi kubwa serikalini...

READ MORE

Shamte atishia kumwacha Mama D, Akiona

KUMEKUWA na madai mazito kwamba, mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama Dangote’ amemtuliza...

READ MORE

WASAFI VS KONDE GANG… kamwe namba hazidanganyi

KWENYE maisha ya sasa, unapaswa kuogopa vitu vitatu; Mungu, teknolojia na muda. Fanya ufanyavyo, vitu hivi vitatu huwezi kuvikwepa maishani...

READ MORE

Wema amtoa chozi Diana

MWIGIZAJI wa Bongo Movies ambaye kwa sasa amejichimbia nchini Marekani, Diana Kimari amejikuta akimwaga chozi baada ya kumkumbuka shoga’ke kipenzi,...

READ MORE

Uwoya na skendo kuiba waume za watu

MWANAMAMA mkali kunako Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ amefunguka kuwa, hakuna jambo la kishamba kwa sasa kama mwanamke...

READ MORE

Harmo Afunguka Kutoa Ahadi Hewa Hospitali

KONDE Boy, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ au Harmo amefungukia madai ya kutoa ahadi hewa ya kusaidia hospitali mbalimbali na shule kisha...

READ MORE

Muna Achefua Kanisa

  MUIGIZAJI ambaye anajinasibu kuwa ni Mlokole; Muna Alphonce, amedaiwa kulichefua kanisa kwa mambo anayoyafanya mitandaoni.   Kupitia ukurasa wake...

READ MORE

Top Marapa Bongo Walioweka Alama na Kutoweka Duniani!

Kama taifa, Mungu alitupendelea sana kutupa vichwa ambavyo vilifanya poa sana kwenye muziki wa Hip Hop Bongo. Lakini kwa mipango...

READ MORE

Hatimaye Barrick Yaanza Kulipa Deni la Acacia

KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. Bilioni 231, ikiwa ni sehemu ya malipo ya...

READ MORE

Mapinduzi ya Muziki Bongo… Kiba, Harmo Waungana!

KWA mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva, hii ni zaidi ya good news! Habari ikifikie kwamba, mafundi wawili; Ali Saleh...

READ MORE

Zari Atakubali Kuolewa Mke wa Pili au wa Tatu?

UNAWEZA kusema mwanamama mjasiriamali wa Afrika Mashariki, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, raia wa Uganda mwenye maskani yake pale...

READ MORE

Jeshi la Polisi Laendelea Kumshikilia Idris

  JESHI la Polisi limesema linaendelea kumshikilia Idris Sultan aliyekamatwa Jumanne iliyopita akihusishwa na tuhuma za makosa ya kimtandao likiwemo...

READ MORE

Marioo: Ujio Wangu na Mondi Lazima Watupishe

  UKISIKIA ngoma hii ambayo haikosekani kwenye laptop za MA-DJ, lazima utauliza inaitwaje na ni ya mwanamuziki gani? Usipate taabu....

READ MORE

Amber Lulu Mahaba Hadharani, Ajiachia kwa Diamond

SIKU zote ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Hicho ndicho kinachotokea kwa staa wa kike wa Bongo Fleva, Lulu Auggen...

READ MORE

Shoo ya Pacha Milionea, Davido Ilivyobuma

davido MACHALII wenye asili ya Tandale, wanaopeperusha bendera ya Bongo kwa Trump (USA), Mapacha Milionea, wanadai kufanyiwa figisu kwenye shoo...

READ MORE

Whozu Amfunga Breki Tunda

  ANASTAZIA Sebastian Kimaro almaarufu kama Tunda, ni mwanadada mrembo ambaye amekuwa akitambulika kama muuza nyago ‘video vixen’ kwenye video...

READ MORE

Uchumba wa Lulu Waweka Rekodi

STORI: IMELDA MTEMA, DAR UCHUMBA wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Mkurugenzi wa EFM na TVE,...

READ MORE

Mondi Ashtua Tena na Saa ya milioni 500

DAR : Achana na kufuru nyingine alizowahi kuzifanya huko nyuma, mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameshtua...

READ MORE

Vanessa, Mchumba’ke Gari Limewaka

  DAR: Mwanadada ambaye mashabiki wake wa Bongo Fleva wanammisi, Vanessa Mdee ‘V-Money’ na mchumba’ke, Olurotimi Akinosho ‘Rotimi’, ndiyo kwanza...

READ MORE

Chuchu Ataja Sababu Kuachana na Filamu

  MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans amesema sababu iliyomfanya kuachana na filamu ni kutokana na maslahi kiduchu yanayopatikana...

READ MORE

Ukistaajabu ya Wema, Utaona ya Celine Dion

  UKIKUTANA na staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu, bado utakuwa unajiuliza ni nini kilimpata. Kutoka kwenye lile...

READ MORE

Polisi Watanda kwa Diamond

TAHARUKI nzito! Katika hali ya kushangaza, Polisi wamekutwa wametanda nyumbani kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na...

READ MORE

Nicole Apekuliwa Airport Kisa Mzigo wa Madawa

DAR: Video vixen wa Wimbo wa Bedroom wa mwanamuziki Rajab Abdul ‘Harmonize’, Nicole Mbaga amesema umaarufu ni mzigo baada ya...

READ MORE