×

Habari

”Amazing Tanzania” Yawashangaza Wengi Guangzou, Wachina Kuanza Kumiminika Tanzania

Maadhimisho ya Miaka 60 kati ya Tanzania na China katika sekta za Utalii na Utamaduni yaliyoambatana na Misafara ya Kutangaza...

READ MORE

Kuboresha Malipo ya Ada za Shule: Benki ya Exim Yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

Katika juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’...

READ MORE

Waziri Mkuu, Nape Wakoshwa na Banda la Global TV katika kongamano la Wanahabari wa Mitandao (JUMIKITA) – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 21, 2024 ni mgeni rasmi katika kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya…

READ MORE

Mtu mmoja afariki baada ya ndege ya Singapore Airlines kukumbwa na msukosuko

Abiria mmoja amefariki na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa kwenye ndege ya shirika la ndege la Singapore kutoka London kuelekea...

READ MORE

Iran yatangaza siku tano za maombolezo ya kifo cha rais wake

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ametangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa nchi hiyo, Ebrahim...

READ MORE

Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaamua Zuma hawezi kuwania ubunge

Mahakama ya juu ya Afrika Kusini imesema rais wa zamani Jacob Zuma anayekabiliwa na kashfa ya ufisadi hastahili kuwania ubunge...

READ MORE

Kanisa La Ubungo TAG Yaiboresha Ofisi Ya Serikali Za Mitaa National Housing

Kakika Kuadhimisha miaka 85 ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God ni Kanisa lililotokana na uamsho mkubwa ulioanza huko mtaa...

READ MORE

Benki ya NMB Yapata Idhini Kuwa Wakala wa Madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam

Benki ya NMB imepata idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CSMA)...

READ MORE

Aweso ashiriki kupitisha Azimio la Mawaziri la Kongamano la 10 la Maji Duniani

  Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani katika Kongamano la 10 la Maji Duniani (10th World Water Forum) ambalo limepitisha...

READ MORE

EQUITY Bank Yazindua Dirisha La Wanawake Liitwalo Mwanamke Plus

BENKI ya Equity imezindua Dirisha la Wanawake – Mwanamke Plus ambalo ni mpango maalum unaolenga kuwainua wanawake katika sekta ya...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ataka Maofisa Utumishi Kuacha Uonevu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu...

READ MORE

Milion 2.5 Kushindaniwa Meridianbet Kasino Mtandaoni

Expanse Tournament kasino moja ya promosheni ya Meridianbet inayoendelea kufanya vizuri mjini, inatoa zawadi kibao kama bonasi za kasino, mizunguko...

READ MORE

Rais wa Iran Ebrahim Raisi Afariki Dunia Katika Ajali ya Helikopta

Rais wa Iran Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amir-Abdollahian na wengine kadhaa wamethibitishwa kufariki dunia katika ajali...

READ MORE

Mtu mmoja afariki dunia katika ajali ya msafara wa rais Ghana

Mtu mmoja amethibitishwa kufariki huku wengine wakipata majeraha tofauti tofauti kufuatia ajali iliyohusisha magari kadhaa ya msafara wa Rais Nana...

READ MORE

CCM Yamteua Suzan Kunambi, Kuwa Katibu Mkuu Wa Jumuiya Ya Wanawake (UWT)

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imempitisha Khamis Yussuf Mussa (Pele) kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mdogo...

READ MORE

Tanzania Yang’ara Ajenda Ya Maji Kwa Ustawi Wa Wote, Aweso Atoa Kauli

  Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amemuwakilisha Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Helikopta Iliyombeba Rais wa Iran Yapata Ajali, Juhudi za Kuitafuta Zapamba Moto

Helikopta iliyokuwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi imeripotiwa kupata ajali leo Jumapili, Mei 19, 2024 Mashariki mwa Azerbaijan. Shirika...

READ MORE

Mashindano ya CAF African Schools Football Championship Kutimua Vumbi Zanzibar

Msimu wa pili wa fainali za mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu kwa wanafunzi Africa, CAF African Schools Football...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Aongoza Kikao Cha Kamati ya CCM Zanzibar

Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum...

READ MORE

Mshindi wa Tuzo ya Nobel aliye gerezani Iran akabiliwa na kesi mpya

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel wa Iran aliyefungwa gerezani, Narges Mohammadi, anakabiliwa na kesi mpya kuhusu tuhuma alizotoa...

READ MORE

Serikali Kuongeza Shule Za Sekondari Kidato Cha Tano Na Sita

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba (Mb) Serikali imefanya jitihada...

READ MORE

RC Makonda Aagiza Takukuru Kufanya Uchunguzi Tuhuma Za Rushwa Kwa Watumishi Wa Jiji La Arusha – Video

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoa wa Arusha...

READ MORE

Kamati 115 Zaundwa Kufuatilia Ukatili Wa Kijinsia

Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imeunda kamati maalumu 115 za kufuatilia kwa karibu viashiria na kukomesha matukio ya ukatili...

READ MORE

Msaada wa Vyakula Watolewa na Meridianbet Chamazi

Jumamosi ya leo Meridianbet wametua pale Chamazi Magengeni kwaajili ya kutoa msaada wa vyakula kwa wakazi wa hapo hasa kwa...

READ MORE

Watu 9 wafariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutumbukia mtoni Kenya

WATU tisa wamethibitishwa kufariki baada ya basi walimokuwa wakisafiria kutumbukia kwenye mto Mbagathi uliopo jijini Nairobi, vimeripoti vyombo vya habari...

READ MORE

Mnadhimu Mkuu Wa JWTZ Amkabidhi Zawadi Rais Wa Baraza La Michezo Ya Majeshi Duniani

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Jenerali Salum Haji Othman amemkabidhi zawadi Rais wa...

READ MORE

Mshindi Parimatch Kitaa Cup 2024 Kupata Zawadi Nono

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Parimatch imezindua  michuano maalum ijulikanayo kwa jina la Parimatch Kitaa Cup 2024 yenye lengo...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Pugu Marathon

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 18, 2024 ameshiriki kwenye Mbio za Hisani za Pugu (Pugu Marathon) za kuchangia Uendelezaji...

READ MORE

Mamia Wafunguliwa Kimiujiza Kwa Kiboko Ya Wachawi, Simu Zajaa Miamala Ghafla, Wengine Waitwa Kazini

Amini usiamini ushirikina upo na uchawi upo na binaadamu tunafungana saana kiuchawi. Umati mkubwa wa waumini uliofurika kanisani kwa Kiboko...

READ MORE

NMB ‘Yafunga Ndoa’ Na Wanawake Wanaomiliki Shule, Vyuo Tanzania

BENKI ya NMB imeingia makubaliano rasmi (MoU) na Chama cha Wanawake Wamiliki wa Shule na Vyuo Tanzania (TAWOSCO), yaliyosainiwa sambamba...

READ MORE

Jenerali Mahamat Idriss Deby ameshinda uchaguzi wa rais nchini Chad

Baraza la Katiba lililotangaza ushindi huo pia lilikataa ombi lililotolewa na Waziri Mkuu Succes Masra la kutaka kufutwa matokeo hayo....

READ MORE

NBC Yazindua Bima ya Afya kwa Wakulima, Yatambulisha Kampeni ya Kuhamasisha Kilimo cha Ufuta Lindi na Mtwara

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Assemble Insurance imezindua huduma ya Bima ya...

READ MORE

Wiki ya Sekta Binafsi Tanzania 2024 Imewadia! 

Ni wakati mwingine wa kusherehekea na kutambua mchango wa Sekta Binafsi katika katika kujenga uchumi wa Taifa letu tukio hili...

READ MORE

Majaliwa: Michezo Ni Nyenzo Muhimu Inayodumisha Amani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika...

READ MORE

Meridianbet Promosheni Ya Expanse Inatoa Tsh 400,000,000/= Cheza Kasino Na Ushinde!

Maokoto yameongezeka kwenye promosheni ya Expanse inayoendelea kutimua vumbi kupitia Meridianbet Kasino ya mtandaoni, mpaka sasa washindi wanaweza kujinyakulia kitita...

READ MORE

TMA Yatoa Taarifa ya Uwepo wa Kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa...

READ MORE

RC Makonda Amuomba Rais Wa Zanzibar Kushirikiana Katika Sekta Ya Utalii – Video

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, amemuomba Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi kushirikiana...

READ MORE

Waziri Ndejembi Atoa Onyo Kwa Waajiri Wasiowasilisha Michango ya Wafanyakazi Wao NSSF

Serikali imesema haitawavumilia waajiri wote wa sekta binafsi ambao wanakata michango ya wafanyakazi wao bila kuiwasilisha katika Mfuko wa Taifa...

READ MORE

Dkt. Msonde Akutana Na Walimu Zaidi Ya 1,900 Karatu, Ataja changamoto Kuu 6 zinazowakumba

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dr. Charles E. Msonde amekutana na walimu...

READ MORE