HAYAWI hayawi sasa yamekuwa! Ukimwacha Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, staa mwingine wa lebo hiyo,...
READ MOREMAISHA yanakwenda kasi sana! Ukirudi nyuma miaka 15 katika soko la Bongo Fleva, wasanii wengi walikuwa wakitegemea kuuza kazi zao...
READ MOREMWIGIZAJI mkongwe Bongo, Koletha Raymond ameibuka na kusema ubaguzi ni ugonjwa sugu unaoitafuna tasnia ya filamu Bongo ‘Bongo Muvi’ na...
READ MOREMAMBO vipi mpenzi msomaji wa safu hii pendwa ya My Style, kama ilivyo kawaida tunakuletea mastaa mbalimbali ambao huzungumzia maisha...
READ MOREWASANII wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize na Nandy, wamekwama kusafiri kuelekea nchini Marekani kwenye Tamasha la One Africa Music...
READ MOREMWANADADA mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Mwasiti Almasi ‘Mwasiti’ ameibuka na kumsifia mrembo anayetikisa kwa sasa kunako Muziki wa...
READ MOREDAR ES SALAAM: WAKATI ikiaminika kwamba msanii Nasibu Abdul ‘Mondi’ ndiye mwenye ukwasi wa kutisha Bongo, Ijumaa limenasa utajiri wa...
READ MOREMWIGIZAJI mahiri wa Tamthiliya ya Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa hakuna kitu kinachomuumiza kama watoto wake...
READ MOREDAR ES SALAAM: Juzi Jumanne (Agosti 6, 2019), binti wa staa wa Afro- Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwanamama...
READ MOREDAR ES SALAAM: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefanya kufuru kubwa na kumfunika staa mwenzake, Irene Uwoya baada...
READ MOREMWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwenye anga la Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa licha ya watu kumhusisha na wanaume...
READ MOREGUMZO kubwa huko mtaani pamoja na kwenye mitandao ya kijamii ni kibarua alichoomba msanii mkubwa wa filamu Bongo, Irene Uwoya...
READ MOREMREMBO ambaye ni mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Siwema Edson amesema hawezi kuwa...
READ MOREMWANADADA anayekimbiza kwenye Tamthiliya ya Kapuni, Mwanaheri Ahmed amefunguka kwamba anajijua kuwa ameumbika lakini kamwe hawezi kujilengesha kwa wanaume wakware. ...
READ MOREMTANGAZAJI wa Choice FM, Feza Kessy amefunguka kuwa ameamua kuanza kuvaa magauni na kuvaa mawigi ili kuondoa ule muonekano wa...
READ MOREKUMILIKI eneo ambalo unaweza kupata burudani, ukalima chochote unachokitaka na kufurahia maisha na familia yako ni moja ya ndoto zilizotimia...
READ MOREBADO mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anazidi kuandamwa vibaya nchini kwao, Uganda, baada ya kupigwa chini kuwa jaji...
READ MOREBLUE Ivy ambaye ni mtoto wa mastaa wanaokimbiza kwenye Muziki wa R&B na Hip Hop kutoka Marekani, Jay-Z na Beyonce,...
READ MOREMREMBO ambaye alishakwaa skendo mbalimbali za kupiga picha na kuachia mwili wake wazi, Husna Maulid amesema kutokana na kupenda urembo...
READ MOREKundi la Muziki la Destiny’s Child ambalo lilikuwa likiundwa na Beyonce Knowles, Michelle Williams pamoja na Kelly Rowland kabla ya kuvunjika mwaka 2006, liko mbioni kurudi...
READ MOREIMEISHA hiyo! Ndivyo unavyoweza kusema kwa lugha nyepesi baada ya kuanikwa kwa siri ya staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul...
READ MORESIRI imefichuka kwamba, kumbe modo ambaye ni mwigizaji na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto ‘Misa’ amejichora tatuu ya baba...
READ MOREMSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema watu wengi wanakwama kwa sababu hawapendi kusema ukweli badala yake wanakumbatia unafiki,...
READ MOREMWANDANI wa mwanamuziki mkali wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch ametoa la moyoni kuwa anatamani mwanaye atakayejifungua...
READ MOREDAR ES SALAAM: Maji yamekorogeka! Upepo bado siyo mzuri kabisa kwa upande wa mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’...
READ MOREZANZIBAR: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Irene Uwoya amemfanyia kitu mbaya mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’. Uwoya amemshtukiza Johari ambaye...
READ MOREANATAAAMBA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama D’...
READ MOREMSANII wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Baraka The Prince’ amesema anajivunia kuwa na mpenzi wake wa sasa,Naj kwa sababu ni...
READ MOREDAR ES SALAAM: Saa chache baada ya mwanamama wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kudai kuwa Rais wa Wasafi, Nasibu...
READ MOREDAR ES SALAAM: Wakati akitimiza miaka kumi ya ustaa wake ndani ya Bongo Fleva, mwanamuziki mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu...
READ MOREMKALI wa Muziki wa Bongo Fleva aliyewahi kutikisa na Ngoma ya Natumaini, Beka Ibrozama amesema hakuna kitu ambacho hatakisahau katika...
READ MOREUKITAKA kujua nguvu ya Madam, Wema Sepetu weka bando lako la kutosha kwenye simu yako janja, chukua picha ya mrembo...
READ MOREDAR ES SALAAM: Kumekucha tena! Baada ya ukimya mrefu kupita tangu apate msala wa kutekwa na watu wasiojulikana, mkali wa...
READ MOREMUIGIZAJI wa Bongo Muvi, Husna Idd ‘Sajenti’ amesema kuwa kamwe kitu ambacho hawezi kukifanya ni ‘kumlamba miguu’ mwanaume ambaye amezaa...
READ MOREWAKATI madai yakiendelea kuwaka moto kwa memba wa Lebo ya Wasafi Classic Baby ‘WCB’ Rajabu Abdul Kahali ‘Harmonize’ kujitoa kwenye...
READ MOREMUIGIZAJI mwenye mashine zake za kushona nguo mjini, Jacqueline Wolper ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa kamwe hawezi...
READ MOREMUIGIZAJI kitambo wa filamu Bongo,Vincent Kigosi ‘ Ray’ amefunguka kuwa anataka kuzaa tena na muigizaji mwenzake, Chuchu Hansy mtoto mwingine. ...
READ MOREUKIFIKA katika Jiji la New York kuna jarida moja maarufu la urembo na mitindo linalotoka kila mwezi ambalo ndani yake...
READ MORENAJUA ulikuwa ukijiuliza sana eti mbona shoo za mwanamitindo na msanii mpya wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto huzioni! Jibu hili...
READ MOREMAMBO ni moto! Bado ‘muvi’ la zilipendwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ linazidi kutikisa...
READ MORE