×

Habari

Kesi ya Dkt. Slaa, Mahakama ya Kisutu Yasema Imefungwa Mikono Kuendelea Nayo…

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema imefungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili aliyekuwa Katibu Mkuu wa...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC

Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi Awasili Ethiopia kwa Ajili ya ziara ya Kikazi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Marekani: Kisanduku Cheusi Ajali Ya Ndege iliyosababisha Vifo 67 Chapatikana

Mamlaka nchini Marekani zimesema zimefanikiwa kukipata kisanduku cheusi cha ndege ya abiria iliyogongana na helikopta ya kijeshi ya Black Hawk...

READ MORE

Mtoto Wa Zuma Atiwa Mbaroni Kwa Tuhuma Za Ugaidi

MTOTO wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, Duduzile Zuma-Sambudla, amekamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya ugaidi....

READ MORE

Stanbic Yatoa Wito wa Uwekezaji Katika Sekta ya Nishati na Ushirikiano wa Kikanda

Kadiri Afrika Mashariki inavyoelekea katika zama mpya za mageuzi ya sekta ya nishati, Tanzania inachukua nafasi muhimu katika kuunda mustakabali...

READ MORE

Kundi la waasi wa M23 Latishia kusonga mbele hadi Kinshasa

Kundi la waasi wa M23 Alhamisi limeapa kusonga mbele kuelekea mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kinshasa, huku...

READ MORE

TRA Yahamishia huduma zake katika jengo la Diamond Plaza

Kufuatia ajali ya moto iliyotokea leo Januari 30, ambayo imeathiri jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) lililopo Kariakoo, mamlaka...

READ MORE

Dkt. Biteko Aongoza Waombolezaji Kuaga Miili Ya Wanafunzi Waliofariki Kwa Radi Geita

Leo Januari 30, 2025 mkoani Geita, maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Chakula Cha Mchana Na Walioshiriki Uokoaji Jengo Kariakoo (Picha + Video)

Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki chakula cha mchana na watendaji wa vikosi mbalimbali pamoja na watu walioshiriki katika shughuli ya...

READ MORE

Meridianbet Yapeleka Msaada Zahanati ya Alimaua

Katika kuendelea kuisadia jamii kwenye mahitaji mbalimbali, Meridianbet waliamua kufika katika zahanati ya Alimaua na kutoa msaada wa mashuka ambapo...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Kikao cha Dharura EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa 24 wa Dharura wa Wakuu wa...

READ MORE

Exim Bank Yapanua Wigo Wake kwa Kuipokea Canara Bank Tanzania

Exim Bank Tanzania imekamilisha rasmi ununuzi wa Canara Bank Tanzania! Huu ni ununuzi wa tatu ndani ya miaka sita, ikizidi...

READ MORE

Mahakama Yamhukumu Raia wa Canada Kwa Kuisababishia Hasara Serikali

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtia hatiani Abdi Warsam Raia wa Canada mwenye asili ya Somalia na kuamuliwa kurudisha kiasi...

READ MORE

NMB Yavunja Rekodi ya Ufanisi kwa Matokeo ya Kihistoria ya Mwaka wa Fedha 2024

Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa Benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa...

READ MORE

Wassira Awasili Geita, Kuzindua Maadhimisho Miaka 48 Ya CCM – Video

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amewasili mkoani Geita kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo...

READ MORE

Lissu Akabidhiwa Ofisi, Afungukia Uchaguzi, Ataka Wanachama Kuungana – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amekabidhiwa leo ofisi yake na Katibu Mkuu wa chama hicho...

READ MORE

Mjue Mwanamke Mrefu na Mfupi Duniani, Washangaza – Video

Wanawake wawili waliovunja rekodi za dunia kwa urefu na ufupi wao hivi karibuni walikutana kwa mara ya kwanza jijini London,...

READ MORE

Selina Gomez Afuta Video Aliyojirekodi Akilia

    Hapo jana, Jumanne ya Januari 28, 2025 staa wa muziki na filamu duniani, Selena Gomez alijirekodi video akiwa...

READ MORE

Trump Apingwa Suala La Kuwahamisha Wapalestina

Taasisi ya Al-Azhar ya Misri, imelaani mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuwatimua Wapalestina katika eneo la Ukanda...

READ MORE

Sekeseke Laibuka Msibani Baada ya Marehemu Kugoma Kuzikwa

Mji mdogo wa Kisii nchini Kenya ulijikuta katika majonzi na mshangao huku mwili wa Fetty Moraa, anayedaiwa kuuawa na mumewe,...

READ MORE

Mkulima wa Simanjiro Ajishindia Gari Jipya na Magift ya Kugift

Kampuni ya mtandao wa mawasiliano ya Yas, leo imemkabidhi mshindi zawadi ya gari la kwanza aina ya Kia Sorento 0...

READ MORE

Mixx by Yas na Soko la hisa DSE Waingia Makubaliano ya Ushirikiano

  Dar es Salaam 29 Januari 2025: Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania pamoja na soko la hisa...

READ MORE

Watu 17 Wafariki Goma Wakiwemo Walinda Amani Wanne Kutoka Afrika Kusini

Mapigano makali yameendelea kushuhudiwa katika mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambapo waasi wa M23...

READ MORE

Maafisa Waliomfungulia Kesi Trump, Wafutwa Kazi

Maafisa wa Wizara ya Sheria nchini Marekani wamewafuta kazi waendesha mashtaka kadhaa waliozishughulikia kesi za jinai zilizomkabili Rais Donald Trump....

READ MORE

Rais Samia Anaongoza Marais Wa Afrika Kujadili Nishati – (Picha +Video)

Mkutano wa Nishati wa wakuu wa nchi (Misheni 300) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini...

READ MORE

Lissu, Heche na Naibu Katibu Kuripoti Makao Makuu Mikocheni Kesho

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Tundu Lissu anatarajiwa kuripoti makao makuu ya chama hicho Mikocheni...

READ MORE

Kiongozi wa ACT Wazalendo Atangaza Mabadiliko katika Baraza Kivuli la Mawaziri

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Manka Semu, ametangaza mabadiliko katika Baraza Kivuli la Mawaziri la chama hicho baada...

READ MORE

Rais Dkt. Samia ni Shupavu na Mwenye Maono

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Christina Mndeme amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi shupavu na...

READ MORE

Mkurugenzi Mkuu NSSF Akutana Na Waziri Mkuu Wa Uganda

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba, tarehe 27 Januari 2025 amekutana na Waziri...

READ MORE

Rais Ruto Alivyowasili Dar kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Dkt. William Ruto leo Januari 28, 2025 ameongeza idadi ya Marais wa Afrika waliowasili jijini...

READ MORE

Rais Samia Alivyopiga Picha na Wakuu wa Nchi mbalimbali na Viongozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakuu wa Nchi mbalimbali na Viongozi wengine wakishiriki Mkutano...

READ MORE

Matukio Mbalimbali ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 2025 Mission 300

Kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC) ambako Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 2025...

READ MORE

Ruto: Afrika Inapoteza Dola Bilioni 18 Kisa Mizozo

Rais William Ruto wa Kenya ambaye yuko mstari wa mbele katika kupigania mageuzi ya kitaasisi ndani ya Umoja wa Afrika...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Mkutano Wa Kumi Na Nane Wa Bunge – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki Mkutano wa kumi na nane wa bunge ulioanza leo Januari 28, 2025, bungeni jijini Dodoma....

READ MORE

Selena Gomez Amwaga Machozi Kisa Sera za Trump Kufukuza Wahamiaji Haramu

Mwanamuziki na muigizaji maarufu duniani, Selena Gomez amejirekodi akiwa anamwaga machozi kwenye Instastori yake alipokuwa akizungumzia sera ya Rais Donald...

READ MORE

Tuwakatae Wanasiasa Wachonganishi na Wafitinishi-CPA Makalla

Watanzania wametakiwa kuachana na viongozi fitna na wachonganishi kwani wanaleta chuki na uhasama hata pale mazuri yanapofanyika Maneno hayo yametolewa...

READ MORE

Waasi Wa M23 Waeleza Kwamba Nia Yao ni Kuukamata Mji Mkuu wa Kinshasa

Kiongozi wa Muungano wa Waasi wa Congo River Alliance unaolijumuisha kundi la wapiganaji wa M23 waliofanikiwa kuuteka Mji wa Goma,...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Apokea Risala ya Wajumbe wa NEC, Waunga Maazimio ya Mkutano Mkuu CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi jana tarehe 27 Januari 2025, amepokea risala ya...

READ MORE

Amfumania Mkewe na Mtoto wa Kambo Chumbani

Jina langu ni Sele Mutiso, mkazi wa Mwingi Town nchini Kenya, leo nitasimulia hadithi ambayo imetikisa familia yangu kwa kiasi...

READ MORE