×

Habari

SBL Yazindua Kampeni ya Kupinga Unywaji Pombe Katika Umri Mdogo

  Dar es Salaam, Oktoba 27, 2022 –  Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua programu  ya kupambana na unywaji...

READ MORE

Benki ya I&M Tanzania Yakutana na Wateja na Bodi ya Wakurugenzi Kwenye Hafla

    Siku ya Alhamisi 27 Oktoba 2022, Benki ya I&M Tanzania hivi karibuni imefanya hafla ya chakula cha jioni...

READ MORE

Utafiti Waonesha Halotel Yaongoza Kwa Intaneti Yenye Spidi Nchini

Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imeshika usukani mara ya tatu kwa kuwa na huduma ya intaneti yenye...

READ MORE

Rais Samia Aridhia Walioghushi Vyeti Kurudishiwa Michango ya Hifadhi za Jamii

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Watumishi wa Serikali walioondolewa kazini kwa  sababu ya kughushi vyeti kurudishiwa  michango yao waliyochangia katika...

READ MORE

Rais Samia Amedhamiria Kuendelea Kuimarisha Huduma za Afya-Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwezesha...

READ MORE

Mpanda: Mtoto wa Miaka 10 Auawa Akiwa Machungoni

MTOTO wa Miaka 10 kutoka Kijiji cha Kakese Kata ya Kakese Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ameuawa na...

READ MORE

Watendaji URA Saccos Watakiwa Kutoa Huduma Bora kwa Wanachama

CHAMA cha Ushirika cha kuweka na kukopa cha Jeshi la Polisi (URA SACCOS) Kimewataka watendaji wa chama hicho kutoka Mikoa...

READ MORE

Mwanamke Afumaniwa Chumbani Akifanya Ngono na Mwanaye

MWANAMKE mwenye umri wa kati kutoka kaunti ya Meru, amenusurika kifo jana Jumanne, Oktoba 25, baada ya wakazi wenye hasira...

READ MORE

Waziri Ndalichako Aitaka Sekta ya Umma Kushirikiana Na Wadau Kuimarisha Usalama, Afya Mahali pa Kazi

Wito umetolewa kwa wadau wa sekta ya umma kushirikiana kikamilifu na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA)...

READ MORE

Rishi Sunak Ateua Baraza Jipya la Mawaziri Baada ya Kuwa Waziri Mkuu

Rishi Sunak ameteua timu yake ya mawaziri katika siku yake ya kwanza kama waziri mkuu wa Uingereza. Katika hotuba yake...

READ MORE

Makandarasi Watakiwa Kuchangamkia Fursa Ndani na Nje ya Nchi

  MAKANDARASI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kulalamika badala yake waweke juhudi ili wapate kazi kubwa zinazotangazwa ndani ya nje...

READ MORE

Kamati ya Wakuu wa vyuo Vikuu Nchini Yakutana Dar

  KAMATI ya Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu nchini (CVCPT), imeishauri serikali kuongeza wigo wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa...

READ MORE

Tigo Yakabidhi Minara 42 kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

26 Oct 2022 News and Events 1, RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi...

READ MORE

Benki ya NMB Kinara wa Usawa wa Kijinsia Afrika

Ubaguzi wa kijinsia ni mwiko kwa Benki ya NMB na juhudi zake za kutokomeza kabisa unyanyapaaji huo nchini zimeiheshimisha duniani...

READ MORE

Serikali Yaifungia Shule ya Chalinze Modern Islamic Kuwa Kituo Cha Mitihani – Video

Serikali imeifungia Shule ya Awali na Msingi ya Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha Mitihani kutokana na udanganyifu uliofanyika katika...

READ MORE

Baraza la Mitihani Watoa Taarifa Ufanyaji wa Mitihani Darasa la Nne na Kidato cha Pili – Video

 Baraza la mitihani limewaasa walimu wakuu, waratibu Elimu Kata na wamiliki wa shule kutojihushisha katika kupanga na kutekeleza njama...

READ MORE

DC Godwin Gondwe Awaomba Radhi Wananchi Kutokana na Kukosa Huduma ya Maji

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe amewaomba radhi Wananchi wa Wilaya hiyo kutokana na kukosa huduma ya maji...

READ MORE

Mtandao wa WhatsAPP Washindwa Kufanya Kazi kwa Zaidi ya Saa Moja

Watumiaji wa huduma mtandao wa kijamii wa WhatsApp wamejikuta wakilazimika kutumia njia mbadala ya kuwasiliana baada ya mtandao huo kuonekana...

READ MORE

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt. Gwajima Afanya Uteuzi wa Wasadizi Wake

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt. Josephat Gwajima katika kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi katika suala zima la...

READ MORE

CCM Yasambaratisha Ngome ya Upinzani Kibiti, Umati Warudisha Kadi Wakiwemo Viongozi

    23 Oktoba 2022: NGOME ya upinzani wilayani Kibiti imesambaratishwa. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia umati wa wanachama wa...

READ MORE

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF Wawatahadharisha Wastaafu na Matapeli

Meneja wa Uhusiano na Elimu wa PSSSF,James Mlowe akizungumza wakati wa kikao kazi kilichofanyika kati ya mfuko huo na Chama...

READ MORE

Biden Asema Chaguo la Sunak Kama Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza ni ‘Hatua Kubwa Mno’

  Rais wa Marekani Joe Biden Jumatatu alitaja chaguo la Rishi Sunak, waziri wa zamani wa fedha, kama waziri mkuu...

READ MORE

Tigo na XIAOMI Wazindua Simu Mahiri za 4G za Bei Nafuu Nchini Tanzania

    Dar es Salaam. Tarehe 25 Oktoba, 2022. Kampuni inayoongoza katika utoaji wa huduma za kidijitali nchini, Tigo Tanzania,...

READ MORE

Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM Wilaya ya Sengerema: Nitatumia Nafasi Yangu Kuwaunganisha Wana CCM

Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Omary Sukari amesema atatumia nafasi ya ujumbe wa mkutano mkuu ...

READ MORE

IGP Camillus Wambura Afungukia Tukio la Mauaji ya Wakulima, Wafugaji

  Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillus Wambura amezungumzia tukio la mauaji yaliyotokea katika kijiji cha Ikwambi mkoani Morogoro...

READ MORE

Jumuiya ya Wazazi CCM Temeke Ilivyopata Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji, Wenye Nongwa Waonywa

    Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Temeke Dar, baada kuwapata viongozi wake wa ngazi za juu akiwemo Hamis...

READ MORE

Uvccm Sengerema Wavuna Wanachama 50  Vyuo vya Ufundi

Sengerema. Umoja wa Vijana wa chama Cha mapinduzi CCM wilaya ya Sengerema  imevuna wanachama 50 kutoka chuo cha maendeleo ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Aenda Korea Kusini Kwa Ziara ya Kikazi

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Jumapili, Oktoba 23, 2022) kwenda Seoul, Jamhuri ya Korea kwa ziara ya...

READ MORE

Rais Ruto: Nipo Tayari Kufanya Kazi na Kalonzo Musyoka

Rais wa Kenya, Dr. William Ruto, amesema kwamba yupo tayari kufanya kazi na mmoja wa vigogo wa muungano wa Azimio...

READ MORE

Mahafali ya Shule ya Sekondari Brilliant Yafaana Dar!

MBUNGE wa Viti Maalum, (CCM), Dk. Thea Ntara, ameipongeza shule ya Brilliant kwa kutopandisha ada kwa miaka mine mfululizo na...

READ MORE

Water Stewardship in Africa Members Meet in Dar Es Salaam to Discuss Water Security

    24th October 2022 Dar es Salaam: Tanzania Breweries Limited (TBL) AB InBev  and  WWF Africa  are excited to...

READ MORE

DCB Yajidhatiti Kutoa Huduma Bora za Kibenki Kwa Njia za Kidigitali

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Nelson Swai ametoa mada kuhusu masuala ya fedha zinazovuka mipaka Kidigitali...

READ MORE

Ofa Kubwa kwa Ajili Yako! Bofya Mara Moja Tu, Uibuke Mshindi wa Simu na Meridianbet

Kila mmoja ni bingwa kwenye uwanja wake, na Meridianbet wanakupa nafasi ya kutamba kibingwa kwa kuibuka mshindi wa zawadi zao...

READ MORE

Wizara ya Ardhi DSM Yaendelea Kutekeleza Maagizo ya Waziri Angelina Mabula, Yafanya Clinic Ya Ardhi

Wizara ya Ardhi mkoa Dar es salaam imeendelea kutekeleza agizo la waziri Mwenye dhamana ya Wizara hiyo Dr. Angelina Mabula...

READ MORE

Washindi wa “Wakishua Twenzetu Qatar na Hisense “Wiki ya Pili na Tatu Wapatikana

  OKTOBA  21, 2022,  Kampuni inayoongoza Tanzania katika kuhakikisha mtanzia anaishi maisha ya kidijitali Tigo Tanzania, kupitia Promosheni yake ya...

READ MORE

Ukraine: Mazungumzo ya Awali ya Maafisa wa Marekani na Russia Yatoa Matumaini

MAAFISA wa juu wa ulinzi wa Marekani na Russia wamezungumza kwa simu Ijumaa ikiwa ni mara ya kwanza baada ya...

READ MORE

Boris Johnson Akatisha Likizo, Kujiunga Kinyang’anyiro cha Uwaziri Mkuu

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza, Boris Johnson amerejea London wakati taarifa zikidai kwamba mpinzani wake Rishi Sunak tayari amefanikiwa...

READ MORE

Ministry of Health Signs a Memorandum of Understanding with Alameda Healthcare Group

    Dar es Salaam Saturday 22 October 2022 The Alameda Healthcare Group from Egypt has signed a Memorandum of Understanding...

READ MORE

Live: Mkutano wa Pili wa Mwaka wa Kumuenzi Maalim Seif Shariff Hamad-Video

MKUTANO wa Pili wa mwaka kwa ajili ya kumuenzi mwanasiasa mkongwe ambaye ameshatangulia mbele ya haki Maalim Seif Shariff Hamad...

READ MORE