×

Habari

Watu 73 Wafariki Baada ya Moto Kuteketeza Jengo la Makazi nchini Afrika Kusini -Video

Moto ulioteketeza jengo la ghorofa tano ambalo liligeuzwa kuwa makazi haramu uliwaua zaidi ya watu 70 wakiwemo watoto katikati ya...

READ MORE

Aliyekuwa Mkurugenzi Wa Jiji Arusha Ahukumiwa Kifungo Cha Miaka 20 Jela – Video

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk. John Pima na wenzake wawili, wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, hukumu...

READ MORE

Mganga Ahukumiwa Miaka 7 Jela Kwa Kumuua Mke Wa Mwanajeshi – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro, imemhukumu kifungo cha miaka 7 jela mkazi wa Kisaki ambaye ni mganga wa...

READ MORE

Tanzania kinara wa kuzalisha Chakula Hasa Mahindi na Mchele Afrika

Wakati Tanzania inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Mifumo ya Chakula ya Afrika (AGRF) utakaofanyika Septemba 5-8, 2023, jijini...

READ MORE

Anataka Turudiane Akidai Mimba ni Yake Baada ya Kuniacha Kisa Sibebi Ujauzito

Jina langu ni Husna kutokea Morogoro, niliolewa mwaka 2010 huku huku Morogoro nikiwa kama mke wa pili kwa mume wangu...

READ MORE

Michuano ya African Football League (AFL) Kuzinduliwa Oktoba 2023, Droo Kufanyika Sept. 1

Klabu bora zaidi barani Afrika zitachuana katika mashindano ya Kihistoria ya African Football League (AFL) yanayotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka...

READ MORE

Simba Yasuka Silaha Za Maangamizi Dhidi ya Power Dynamos

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa, muda uliopo kwa sasa ni benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira...

READ MORE

Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete; Ni Marufuku Kutuma Nyaraka za Serikali WhatsApp

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete amesema sheria inayosimamia nyaraka za...

READ MORE

Mchungaji Akamatwa Kwa Kutengeneza Tukio La Uongo La Kishirikina Kuwalaghai Waumini – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu wawili akiwemo mchungaji wa Kanisa la Pentecoste Gospel Mission lililopo lililopo Kibaha...

READ MORE

Maxi, Pacome Wazua Hofu Yanga Kocha Afunguka, Kuwaongezea Fitinesi

MIGUEL Gamondi ambaye ni Kocha Mkuu wa Yanga, ameibuka na kusema kuwa, mapumziko ya muda mrefu huenda yakamfanya kuanza upya...

READ MORE

Msanii Haitham Alazwa ICU Katika Hospitali ya Temeke, Aomba Msaada

MSANII wa kizazi kipya, Haitham Ghazal Seif @haithamkim amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Temeke jijini...

READ MORE

Rais Samia Alivyozindua Tawi la Benki ya PBZ na NMB Paje Zanzibar – Picha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana amezindua Tawi la Benki ya NMB Paje, Mkoa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Tawi la 230 NMB, Uzinduzi Watikisa Kizimkazi Festival

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 30, amezindua Tawi la Benki ya...

READ MORE

Rais Samia atembelea Ujenzi wa Kituo Cha Afya Kizimkazi Kinachojengwa kwa Ushirikiano wa Serikali na Benki ya NBC

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan ametembelea ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kizimkazi kilichopo...

READ MORE

Mama Mzazi wa Rais wa Shirikisho la soka la Hispania Alazwa, Agoma Kula

Mama Mzazi wa Rais wa Shirikisho la soka la Hispania Luis Rubiales amelazwa baada ya hali yake kubadilika wakati akiwa...

READ MORE

Uingereza kuanza tena program ya chanjo za Covid-19, baada ya kugundulika kwa aina mpya ya kirusi

Uingereza itaanza program ya utoaji chanjo za mafua na Covid-19 wakati wa mwanzo wa msimu wa baridi kama tahadhari baada...

READ MORE

LSF Kushirikiana na North South Cooparation Kuwainua Wanawake Kiuchumi Longido

Shirika la Legal Services Facility (LSF) kwa kushirikiana na Taasisi ya North-South Cooperation kutoka nchini Luxembourg mapema Januari mwaka huu...

READ MORE

Gabon: Rais Awekwa Chini Ya Ulinzi Baada Ya Jeshi Kufanya Mapinduzi

  Rais Ali Bongo aliyekaa madarakani kwa miaka 14, amewekwa kizuizini na Jeshi la Nchi hiyo muda mfupi baada ya...

READ MORE

Rais Samia Amteua Dotto Biteko Kuwa Naibu Waziri Mkuu Na Waziri Wa Nishati

Rais Samia Suluhu amemteua Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Katika nafasi ya Waziri wa Nishati,...

READ MORE

Mbunge wa Sengerema Afunguka Teuzi Mpya Za Mawaziri Na Naibu – Video

Mbunge wa Sengerema Tabasamu Hamisi Hussein Mwagao, ametia neno katika utezi alioufanywa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kile anachodai...

READ MORE

Daktari Feki Akamatwa Muhimbili Akitaka Kuwatapeli Ndugu Wa Mgonjwa – Video

Mkazi wa Dar es Salaam aliyejitambulisha jina la Mussa Mawa amekamatwa katika maeneo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili akijihusisha na...

READ MORE

Rais Samia Avunja Wizara Ya Ujenzi Na Uchukuzi, Aunda Wizara Mbili Mpya, Mabadiliko Baraza La Mawaziri Na Makatibu Wakuu

Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na kuunda Wizara ya Ujenzi na Wizara ya Uchukuzi Amemteua...

READ MORE

Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe kinaomba uitishwe uchaguzi mpya

CHAMA kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha Citizens Coalition for Change (CCC) kimeomba uitishwe uchaguzi mpya baada ya kupinga matokeo...

READ MORE

Mbrazili Roberto Oliviera Achochea Vita Simba Aibuka na Kutamka Mapya

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameibuka na kutamka kuwa bado hana kikosi cha kwanza. Kauli hiyo ameitoa...

READ MORE

Buku Unajichotea Mapene na nafasi ya Kujishindia TECNO Mpyaaa!

CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia...

READ MORE

Mazishi ya Mkuu wa Wagner Yevgeny Prigozhin Yafanyika kwa Faragha

Mazishi ya mkuu wa mamluki wa Russia Yevgeny Prigozhin, ambaye aliuawa katika ajali ya ndege wiki iliyopita, yamefanyika kwa faragha...

READ MORE

Askari Wakamatwa Kwa Mauaji Ya Watu Wawili – Kamanda Muliro Awaanika – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia askari kadhaa kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya watu...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano, Agosti 30, 2023

  HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 30, 2023 CHOTA MAPENE...

READ MORE

Tigo And Samsung Partner To Accelerate The Access Of 5G Technology In Tanzania

Dar es Salaam. 30thAugust, 2023. Tanzania’s leading digital lifestyle company, Tigo Tanzania, has partnered with Samsung Electronics to unveil the...

READ MORE

Rais Samia Aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- Inayojengwa na NMB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya...

READ MORE

Urusi Yasaini Mkataba na Kampuni ya Dubai DP World Bahari ya Arctic

Serikali ya Urusi imesaini Mkataba na Kampuni ya Dubai DP World ili kushirikiana na Kampuni iliyo chini ya Serikali ya...

READ MORE

Tanzania Yaishukuru China Kwa kutoa Fursa na Kufadhili Wanafunzi 30

Serikali ya Tanzania imeishukuru Serikali ya China kwa kutoa fursa na kufadhili wanafunzi 30 kutoka Taasisi ya Teknolojia Dar es...

READ MORE

Wasifu wa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Idara ya Usalama wa Taifa Balozi Ali Idd Siwa

Mkurugenzi Mkuu mpya wa Idara ya Usalama wa Taifa Balozi Ali Idd Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka...

READ MORE

Kesi dhidi ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kuanza kusikilizwa Machi mwakani

Kesi dhidi ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kutokana na madai ya kujaribu kuingilia matokeo ya uchaguzi wa...

READ MORE

Uteuzi: Balozi Ali Idi Siwa Mkurugenzi Mpya Wa Idara Ya Usalama Wa Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Balozi Siwa...

READ MORE

Sheikh Mkuu Abubakar Zubeir Afiwa Na Mwanae Shafii Abubakar Zubeir

  Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zubeir amefiwa na mwanae Shafii Abubakar Zubeir. Msiba uko Kinondoni Mtaa wa...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Agosti 29, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 29, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

TRA Mkoa wa Kikodi Kariakoo Wabandika Stika Maalumu Kuhamasisha Utoaji Risiti

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA, Mkoa wa Kikodi wa Kariakoo wamebandika stika maalumu kwaajili ya uzinduzi rasmi wa kuhamasisha wafanyabiashara...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yaipongeza Serikali Kwa Mazingira Mazuri ya Uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeipongeza serikali kwa kujenga mazingira bora ya uwekezaji nchini...

READ MORE