×

Habari

Nchimbi na Nape ‘Mazungumzo Mazito’

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Dkt. Balozi Emmanuel John Nchimbi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM...

READ MORE

Tume ya Uchaguzi ya Afrika Kusini yaandikisha wafungwa kupiga kura

Maafisa wa uchaguzi wa Afrika Kusini wametembelea jela kote nchini , kama sehemu ya kuandikisha takriban wafungwa laki moja, ili...

READ MORE

Magifti Dabodabo Yazidi Kunoga, Wawili Walamba Milioni 5 Kila Mmoja Mwingine Vifaa Vya Hisense

Dar es Salaam, 2 Januari 2024: Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo kupitia kampeni yake ya Magifti Dabodabo leo...

READ MORE

Waziri Angellah Kairuki Awapisha Kamishna Mkuu Wa Uhifadhi

KAMISHNA mpya wa Uhifadhi (CC) wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Juma Kuji amekula kiapo cha utii, katika...

READ MORE

Rais Dk. Mwinyi Awaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri Aliowateua

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewataka  viongozi mbalimbali kuongeza kasi mara mbili kuwatumikia...

READ MORE

Jeshi La Polisi Latoa Ufafanuzi Wa Kupotea Baba Na Mtoto Geita

Jeshi la Polisi nchini limetoa ufafanuzi wa taarifa iliyo ripotiwa katika baadhi ya vyombo vya Habari ambayo ilikuwa na kichwa...

READ MORE

Rais wa Brazil amemfuta kazi afisa katika idara ya ujasusi

Kufukuzwa kazi kwa Alessandro Moretti ni baada ya polisi kuvamia nyumba inayohusishwa na Carlos Bolsonaro, diwani wa Rio de Janeiro....

READ MORE

CRDB Yazindua Msimu wa Tatu wa Kampeni ya ‘Benki ni SimBanking’

Katika jitihada zake za kuhamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali nchini, Benki ya CRDB imezindua msimu wa tatu wa kampeni...

READ MORE

Aliyewagonga Watu Watatu na Kusababisha Vifo vyao Afikishwa Mahakamani

Afisa Elimu Taaluma wilayani Kwimba mkoani Mwanza, Samwel Kulinga (44) amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka manne likiwemo la kuendesha gari...

READ MORE

Meridianbet Yafika Kigamboni na Kugawa Chakula

Safari ya kuelekea maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam kuzishika mkono familia zenye hali ngumu ya kimaisha, ilianzia...

READ MORE

Accelerate Africa Tanzania, AIM Wazindua Shindano Kwa Wajasiriamali

Dar es Salaam, 31 Januari 2024:Mtandao wa Accelerate Africa Tanzania kwa kushirikiana na AIM startups wamezindua rasmi shindano ambalo litawawezesha...

READ MORE

Waziri Mkuu Ammjulia hali Mama mzazi wa Halima Mdee jijini Dodoma

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye...

READ MORE

Dkt. Dugange: Vikundi 345 Vimekidhi Vigezo Vya Kupewa Zabuni

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt Festo Dugange amesema Serikali za Mitaa zimeweka utaratibu wa kusajili makundi maalum...

READ MORE

Mikoa 17 Yabainika kuwa na Wagonjwa wa Macho Mekundu (Red Eyes) au ‘Pink Eye Conjunctivitis’

Mikoa 17 imebainika kuwa na Wagonjwa wa Macho Mekundu (Red Eyes) au ‘Pink Eye Conjunctivitis’ ambapo hadi kufikia Januari 26,...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Zimbabwe Aachiliwa Kutoka Jela

Kiongozi wa upinzani wa Zimbabwe Job Sikhala, ambaye amekuwa kizuizini kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu, ameachiliwa Jumanne, baada...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano, Januari 31, 2024

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 31, 2024 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Yanga Yamtambulisha mshambuliaji wake mpya Joseph Guede Azam Complex, Chamazi

Klabu ya Yanga imemtambulisha mshambuliaji wake mpya Joseph Guede aliyesajiliwa katika dirisha dogo la usajili akitokea klabu ya Tuzlaspor inayoshiriki...

READ MORE

Wakulima Waula, TCDC Na Tigo Zaingia Makubaliano Ya Kuboresha Mifumo Ya Mauzo ya Mazao

Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo imeingia makubaliano na Tume ya Maendeleo ya ushirika Tanzania kwa lengo...

READ MORE

Bodi ya NIRC Yaridhishwa Utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Tlawi Manyara

Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya umwagiliaji inayoendelea kutekelezwa na Tume ya...

READ MORE

Rais Samia Azindua Vizimba vya Kufugia Samaki, Agawa Boti Mwanza

Muonekano wa Boti za Kisasa pamoja na vizimba vya kufugia Samaki ambavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia...

READ MORE

Ubunifu na Uendelevu wa Serengeti Ulivyorahisisha Maisha ya Watanzania 2023

Katika harakati za kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja, Serikali imedhamiria kupambana na umasikini kwa kujenga Uchumi wa Kiushindani wa...

READ MORE

NMB Yapata Mafanikio Ya Kihistoria, Yatengeneza Faida Kabla Ya Kodi Ya Shilingi Bil 775

-Faida kabla ya kodi: Shilingi Bilioni 775, ongezeko la asilimia 26 kwa mwaka -Faida baada ya kodi: Shilingi Bilioni 542,...

READ MORE

Video: Mama Nandy Afunguka Baada Ya Kumzika Mwanaye Aliyeuawa Kinyama Na Wanaodaiwa Kuwa Sungusungu….

Mama wa kijana anayedaiwa kuuawa na sungusungu anayejulikana kwa jina maarufu la Mama Nandy, amezungumza tena na Global TV baada...

READ MORE

Zingatia Haya kulinda vifaa vya umeme nyumbani msimu huu wa mvua.

    Dar es Salaam. Maeneo tofauti nchini Tanzania yanashuhudia mvua kubwa ambazo sio tu zinaathiri miundombinu na kuhatarisha usalama wa...

READ MORE

Mkutano wa Kumi na Nne wa Bunge la Kumi na Mbili Kuanza leo Dodoma

Mkutano wa Kumi na Nne wa Bunge la Kumi na Mbili umepangwa kufanyika kwa muda wa wiki tatu kuanzia leo...

READ MORE

Utabiri TMA: Mikoa 8 Itarajie Mvua Kubwa leo Januari 30 Na 31, 2024

Mikoa ya Morogoro, Lindi, Iringa, Mtwara, Mbeya, Songwe, Njombe na Ruvuma inatarajiwa kupata Mvua za Juu ya Wastani kuanzia Januari...

READ MORE

Barnaba, Meja Kunta, Kontawa Kukamua Shoo ya Nguvu kwa Wanavyuo

Wasanii maarufu Bongo, Barnaba, Meja Kunta, Kontawa, Platform, Lony Bway, Lody Music na wengine kibao, wanatarajiwa kukamua shoo ya nguvu...

READ MORE

Mali, Burkina Faso na Niger wajiondoa kwenye ECOWAS

Mataifa ya Afrika Magharibi ya Mali, Burkina Faso na Niger yamejiondoa kwenye shirika la kiuchumi la kieneo la ECOWAS, viongozi...

READ MORE

Vutuo Vipya vya Afya, Zahanati Kuanza Kutoa Huduma Januari 29, 2024

Mkurugenzi wa Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa –...

READ MORE

Hali ni Shwari Bandari ya Dar es Salaam, Oparesheni Zinaendelea

Shughuli za kiuendeshaji katika bandari ya Dar es Salaam zinaendelea vyema huku gati zote ndani ya bandari hiyo zikiendelea na...

READ MORE

MNEC Simiyu Awaasa Viongozi Wa Kuchaguliwa na Wananchi, Atoa Pikipiki Kwa Askari Wanyamapori

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (MNEC) Mkoa wa Simiyu, Emmanuel Gungu ametoa Pikipiki mbili  kwa askari...

READ MORE

POLISI WAMKAMATA ALIYOWATAPELI WATALII WALIOKUJA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Jeshila Polisi limesema limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa aliyewatapeli watalii walikuja nchini kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro huku likibainisha kuwa Tanzania...

READ MORE

Hakielimu, Chuo Kikuu HAMK Kuimarisha Elimu ya Undi na Mafunzo Tanzania

Mkuu wa Uchumi na Utawala Umoja wa Ulaya, Karina Dzialowska (wa pili kushoto) pamoja na Afisa wa Umoja wa Ulaya...

READ MORE

LAAC Wazitaka Halmashauri Kusimamia Kikamilifu Miradi Inayotekelezwa Kwa Force Account

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Mhe. Stanlaus Mabula amezitaka halmashauri kusimamia...

READ MORE

DKT. BITEKO AMWAKILISHA RAIS SAMIA UWEKAJI WAKFU ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA BUKOBA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, leo amemwakilisha Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Sherehe za...

READ MORE

Barabara ya Kidatu- Ifakara, Daraja la Ruaha Kukamilika Machi 2024

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amemtaka mkandarasi Reynolds Construction Company (RCC), anayejenga barabara ya Kidatu- Ifakara km 66.9...

READ MORE

Vitalu 24 Vyabainika Kuwana Mafuta na Gesi Nchini

Mamlaka ya Udhibiti wa Shughuli za Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema inatarajia kutangaza vitalu 24 vya Mafuta na...

READ MORE

Aweso Ampa Mkandarasi Siku 30 Kukamilisha Mradi wa Maji Navanga

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa siku 30 kwa Mkandarasi Halem Construction kukamilisha ujenzi wa Mradi wa Maji Navanga. Waziri...

READ MORE

Vijana BBTWasherehekea Birthday ya Rais Samia, Wamtakia Maisha Mema

VIJANA walio kwenye mradi wa Jenga Kesho yako iliyo Bora (BBT) katika shamba la Chinangali leo Januari 27 wameungana na...

READ MORE