×

Habari

Wakishua Kutoka Tigo Kuwazawadia Wateja Gari Jipya, Pesa na Vifaa Kutoka Hisense

  Dar es Salaam 23 Novemba 2022, Kampuni inayoongoza katika kuhakikisha Mtanzania anaishi maisha ya kidijitali, Tigo Tanzania, Leo imetangaza...

READ MORE

Kiwanda Cha Mafuta Chaungua Moto Shinyanga, Majeruhi 4 Wakimbizwa Hospitalini

MOTO umezuka na kuteketeza sehemu ya kiwanda cha kuchakata mafuta ya kupikia yatokanayo na mbegu za pamba cha Jielong kilichopo...

READ MORE

Dkt Kigwangalla Adai Dhambi Aliyoifanya Dkt Bashiru Haistahili Huruma

MBUNGE wa Nzega Vijijini na aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Hamisi Kigwangalla ameibuka na kudai kuwa dhambi...

READ MORE

Kundi la Wanaharakati Marekani Kupinga nia ya Trump Kugombea Urais

Kufuatia tangazao la rais wa zamani wa Marekani Donald Trump wiki iliyopita kwamba atawania tena kiti cha rais kwenye uchaguzi...

READ MORE

Waziri Kigahe Azindua Upanuzi Mkubwa wa Kiwanda cha Bia cha SBL Mjini Moshi

  Moshi, Novemba 22, 2022: Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) wameshiriki katika uzinduzi wa upanuzi...

READ MORE

Watu Sita Akiwemo Aliyekuwa Kocha wa Makipa Klabu ya Simba Wafikishwa Mahakamani

  Watu sita akiwemo aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya klabu ya Simba, Muharami Sultan (40) wamefikishwa katika mahakama...

READ MORE

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto Njiti Duniani Yafanyika Hifadhi ya Serengeti

Taasisi ya Doris Mollel Foundation imeadhimisha Siku ya Mtoto Njiti Duniani ambayo kwa kawaida huadhimishwa mnamo tarehe 17 Novemba kila...

READ MORE

Mwanaume Mmoja Akutwa Amefariki Katika Bwawa Dogo Mjini Njombe

MWANAUME mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mpaka 35 amekutwa amefariki katika Bwawa dogo lililopo katika Msitu wa...

READ MORE

Kutana na Mshindi wa Samsung Z Flip 4 Kutoka Meridianbet!

    Wikiendi hii Meridianbet imeshuhudia bingwa na mshindi wa simu mpya aina ya Samsung Z Flip 4, ambaye ameibuka...

READ MORE

Piga Utoboe na Infinix Kama Feisal Salum na Aishi Manula

HABARI njema kwa vijana wapenda soka na wateja wa simu kali za Infinix.Kampuni ya simu Infinix imewatambulisha Rasmi Feisal Salum...

READ MORE

Je, Wewe ni Daktari au Muuguzi? Jiongezee Kipato cha Ziada Kupitia ChapRide

  Je, wewe ni daktari au muuguzi na unavyo vigezo vilivyoelekezwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Ungana...

READ MORE

Nyota wa Manchester United Amuwakia Rais wa FIFA, Amtaka Ajisafishe

NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester United Gary Neville ameibuka na kumtaka Rais wa FIFA Gian Infantino kujisafisha kutokana...

READ MORE

SGA Yapokea Tuzo kwa Ulipaji Kodi Bora

  KAMPUNI ya SGA Security ambayo, ndio kampuni kongwe binafsi ya ulinzi nchini, imepokea tuzo kutoka kwa Mamlaka ya Kodi...

READ MORE

Waziri Mkenda, Waziri Lela Mohammed Waongoza Kikao Cha Mapitio ya Sera na Mitaala

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prf Adolf Mkenda (Mb) pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali...

READ MORE

Rais Samia Akabidhiwa Tuzo ya Uongozi wa Kimageuzi Afrika (African Leadership Award 2022)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hatimaye amekabidhiwa Tuzo ya Uongozi wa Kimageuzi Afrika (African...

READ MORE

Elon Musk Amrejesha Donald Trump Twitter Baada Ya Kufungiwa Miezi 22

Akaunti ya mtandao wa kijamii wa Twitter ya Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump imerejea kwenye mtandao huo, zikiwa ni...

READ MORE

Dk. Rose Rwakatare  Mwenyekiti Mpya Jumuiya ya Wazazi Morogoro

Dk. Rose Rwakatare ameibuka na ushindi wa kishindo kwenye nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Mkoa wa…

READ MORE

Ofisi ya DC Jokate Yagawa Vifaa Tiba Kwa Wajawazito 200, Mpango Unaendelea

  19 Novemba 2022: Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo imegawa vifaa tiba kwa kinamama wajawazito zaidi...

READ MORE

NCBA Yatoa Tuzo Kubwa za Washindi wa Kampeni ya Mpawa

  DAR ES SALAAM, tarehe 19 Novemba. Benki ya NCBA kwa mara nyingine tena, na kwa raundi ya mwisho katika...

READ MORE

Mafanikio Yambeba Mndolwa, Atajwa Kutetea Uenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM

  HIVI karibuni Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangaza majina nane (8) ya makada wake walioteuliwa kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa...

READ MORE

Wanawake Wananigombania Kila Kukicha Kila Mmoja Akitaka Nifunge Naye Ndoa

Katika tamaduni za Kiafrika, mwanaume ndiye anamfuata (kumtongoza) mwanamke wakati anamuhitaji kuwa naye katika mahusiano ya kimapenzi.   Kitendo cha...

READ MORE

Ushindi Mezani na Kasino ya Mtandaoni ya MeridianBet

  Mchezo wa Titan Roulette       Kama iliivyo ada,  Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa, Odds kubwa na Bonasi kibao....

READ MORE

Rais Samia Anashiriki Jubilei ya Miaka 50 ya Utume na Huduma kwa Waadventista Wasabato-Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amehudhuria na kushiriki Jubilei ya miaka 50 ya Utume na...

READ MORE

Makamu wa Rais Akabidhi Tuzo za PMAYA, Ataka Viwanda Viongeze Uzalishaji

  MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango amekabidhi tuzo kwa washindi wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka...

READ MORE

Mkazi wa Songea Ajishindia Bodaboda Kupitia Nmb Mastabata Kotekote, Wengine Waondoka na Mil 7

  Benki ya NMB imepata mshindi wa pili wa bodaboda, Charles Erasto Mbwilo  kutoka Songea Mkoani Ruvuma kupitia droo ya ...

READ MORE

Vodacom yazindua “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” promosheni

odacom Tanzania plc imezindua promosheni ya wiki nane ya msimu wa siku kuu iitwayo “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” itakayowawapa wateja…

READ MORE

Benki ya Nmb Yaibuka Kinara wa Tuzo Za TRA

  Benki ya NMB imeibuka kinara katika tuzo za mlipa kodi mkubwa zinazotolewa na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA). Benki...

READ MORE

Marekani: Nancy Pelosi Ajiuzulu Kama Kiongozi wa chama cha Democrats katika Bunge

  Nancy Pelosi, ambaye ameongoza chama cha Democrats katika Baraza la Wawakilishi la Marekani (Congress) kwa takriban miongo miwili, ametangaza...

READ MORE

Heche Afunguka Mazito, Ajali ya Ndege Bukoba, Sakata la Maji, Atoa Msimamo wa Chadema – Video

 Karibu kutazama kipindi cha ‘FRONT PAGE’ upate habari na uchambuzi makini wa habari kubwa zilizobeba kurasa za mbele za...

READ MORE

Watatu Wahukumiwa Kifungo cha Maisha kwa Kuitungua Ndege ya Malaysia -MH17

Mahakama nchini Uholanzi  Novemba 11, 2022 iliwatia hatiani wanaume watatu bila kuwepo mahakamani kwa mauaji ya halaiki kwa jukumu lao...

READ MORE

Moto Waua 21 Katika Kambi ya Wakimbizi ya Jabaliya Ukanda wa Gaza

  Moto ulizuka Alhamisi jioni katika Ukanda wa Gaza na kuua takriban watu 21, watawala wa Hamas wa eneo hilo...

READ MORE

KMC na Meridianbet Wachangia Ujenzi wa Kituo cha Polisi Kilichopo Mtaa wa Tegeta A

KLABU ya KMC, alimaarufu kama “KINO BOYS”, kwa kushirikiana na Mdhamini mkuu wa klabu hiyo kampuni ya Meridianbet wametoa msaada...

READ MORE

Tigo Yawapa Washindi 50 Tiketi za Kwenda Qatar Wengine Wajizolea Vifaa vya Hisense

    18 Novemba 2022: SAFARI ya kwenda Qatar kuangalia kombe la dunia yaiva. Hayo yalisemwa na Meneja wa Wateja...

READ MORE

Mkurugenzi Manispaa ya Kigamboni Awaondoa Hofu Wakazi wa Mikenge

    BAADA ya zaidia ya miaka saba ya mgogoro wa barabara kati ya wananchi na mwekezaji kampuni ya ASM...

READ MORE

Ndege ya Air Tanzania Yashindwa Kutua Katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba – Video

Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera kutokana na...

READ MORE

Mbinu Nilizotumia Kuacha Kuvuta Sigara Baada ya Kuvuta kwa Miaka 21

    UKWELI ni kwamba warahibu wengi wa uvutaji Sigara wanatamani kuondoka katika mtindo huo wa maisha lakini wanashindwa, sio...

READ MORE

Janga Atoboa UVCCM Sengerema

Baraza kuu la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi – CCM (UVCCM) wilaya ya Sengerema mkoa Mwanza...

READ MORE

Kiongozi wa Kidini Ahukumiwa Miaka 8,658 Jela Istanbul Nchini Uturuki

  MAHAKAMA moja ya mjini Istanbul nchini Uturuki Jumatano  Novemba 16, 2022 imemhukumu kiongozi mmoja wa kiislamu kifungo cha miaka...

READ MORE

Mfumakule Aibuka Kidedea Kamati Tekelezaji UVCCM Sengerema

  Baraza kuu la Jumuiya ya umoja wa Vijana wa Chama cha mapindu  CCM mkoa wa Mwanza limefanya uchaguzi na...

READ MORE