×

Habari

Makamu wa Rais Ashiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi Lusaka, Zambia

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ni jukumu lao kufanya kazi kwa pamoja ili...

READ MORE

Waziri Nape na Naibu Waziri wa Maji Wanogesha Usiku Wa Malkia Wa Nguvu Mlimani City

Machi 24, 2024 kumefanyika Usiku wa Malkia wa Nguvu katika Ukumbi wa Mlimani City Hall Dar es Salaam, Waziri wa...

READ MORE

Dkt. Biteko Aagiza Wizara Ya Maji Kuhakikisha Wananchi Wanapata Maji Safi Na Salama

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameitaka Wizara ya Maji kuhakikisha watanzania wanapata huduma ya maji...

READ MORE

Waziri Silaa Ataja Changamoto Sekta Ya Ardhi Wakati Akiwasilisha Randama

Waziri wa ardhi Nyumba na Maendeoleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Wizara yake bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uhaba...

READ MORE

Maafisa wa Russia wamewakamata watu 11 katika shambulizi lililotokea Jumamosi

Rais Putin ameliita tukio hilo kuwa ni kitendo cha umwagaji damu, cha kikatili na kigaidi na kusema waliohusika moja kwa...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Awapongeza wanaCCM wa Pemba kwa kuilinda na kuitetea CCM

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema anawaheshimu na kuwakubali wanaCCM wa Pemba kwa...

READ MORE

Mashindano ya Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu Kufanyika Aprili 13,2024

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 23, 2024 Jijini Dar es...

READ MORE

ANC yakipekeka mahakamani chama kipya cha upinzani

Chama tawala Afrika Kusini kimekwenda mahakamani kujaribu kukizuia chama kipya cha upinzani kushiriki uchaguzi utakaofanyka mwezi Mei. Uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

Laac: Hatutakubali Serikali Ipate Hasara Matumizi ya fedha za Umma

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imesema itahakikisha inasimamia ipasavyo matumizi ya fedha za...

READ MORE

Bila ya Amani, Hakuna Mtangamano na Maendeleo

Nchi Wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimetakiwa kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa nchi zao zinakuwa na...

READ MORE

Serikali Kutekeleza Miradi Mikubwa 9 ya Kimkakati Kipande cha Igawa – Tunduma (km 218)

Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imekusudia kutekeleza miradi mikubwa 9 ya kimkakati...

READ MORE

Majaliwa Azitaka Halmashuri Kuweka Mpango Wa Ufuatiliaji Na Tathmini Ya Matumizi Ya Ardhi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezielekeza Halmashauri zote zinazotekeleza mradi wa Mpango wa Matumizi ya Ardhi ya Vijiji kuandaa mpango wa...

READ MORE

Nchi za SADC Zajipanga Kumaliza Changamoto za Kiusalama Mashariki Mwa DRC na Jimbo la Cabo Delgado

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo anaongoza ujumbe wa Tanzania...

READ MORE

Spika wa bunge la Afrika Kusini achukua likizo kufuatia tuhuma za rushwa

Spika wa Bunge la Afrika Kusini Nosiviwe Mapisa-Nqakula, alisema Alhamisi kwamba atachukua likizo maalum, kutokana na uchunguzi wa tuhuma za...

READ MORE

TRA Yapeleka Elimu ya Mlango Kwa Mlipakodi Shinyanga

  Timu ya maofisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) idara ya Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wamefunga kambi katika...

READ MORE

Kampeni Ya Rais Dk. Samia Yazidi Kuungwa Mkono, Oryx Gas Yafikisha Huduma Ya Kisasa Soko la Feri

NAIBU SPIKA wa Bunge Hassan Zungu, amewahakikishia Mama Lishi na Baba lishe katika Soko la Samaki la Kimataifa Feri kuwa...

READ MORE

ACT Wazalendo Watishia Kujitoa Serikali Ya Umoja Wa Kitaifa Zanzibar, Ado Shaibu Afunguka – Video

Katibu mkuu chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu leo Machi 22, 2024 amefanya mahojiano na @255globalradio na @globaltvonline na kudai...

READ MORE

Rais Hussein Ali Mwinyi Aondoka Zanzibar Kushiriki Mashindano ya Tajweed ukumbi wa JNICC, Dar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi Machi 22, 2024 ameondoka Zanzibar na kuwasili Jijini...

READ MORE

Waziri Nape Ateua Wajumbe wanne wa Bodi ya TCRA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewateua Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),...

READ MORE

TMA Yatoa Elimu Namibia Kuhusu Hali ya Hewa

Tanzania kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imewanoa watumishi wa Taasisi ya Hali ya Hewa kutoka Nchini Namibia...

READ MORE

Majaliwa Awataka Mawakili Na Maafisa Sheria Kuzingatia Weledi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Maafisa Sheria na Mawakili wa Serikali nchini kutekeleza majukumu kwa kuzingatia weledi, usawa na uadilifu...

READ MORE

Museveni Amteua Mtoto wake Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi (CDF)

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amemteua Mtoto wake Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi (CDF) Nchini Uganda akichukua...

READ MORE

Kijana: Ajali Imekatisha Ndoto Zangu, Nisaidieni Nipo Kitandani Miaka 4 Mgongo, Nyonga Havifanyi Kazi- Video

Kijana Michael Charles Nyawanda (35), mkazi wa Mtaa wa Nyasula, Bunda mkoani Mara anasumbuliwa na tatizo la mgongo pamoja na...

READ MORE

Dkt. Mahera Akemea Watumishi wa Afya Wenye Lugha Chafu

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dkt. Charles Mahera amekemea tabia ya baadhi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 22, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Tigo Yachaguliwa Kuwania Tuzo Ya ITU WSIS 2024 Kupitia Mradi Wa UCSAF

Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo imechaguliwa kuwania Tuzo ya ITU WSIS 2024 kupitia mradi wa UCSAF (Mfuko wa...

READ MORE

Dance Club Yazindua Kampeni Simba Na Yanga Kuelea Robo Fainali Club Bingwa Afrika

Dar es Salaam, 21 Machi 2024: Baa ya Dance Club iliyopo Mwenge Mpakani jijini Dar es Salaam, imezindua kampeni maalum...

READ MORE

Watu 1404 Waathirika Na Mafuriko Kilosa Mkoani Morogoro, Nyumba 351 Zimefurika Maji

Morogoro, 21 Machi 2024: JUMLA ya watu 1404 wameathirika na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha katika Wilaya ya Kilosa mkoani...

READ MORE

Mahafali Kidato cha Sita Yafaana Sengerema Sekondari!

Licha ya kufanya vizuri kwenye Matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 kwa kufuta daraja la nne na sufuri shule...

READ MORE

Rubani Ahukumiwa Kifungo Cha Miezi 10 Jela Kwa Kufika Kazini Akiwa Amelewa

Rubani mmoja wa Shirika la Ndege la Delta, amehukumiwa kifungo cha miezi 10 Jela kwa kufika kazini akiwa amelewa. Mnamo...

READ MORE

Wanafunzi Waomba Serikali Kupata Miti ya Matunda Mashuleni

Wanafunzi wa shule ya msingi Matwiga iliyokoa Kata ya Misheni wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza wameiomba Serikali ielekeze nguvu kupanda...

READ MORE

Mpango Aimwagia Sifa Wizara Ya Maji, Aisifu Kwa Chenji Kubaki

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango ameipongeza Wizara ya Maji kwa utekelezaji mzuri...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yafurahishwa na Kasi ya Utekelezaji wa Miradi ya Nishati

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya wizara ya...

READ MORE

Taifa Gas Yaendesha Kampeni Maalumu Ya Matumizi Ya Gesi Wakati Wa Ramadhani

Taifa Gas imezindua kampeni maalum wakati wa mwezi wa Ramadhani inayojulikana kama “Ramadhan Iftar Campaign” inayolenga kuhimiza matumizi ya gesi....

READ MORE

Dkt. Mpango aimwagia sifa Wizara ya Maji, aisifu kukamilisha mradi na chenji kubaki

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ameipongeza Wizara ya Maji kwa utekelezaji...

READ MORE

Jokate Mwegelo Atembelea Ubalozi Wa Tanzania Nchini Korea Kusini

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Jokate Mwegelo, atembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini na...

READ MORE

Serikali Yatangaza Tahasusi (Combination) 65 Za Kidato Cha Tano, 2024

SERIKALI kupitia Ofisi Ya Rais Tamisemi @ortamisemi imekamilisha zoezi la awali la kuingiza kwenye kanzidata taarifa zilizo kwenye Fomu za...

READ MORE

TANROADS Njombe Yaeleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Kipindi cha Miaka Mitatu Sekta ya Ujenzi

Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na jitihada za ujenzi wa miundombinu...

READ MORE

Video: Mke Wa Bakhresa Wa Tabata Aliyechomwa Moto Afunguka Mazito, ”Walimchoma Tumboni Bisibisi”

Kijana Gidion Sanaa almaarufu Bakhresa aliyekuwa akijishughulisha na kazi ya kuendesha bodaboda, ameuawa kikatili kwa kupigwa na kuchomwa moto akituhumiwa...

READ MORE

Balozi Nchimbi; Watanzania Wajivunia Miaka 3 ya Uwezo Mkubwa Wa Rais Dkt.Samia

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa Watanzania wote kwa ujumla wao wanajivunia...

READ MORE