×

Celebrities

Wolper Amtuliza Sarah kwa Harmonize!

DAR: Kiroho safi! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe, amemtuliza mwandani wa staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul...

READ MORE

Alikiba, Diamond Wakutana CCM – Video

WASANII nguli wa Bongo Fleva, Alikiba na Diamond Platnumz, ni miongoni mwa wasanii walioalikwa na kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Taifa...

READ MORE

Gigy Awachefua Mashabiki

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ mapema wiki hii amewakera mashabiki zake mtandaoni baada ya kuposti...

READ MORE

Zari Alilia Mapenzi

MZAZI mwenziye Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ametoa kauli inayoashiria moja kwa moja, ana kiu...

READ MORE

Dayna: Siwezi ‘Kum-copy’ Zuchu

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna’, amefunguka kuwa hawezi kuiga style ya uimbaji wa Zuchu. Akizungumza na Amani, Dayna...

READ MORE

Lulu Diva Akoshwa na Nyimbo za Marioo

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Lulu Abas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa anapenda kusikiliza nyimbo za msanii mwenzake Omary Mwanga...

READ MORE

Rachel Siwezi Ku-date na Msanii

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Winifrida Joseph ‘Rachel’ amesema katika maisha yake, hajawahi na wala hatarajii kutoka kimapenzi na...

READ MORE

Utata Mpya Watoto wa Diamond!

KWENYE familia ya mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ hakukauki mambo ambapo mjadala mkubwa kwa sasa ni utata...

READ MORE

Top 5 Wasanii Wenye Albamu Nyingi Bongo

KATIKA mafanikio ya kukuza kazi za msanii na kujivunia, kimoja wapo ni kuwa na album.  Album imekuwa ni kama utambulisho...

READ MORE

Rayvanny Anabebwa na Diamond?

RAYMOND Mwakyusa almaarufu kama Vanny Boy au Rayvanny, ni moja ya wasanii wakali Bongo Flevani kutoka kwenye lebo kali ya...

READ MORE

Bushoke Amrudisha K-Lynn Kwenye Game

KAMA ilivyokawaida mpendwa msomaji wa kolamu hii ya Yupo Wapi kukuletea waliowahi kuwa mastaa na kisha kupotea, ambapo leo nimekuletea...

READ MORE

Jide Ataka Uchebe Akamatwe, Apigwe!

STAA wa muziki nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, ametaka Ashrafu Sadiki aliyekuwa mume wa msanii mwenzie Shilole akamatwe na kupigwa...

READ MORE

Zari Amshukuru Mondi kwa Kumnunulia Gari ‘Asante Baba T’

JE, Diamond na Zari wamerudiana? Wawili hao wamekuwa katika mahusiano mema hivi majuzi baada ya Diamond na Zari kukosana na...

READ MORE

Mama Kubwa Achumbiwa na Mdogo wa Uwoya

MSANII wa filamu za Kitanzania, Mariam Ismail ‘Mama Kubwa’ hivi karibuni ushosti wake na staa wa filamu Irene Uwoya umebadilika...

READ MORE

Gigy Money Kurudi Shule

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amesema kwamba, ameamua kurudi shule ili atimize malengo yake ambayo...

READ MORE

Wema Akiri Kuwa na Miguu Mibaya

STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amesema kuwa anajijua kuwa ana miguu mibaya, lakini hiyo isiwafanye watu kuwa ndiyo...

READ MORE

Shilole ‘Alia’ na Kipigo Kutoka kwa Mumewe

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva na mjasiriamali, Zuwena Mohamed, maarufu kama Shilole, ameamua kuweka wazi matatizo ya ndoa yake...

READ MORE

Shilole Adundwa na Mumewe, Asimulia Mazito!

  Mwanamuziki Zena Mohammed maarufu Shilole ametangaza kuachana na mume wake, Uchebe, kwa sababu amekuwa akimpiga mara kwa mara bila...

READ MORE

Exclusive! Wema Aibuka na Kipigo cha Mondi

KWA walioimisi ile kapo ya kihistoria Bongo ya mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mrembo mwenye nyota zake mjini, Wema...

READ MORE

Tanasha, Zari Watibua Ndoa ya Esma!

  VISA vimeanza! Siku chache baada ya dada wa mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan kufunga...

READ MORE

Bilionea wa Mobeto ni Kufuru Tupu

Unapozungumzia watu wanaofaidi mema ya nchi, kamwe huwezi kuacha kumtaja bilionea wa Nigeria, Ismaila Mustapha ‘Mompha’ ambaye ni mtu wa...

READ MORE

Meek Mill Ashtakiwa kwa Kuiba Mashairi

RAPA  Meek Mill amefunguliwa mashtaka kwa kuiba mashairi ya nyimbo mbili za lebo ya Philadelphia.   Kampuni ya Dream Rich...

READ MORE

Serikali Kuanza Kutoa Tuzo kwa Wasanii

SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeanza mchakato wa kuandaa tuzo kwa wasanii ambazo zitajumuisha sekta zote...

READ MORE

Wimbo wa ‘Kufuru’ Wamponza nay wa Mitego

SIKU chache baada ya staa wa muziki wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, kuachia ngoma yake mpya inayokwenda...

READ MORE

Nandy ‘Ampiga’ Kiba!

UNAWEZAkusema ufalme wa Ali Kiba ‘Kiba’ kwenye mtandao wa YouTube ni kama umepinduliwa mapema, takwimu zinaongea.Ile kukaa tu kitini na...

READ MORE

Dyana Nyange: Nimerudi Kundini!

“NAJUA unanipenda nami nakupenda wewe… Unajua nakupenda nangoja uanze wewe… Moyo wangu wakupenda wewe pekee… Nivute kwako, nitoe huu upweke…...

READ MORE

Kifo cha Mke wa Babu Tale, Harmonize ‘Ahukumiwa’

ULE msemo usihukumu, usije ukahukumiwa umetokea kwenye msiba wa mke wa Hamis Tale ‘Babu Tale’, Shamsa Kombo.   Jicho la...

READ MORE

Huyu Ndiye Sallam Mendez Aliyekataa Mkono wa Harmo!

KWENYE ulimwengu wa soka, kuna mtu hatari aitwaye Jorge Mendez. Ni mzaliwa wa pale jijini Lisbon, Ureno. Huyu ni wakala...

READ MORE

Utata Mtupu Kuvunjika Ndoa ya Will Smith

UTATA mkubwa umeibuka juu ya kuvunjika kwa ndoa ya staa mkubwa duniani, mwanamuziki na mchekeshaji wa Marekani, Will Smith na...

READ MORE

Sababu za Jokate ‘Kutoolewa’ Zaanikwa

DAR: Baada ya Rais Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’ kuwashangaa watani zake Wazaramo kwa kushindwa kumuoa Mkuu wa Wilaya ya...

READ MORE

Huyu Hapa Man Mo; Almasi Iliyoibuliwa na Magufuli

KUNA ule usemi usemao kwamba, unaweza kulala maskini kisha ukiamka tajiri! Ndivyo ilivyo kwa mwanamuziki wa Bongo Fleva anayechipukia: Maneno...

READ MORE

Corona Yamtesa PETER wa P-SQUARE!

  MWANAMUZIKI mkubwa barani Afrika aliyekuwa akiunda Kundi la P Square kutoka Nigeria, Peter Okoye ‘Mr P’ anateseka baada ya...

READ MORE

Lungi Alia na Wanaume wa Watu

STAA wa sinema za Kibongo, Lungi Mwaulanga ameibuka na kutoa kilio chake baada ya kuumizwa na wanaume wa watu kufuatia...

READ MORE

Sababu Tanasha Kutoenda Msiba wa Shammy

HIVI karibuni yameibuka mazito yakimhusisha mzazi mwenza wa mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Mondi’, Tanasha Donna, kutohudhuria msiba wa...

READ MORE

Sinema ya Husna Sajenti ‘Kuzaa’ na Mondi Yafikia Patamu!

IKIWA ni wiki kadhaa zimepita tangu kuwepo kwa tetesi kuwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amezaa...

READ MORE

Kanye West Atangaza Kugombea Urais Mwaka Huu

Rapa Kanye West ametumia ukurasa wake wa Twitter kutangaza kuwa atagombea Urais mwaka huu nchini Marekani. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika...

READ MORE

Sallam Kuukataa Mkono wa Harmonize Msibani, Chanzo ni Hiki!

MENEJA wa lebo ya muziki ya Wasafi Classic Baby (WCB),  Sallam Sk,   na msanii Harmonize ambaye aliwahi kuwa chini ya...

READ MORE

VIDEO : Babu Tale Aangua Kilio Juu ya Jeneza la Mkewe

Meneja wa WCB Hamis Taletale  ameshindwa kujizuia na kujikuta akiangua kilio juu ya jeneza lenye mwili wa Mkewe Shamsa Kombo...

READ MORE

Zamaradi Kuwakutanisha Mastaa Sabasaba

MTANGAZAJI maarufu ambaye anamiliki Zamaradi TV, Zamaradi Mketema anatarajia kuwakutanisha mastaa mbalimbali Bongo ambao ni wafanyabiashara ndani ya maonyesho ya...

READ MORE