×

Habari

Rais Samia Afanya uteuzi na uhamisho na mabadiliko ya viongozi mbalimbali

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho na mabadiliko ya viongozi mbalimbali kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu...

READ MORE

Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2024 Yapo Hapa – Video

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Said Mohamed ametangaza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka...

READ MORE

ACT Yajibu Kuhusu Kuwa CCM B, Ushindi Wa Lissu Ni Ngumu – Video

Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kiliundwa kutokana na minyukano iliyotokea kwenye vyama vingine vya...

READ MORE

Jaji Mahakama Kuu Kutoa Uamuzi Dhidi ya Kesi ya Dkt. Slaa Jumatatu

Jumatatu Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam inatarajia kutoa uamuzi mdogo juu ya kesi ya Dk. Slaa aliyewahi kuwa...

READ MORE

Polisi Yatoa taarifa kuhusu kupatikana kwa mtoto Merysiana Melkzedeck

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limetoa taarifa kuhusu kupatikana kwa mtoto Merysiana Melkzedeck mwenye umri wa miezi saba, ambaye...

READ MORE

Jokate Mwegelo Apongeza Ufaulu wa Shule Jina Lake

Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amepongeza wanafunzi, walimu, na uongozi wa Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani, kufuatia mafanikio...

READ MORE

Lissu Atoa Masharti Kwa Mdee na Wenzake Kurejea Chadema

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, ameweka wazi kuwa yuko tayari kuwapokea wabunge 19 wa...

READ MORE

Mtoto Aliyechukuliwa na Wasiojulikana Apatikana – Video

Habari zilizotufikia hii leo Januari 24, 2025 zinadai kuwa presha waliyokuwa nayo familia ya wanandoa Sosthenesi Melkizedeki Mrema na Joana...

READ MORE

NMB Mlipa Kodi Mkubwa Zaidi na Bora Zaidi Tanzania

Katika kuendelea kuwa mshirika mkubwa wa maendeleo nchini, Benki ya NMB imetunukiwa tuzo 3 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

READ MORE

Mambo Yazidi Kunoga, Fundi Gereji wa Madale Naye Aibuka na Mil. 5 ya Magift ya Kugift

Dar es Salaam 24 Januari 2025: Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania leo, imekabidhi zawadi kwa washindi wa...

READ MORE

AU Yatoa wito kwa Trump Kufikria tena Uamuzi wake wa Kuiondoa Marekani WHO

Umoja wa Afrika (AU) jana Jumatano Januari 23, 2025 umetoa wito kwa Rais mpya wa Marekani, Donald Trump, kufikria tena...

READ MORE

Meridianbet Mikakati Kibao 2025 Baada Ya Kufanikiwa 2024

Katika mkutano mkubwa uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2024 jijini Orlando mkurugenzi wa Meridianbet bwana Zoran Milosevic kupitia makampuni ya GMGI...

READ MORE

Jeshi la Polisi Kuendelea Kusimamia Usalama Shughuli za Vyama Vya Siasa Bila Kujali Itikadi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kutekeleza jukumu lake la kikatiba...

READ MORE

ZEEA Yaanza Kutoa mikopo Kidijitali, Maafisa Washauriwa Kuwa Makini

MIKOPO kwa njia ya kidijitali inayoanza kutolewa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) imeelezwa kuwa itawasaidia wananchi kupata...

READ MORE

Moto Mwingine Mkubwa Wazuka Kaskazini mwa Los Angeles – Video

Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini...

READ MORE

Mchengerwa: Watumishi Wanaotaka kugombea nafasi za kisiasa zingatieni taratibu za kiutumishi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka watumishi wa umma wanaohudumu...

READ MORE

Kiboko Aliyetesa Wananchi Kwa Miaka Mitano Auawa Na Askari Wa Wanyamapori Geita – Video

BAADA ya kiboko kuua ng’ombe watatu na kuharibu mazao ya mahindi katika kijiji cha Itale, Kata ya Katoma, Halmashauri ya...

READ MORE

Tundu Lissu Amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu wa Chadema – Video

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amemteua John Mnyika kuendelea kushika nafasi ya Katibu Mkuu wa Chadema, nafasi aliyokuwa akiishikilia tangu...

READ MORE

Kenya yarahisisha masharti ya safari kwa nchi za Afrika

Kenya imetangaza kuwa, itawaruhusu raia wa karibu mataifa yote ya Afrika kutembelea nchini humo bila kuhitaji idhini ya awali (visa)....

READ MORE

Samsung Yazindua Galaxy S25 Series Nchini Tanzania Inayotumia Akili Mnemba (AI)

 Dar es Salaam, Tanzania, 22 Januari 2025 – Kampuni ya Samsung Electronics Co., Ltd. imetambulisha rasmi simu zake za Galaxy...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Majaji Wa Mahakama Wa Rufani (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt. Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino Dodoma,...

READ MORE

Diaspora Kushirikiana na Serikali Kuchangamkia Fursa

Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Czech wameahidi kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa zinazopatikana katika nchi hiyo kwa manufaa ya nchi na...

READ MORE

Lissu Ashinda Nafasi ya Uenyekiti Chadema, Heche Makamu Mwenyekiti Bara – Video

Tundu Lissu ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema baada ya kupata kura 513 kati ya kura 996,...

READ MORE

Breaking: Mbowe Ampongeza Lissu Kwa Ushindi, Mwenyekiti Mpya Chadema – Video

Kupitia akaunti yake ya mtandao wa X, Freeman Mbowe amempongeza Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa na wanachama wa Chadema....

READ MORE

Waandishi wa Habari Dar Wapigwa Msasa Kuhusu Elimu ya Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele

Timu ya Wataalamu kutoka Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDCP) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari...

READ MORE

Freeman Mbowe Afungua Mkutano Mkuu Chadema, Akemea Matusi, Asema Uchaguzi Huo sio Vita

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amewasihi viongozi watakaoshika nyazifa mbalimbali katika Chama hicho ni lazima...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Imefanya Uwekezaji Mkubwa Kwa TMA

SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya...

READ MORE

Donald Trump aiondoa Marekani kwenye Mkataba wa Paris

Rais Donald Trump ameanza kutekeleza baadhi ya ahadi alizoahidi wakati wa kampeni, ambapo ametia saini maagizo kadhaa, kama vile makubaliano...

READ MORE

Hatma Ya Mbowe Na Lissu Ni Leo, Polisi Watanda Kila Kona Mlimani City – Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo Januari 21, 2025 kinatarajiwa kufanya uchaguzi wa viongozi mbalimbali ndani ya chama hicho....

READ MORE

Trump Atangaza kujitoa kwa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kujitoa kwa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), hatua iliyopokelewa kwa hisia tofauti...

READ MORE

Elon Musk Apagawishwa Na Uapisho Wa Trump, Sasa Ndoto Yake Ya Kupeleka Mtu Sayari Ya Mars Kutimia – Video

Bilionea mkubwa duniani na mwanzilishi wa Kampuni ya SpaceX, Elon Musk ambaye pia ni swahiba mkubwa wa Rais Donald Trump...

READ MORE

Trump Aahidi Kurudisha Nidhamu Marekani Baada ya kuapishwa

Akizungumza baada ya kula kiapo kama rais wa 47 wa Marekani siku ya Jumatatu Januari 20, 2025, ndani ya ukumbi...

READ MORE

Waziri Kombo Awakaribisha Wafanyabiashara wa CZECH

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara wa Czech kuangalia fursa...

READ MORE

Mwili Wa Regina Aliyetoweka Ghafla Wakutwa Kwenye Shimo la Maji Taka, Ndugu Wadaiwa Kuhusika

Jeshi Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema kuwa limewakamata na kuwashikilia  watuhumiwa wawili, Fred Rajabu Chaula na Bashir Richard...

READ MORE

Benki Ya CRDB Yashinda Tuzo 2 za Kimataifa za Mwajiri Bora – ‘Top Employer’

Dar es Salaam, Januari 20, 2025 – Benki ya CRDB imeendelea kung’ara kimataifa baada ya kutunukiwa tuzo 2 za Mwajiri...

READ MORE

Gethmane Group Yaja na Wimbo Maalum Kwaajili ya Harusi, ‘Ni Siku Yetu’

Kundi la kwaya ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) SDA ya  jijini Dar es Salaam imeipua wimbo wake mpya maalumu kwa...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yatajwa Mwajiri Bora Tanzania kwa Mwaka wa Nane Mfululizo

Kwa mwaka wa nane mfululizo, kampuni ya Vodacom Tanzania PLC imethibitishwa kuwa Mwajiri Bora na Taasisi ya Waajiri Bora (Top...

READ MORE

Vijana 1500 Kutoka Vyuoni Wajengewa Uwezo na Brela

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imeshiriki kwenye Kongamano la kuwajengea uwezo vijana wa vyuo vikuu na katika...

READ MORE

Uhusiano Baina ya Tanzania-Czech Kung’ara

Uhusiano wa kiuchumi baina ya mataifa umeelezwa kuwa ndio uhusiano imara na bora zaidi ukilinganisha na nyanja nyingine za uhusiano...

READ MORE

Rais mteule wa Marekani, Donald Trump kuapishwa Ndani ya Jengo la Bunge leo

RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuapishwa leo Januari 20, 2025 kuwa rais wa 47 wa taifa hilo kubwa...

READ MORE