×

Habari

Banda la TPA Lawa Kivutio Maonyesho ya Biashara Zanzibar

Banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), limeendelea kuwa kivutio kwa watembeleaji wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa...

READ MORE

Baraza La Uuguzi Na Ukunga Lafuta Matokeo Ya Mtihani Wa Usajili Na Leseni Kwa Watahiniwa 1,330 Wa Stashahada

Taarifa ya Wizara ya Afya imeeleza kuwa Mnamo Septemba 7, 2023, Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania liliendesha Mitihani ya...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Januari 16, 2024

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 16, 2024 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Matumizi ya Nishati Jadidifu Yatajwa kuwa Suluhu ya Changamoto Ya Athari za Mabadiliko ya Tabianchi

Wakati Tanzania na dunia kwa ujumla ikipambana na athari za mabadiliko ya tabianchi pamoja na ukosefu wa ajira kwa vijana,...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Atoa Shukrani Kwa Nwenyekiti Dkt. Samia Na Wajumbe Wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa

Matukio mbalimbali katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa kilichotanguliwa na Kikao cha Kamati Kuu ya Halmshauri...

READ MORE

Mfalme Frederik X apewa kiti cha ufalme Denmark

Mfalme wa Denmark Frederik X alipewa kiti cha ufalme siku ya Jumapili, akimrithi mama yake, Malkia Margrethe II, ambaye alijiuzulu...

READ MORE

Kishindo cha Maokoto Ndani ya Kizibo Chazidi Kutingisha Kila Mahali

Kishindo cha Kampeni ya Serengeti Maokoto Ndani ya Kizibo kinazidi kusikika kwa wateja wa SBL ambapo washindi kibaao wanaendelea kujishindia...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatatu, Januari 15, 2024

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 15, 2024 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

ZIC Yazindua Mpango wa Mabadiliko ili Kuchochea Utoaji Huduma kwa Wateja

Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limezindua mpango wake mpya wa kubadili muonekano na taswira yake kijamii na kibiashara hatua...

READ MORE

Chama tawala cha Taiwan chashinda Urais kwa awamu ya tatu mfululizo

Chama tawala cha Taiwan cha Democratic Progressive, kimepata ushindi usiotarajiwa wa urais kwa awamu ya tatu mfululuzo Jumamosi, huku mgombea...

READ MORE

Inasikitisha! Baba Amuua Mtoto Wake Wa Miezi Mitano Kisa Kulia Usiku Wa Manane – Majirani Wamlilia – Video

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kubilu Bahege (20) mkazi wa eneo la Kigamboni Mtaa wa Kilimahewa Mji mdogo wa...

READ MORE

Asec Yatoa Masharti Ili… Sankara Karamoko Asaini Yanga

KLABU ya Asec Mimosas ya Ivory Coast imekubali kufanya mazungumzo rasmi na Yanga kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wake, Sankara...

READ MORE

Mtendaji Aliyechukua Mbao Za Bibi Achukua Laki 3 Tena Za Mtuhumiwa Arusha – Video

Mama aliyejitambulisha kwa jina la Ruthila John mkazi wa Lemara Jijini Arusha amezungumza na Global Tv na kutoa madai ya...

READ MORE

Tazama Shamrashamra za Mapinduz Zilivyokuwa Zanzibar, Mwinyi Aongoza Sherehe Za Maadhimisho Ya Miaka 60 – (Picha +Video)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya...

READ MORE

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Yapongezwa Kwa Ufanisi wa Huduma Zake

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA imepongezwa kwa utendaji wenye ufanisi mkubwa na kutakiwa kuongeza juhudi ili kupata mafanikio...

READ MORE

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, GPITG Zaboresha Huduma za Afya kieletroniki

HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Bugando iliyopo jijini Mwanza kwa mara nyingine imeingia mkataba na Kampuni ya Utengenezaji wa Mifumo...

READ MORE

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Usimamizi Ujenzi Wa Shule Ya Nsalaga

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imefurahishwa na namna TAMISEMI walivyosimamia ujenzi na...

READ MORE

Gavana wa Zamani Benki Kuu ya Burundi Dieudonné Murengerantwari Aachiwa Huru

Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Burundi “BRB” Dieudonné Murengerantwari, ameachiwa huru ikiwa ni miezi mitatu baada ya kupelekwa katika...

READ MORE

Mbunge Cherehani: Tumieni Umeme wa REA Kujiletea Maendeleo

Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mhe. Emannuel Cherehani amewataka wananchi kutumia uwepo wa umeme wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA)...

READ MORE

Makamu wa Pili wa Rais Z’bar Azindua Mikopo ya Boti za Uvuvi ya NMB

*Pia, NMB yakabidhi vifyaa vya kuezekea madarasa vya Mil. 22/- MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla,...

READ MORE

Rais Samia Avalishwa Nishani ya Mapinduzi ya Viongozi wenye sifa za Kipekee (Order of Praise)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amevalishwa Nishani ya Mapinduzi ya Viongozi wenye sifa za...

READ MORE

Rais Dkt.Mwinyi Akutana Na Mwenezi Makonda Ikulu Zanzibar

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Katibu...

READ MORE

Ndejembi Akerwa Na Kasi Ndogo Ya Ujenzi Wa Shule Ya Wasichana Iringa

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Deogratius Ndejembi amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuhakikisha anamsimamia Mhandisi wa ujenzi...

READ MORE

Rais Samia Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa DART

Rais Samia ametengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART), Dkt. Edwin P. Mhede huku taarifa...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Januari 11, 2024

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 11, 2024 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Part 2: Abdi Banda Afunguka Kuvunjika Kwa Ndoa Yake Na Zabibu Kiba -Migogoro Ya Mapenzi Na Maisha Ya Mbali.

Baada ya kukiri kuwa ndoa yake na Zabibu Kiba (dada wa Alikiba), imevunjika, Global TV imembana Abdi Banda kuweka wazi...

READ MORE

Rais Samia Aridhia Utekelezaji Mradi wa Maji Wa Ziwa Victoria Kufikishwa Ushetu

Na Mathias Canal, Ushetu-Kahama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameridhia kuanza kwa utekelezaji...

READ MORE

CMSA Yafika Zanzibar Kutoa Elimu ya Uwekezaji

KATIKA kuadhimisha Sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar Mamlaka ya Masoko ya Mitaji ya dhamana  (CMSA) imetinga visiwani...

READ MORE

Rais Samia Afungua Hospitali Ya Mkoa Lumumba -Mjini Magharibi, Z’bar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifungua Hospitali ya Mkoa ya Lumumba ya Mjini Magharibi visiwani...

READ MORE

Pombe Kali za Bei Rahisi Zamkera Mbunge Shigongo Buchosa

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo amekemea matumizi mabaya ya  pombe yanayofanywa na baadhi ya vijana wa jimbo hilo...

READ MORE

Mahakama ya katiba DRC yathibitisha ushindi kwa Rais Felix Tshisekedi

Tshisekedi alipata asilimia 73.47 ya kura wakati wa uchaguzi wa Desemba 20 mahakama ya katiba DRC imesema. Mahakama ya katiba...

READ MORE

Msama Promotion: Tamasha La Pasaka Mwaka Huu 2024 Kufanyika Nchi Nzima

Dar es Salaam 10 Januari 2024: Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama  waandaaji wa Tamasha la Pasaka amesema...

READ MORE

Sloti Ya 81 Vegas Magic, Zingatia Haya Ushindi Ni Rahisi!!

Nasikia kuna watu wamepagawa sana na mchezo wa AVIATOR yani huwaambii kitu, lakini kuna michezo mingi sana ya kupiga hela...

READ MORE

Rais Samia Akizindua Jengo La Kitega Uchumi – Pemba (Picha na Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizindua jengo la Kitega Uchumi la Zanzibar State Trade Cooperation...

READ MORE

LALJI Foundation Yatoa Misaada Mbalimbali kwa Watoto Yatima 400

Taasisi isiyo ya kiserikali ya LALJI FOUNDATION imetoa msaada wa vifaa pamoja na sare za shule kwa kwa watoto yatima...

READ MORE

#Exclusive: Mfanyabiashara Anayetrendi Kariakoo – Ajilipua Wanaotangaza Bei Wakiwa China…

Mara nyingi huwa ni rahisi zaidi kusikia stori za mke akilalamika kwa watu kuhusu madhila anayofanyiwa na mumewe lakini mwanadada...

READ MORE

ATCL: Bombardier Q300 iliyopo kwenye matengenezo Malta sio miongoni mwa ndege mpya zilizonunuliwa na Serikali

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imeujulisha Umma kuwa ndege yake aina ya Q300 (Bombardier) iliyopo kwenye matengenezo nchini Malta sio...

READ MORE