×

Celebrities

Achana na Mondi… Mbosso Aweka Rekodi ya Watoto

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa! Ukimwacha Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, staa mwingine wa lebo hiyo,...

READ MORE

Ni Mwendo wa Rekodi!

MAISHA yanakwenda kasi sana! Ukirudi nyuma miaka 15 katika soko la Bongo Fleva, wasanii wengi walikuwa wakitegemea kuuza kazi zao...

READ MORE

Koletha: Ubaguzi ni Ugonjwa Sugu Bongo Muvi

MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Koletha Raymond ameibuka na kusema ubaguzi ni ugonjwa sugu unaoitafuna tasnia ya filamu Bongo ‘Bongo Muvi’ na...

READ MORE

Tunda: Moyo Wangu unapenda Kuishi Hotelini

MAMBO vipi mpenzi msomaji wa safu hii pendwa ya My Style, kama ilivyo kawaida tunakuletea mastaa mbalimbali ambao huzungumzia maisha...

READ MORE

Harmonize, Nandy ‘Wawekewa Kigingi’, Diamond Apeta!

WASANII wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize na Nandy, wamekwama kusafiri kuelekea nchini Marekani kwenye Tamasha la One Africa Music...

READ MORE

Mwasiti: Nandy Ana Akili, Atafika Mbali

MWANADADA mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Mwasiti Almasi ‘Mwasiti’ ameibuka na kumsifia mrembo anayetikisa kwa sasa kunako Muziki wa...

READ MORE

Utajiri wa Matonya Washtua, Kuna Nini Nyuma Yake? – Video

DAR ES SALAAM: WAKATI ikiaminika kwamba msanii Nasibu Abdul ‘Mondi’ ndiye mwenye ukwasi wa kutisha Bongo, Ijumaa limenasa utajiri wa...

READ MORE

DUDE: Wanangu Wanapata Taabu Sana!

MWIGIZAJI mahiri wa Tamthiliya ya Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa hakuna kitu kinachomuumiza kama watoto wake...

READ MORE

BWANA WA ZARI AMFANYIA KUFURU TIFFAH!

DAR ES SALAAM: Juzi Jumanne (Agosti 6, 2019), binti wa staa wa Afro- Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwanamama...

READ MORE

AUNT AKATA NGEBE ZA UWOYA

DAR ES SALAAM: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefanya kufuru kubwa na kumfunika staa mwenzake, Irene Uwoya baada...

READ MORE

Diva Atakayenioa hajulikani kirahisi

MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwenye anga la Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa licha ya watu kumhusisha na wanaume...

READ MORE

UWOYA, MOBETO GUMZO MKUTANO WA SADC

GUMZO kubwa huko mtaani pamoja na kwenye mitandao ya kijamii ni kibarua alichoomba msanii mkubwa wa filamu Bongo, Irene Uwoya...

READ MORE

Siwema amshushia sifa Nay wa Mitego

 MREMBO ambaye ni mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Siwema Edson amesema hawezi kuwa...

READ MORE

MWANAHERI Silitumii vibaya shepu langu!

MWANADADA anayekimbiza kwenye Tamthiliya ya Kapuni, Mwanaheri Ahmed amefunguka kwamba anajijua kuwa ameumbika lakini kamwe hawezi kujilengesha kwa wanaume wakware. ...

READ MORE

FEZA AUKACHA U-TOM BOY

MTANGAZAJI wa Choice FM, Feza Kessy amefunguka kuwa ameamua kuanza kuvaa magauni na kuvaa mawigi ili kuondoa ule muonekano wa...

READ MORE

Wajue Mastaa 9 Wanaomiliki Visiwa vya Anasa

KUMILIKI eneo ambalo unaweza kupata burudani, ukalima chochote unachokitaka na kufurahia maisha na familia yako ni moja ya ndoto zilizotimia...

READ MORE

Zarinah aibu tena Uganda

BADO mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anazidi kuandamwa vibaya nchini kwao, Uganda, baada ya kupigwa chini kuwa jaji...

READ MORE

mtoto wa Beyonce avunja rekodi

BLUE Ivy ambaye ni mtoto wa mastaa wanaokimbiza kwenye Muziki wa R&B na Hip Hop kutoka Marekani, Jay-Z na Beyonce,...

READ MORE

 Husna Maulid bora asile, kisa..!

MREMBO ambaye alishakwaa skendo mbalimbali za kupiga picha na kuachia mwili wake wazi, Husna Maulid amesema kutokana na kupenda urembo...

READ MORE

Beyonce Kuirudisha Destiny’s Child kwa Kishindo

Kundi la Muziki la Destiny’s Child ambalo lilikuwa likiundwa na Beyonce Knowles, Michelle Williams pamoja na Kelly Rowland kabla ya kuvunjika mwaka 2006, liko mbioni kurudi...

READ MORE

Baada ya kumtungia wimbo siri ya harmonize kwa jpm yaanikwa!

IMEISHA hiyo! Ndivyo unavyoweza kusema kwa lugha nyepesi baada ya kuanikwa kwa siri ya staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul...

READ MORE

TATUU YA Mondi KWA MOBETO GUMZO!!

SIRI imefichuka kwamba, kumbe modo ambaye ni mwigizaji na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto ‘Misa’ amejichora tatuu ya baba...

READ MORE

shilole Siwezi kufa na unafiki!

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema watu wengi wanakwama kwa sababu hawapendi kusema ukweli badala yake wanakumbatia unafiki,...

READ MORE

tanasha atamani mwanawe afanane na baba’ke

MWANDANI wa mwanamuziki mkali wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch ametoa la moyoni kuwa anatamani mwanaye atakayejifungua...

READ MORE

MREMBO AMTIA ADABU ZARI

DAR ES SALAAM: Maji yamekorogeka! Upepo bado siyo mzuri kabisa kwa upande wa mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’...

READ MORE

UWOYA amfanyia mbaya Johari

ZANZIBAR: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Irene Uwoya amemfanyia kitu mbaya mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’.  Uwoya amemshtukiza Johari ambaye...

READ MORE

Mama D nyodo 100%

ANATAAAMBA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama D’...

READ MORE

BARAKA THE PRINCE: NAJ kawazidi Nisha, Meninah

MSANII wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Baraka The Prince’ amesema anajivunia kuwa na mpenzi wake wa sasa,Naj kwa sababu ni...

READ MORE

Romy Jones amjibu Shilole!

DAR ES SALAAM: Saa chache baada ya mwanamama wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kudai kuwa Rais wa Wasafi, Nasibu...

READ MORE

WAKATI AKITIMIZA MIAKA 10 SKENDO YA FREEMASON YAZIDI KUMTESA MONDI

DAR ES SALAAM: Wakati akitimiza miaka kumi ya ustaa wake ndani ya Bongo Fleva, mwanamuziki mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu...

READ MORE

Beka Ibrozama: Ruge alinibadilisha kimuziki

MKALI wa Muziki wa Bongo Fleva aliyewahi kutikisa na Ngoma ya Natumaini, Beka Ibrozama amesema hakuna kitu ambacho hatakisahau katika...

READ MORE

WEMA akiongeza ‘fyuzi’ moja tu ya Shilole ametoboa!

UKITAKA kujua nguvu ya Madam, Wema Sepetu weka bando lako la kutosha kwenye simu yako janja, chukua picha ya mrembo...

READ MORE

Kumekucha! Polisi wamsaka Roma

DAR ES SALAAM: Kumekucha tena! Baada ya ukimya mrefu kupita tangu apate msala wa kutekwa na watu wasiojulikana, mkali wa...

READ MORE

Sajenti: Simlambi mwanaume miguu matumizi ya mwanae

MUIGIZAJI wa Bongo Muvi, Husna Idd ‘Sajenti’ amesema kuwa kamwe kitu ambacho hawezi kukifanya ni ‘kumlamba miguu’ mwanaume ambaye amezaa...

READ MORE

MENEJA WA HARMONIZE APASUA JIPU

WAKATI madai yakiendelea kuwaka moto kwa memba wa Lebo ya Wasafi Classic Baby ‘WCB’ Rajabu Abdul Kahali ‘Harmonize’ kujitoa kwenye...

READ MORE

WOLPER Akoma Kutoa Penzi Kwa Masikini – VIDEO

MUIGIZAJI mwenye mashine zake za kushona nguo mjini, Jacqueline Wolper ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa kamwe hawezi...

READ MORE

Ray: Nazaa tena na Chuchu

MUIGIZAJI kitambo wa filamu Bongo,Vincent Kigosi ‘ Ray’ amefunguka kuwa anataka kuzaa tena na muigizaji mwenzake, Chuchu Hansy mtoto mwingine. ...

READ MORE

VEE MONEY ANAZIDI KUIPELEKA BONGO FLEVA KIMATAIFA

UKIFIKA katika Jiji la New York kuna jarida moja maarufu la urembo na mitindo linalotoka kila mwezi ambalo ndani yake...

READ MORE

MOBETO NDANI YA DAR LIVE

NAJUA ulikuwa ukijiuliza sana eti mbona shoo za mwanamitindo na msanii mpya wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto huzioni! Jibu hili...

READ MORE

MONDI AMUUMBUA ZARI UGANDA!

MAMBO ni moto! Bado ‘muvi’ la zilipendwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ linazidi kutikisa...

READ MORE