×

Habari

Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Awapa Mbinu Kukabiliana na Majanga, Polisi

BALOZI wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar amesema kuwa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi wanapaswa kuwa makini na uwasilishwaji...

READ MORE

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kinara Maadhimisho Wiki ya Chakula

  WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umeibuka na kuwa mshindi katika Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti ya Kikosi Kazi Kuhusu Uratibu Maoni ya Wadau Vyama Vya Siasa -Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 21, 2022 amepokea Ripoti ya Kikosi Kazi cha...

READ MORE

Kesi ya Akina Halima Mdee, Mwaifunga Ashindwa Kutoa Ushahidi

Aliyekuwa Makamu mwenyekiri wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) Hawa Mwaifunga, ameshindwa kutoa ushahidi wake baada ya kuieleza Mahakama kupitia...

READ MORE

Majaliwa Atoa Siku 15 Mkandarasi Kukamilisha Barabara Ukerewe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku 15 kuanzia leo Oktoba 20, 2022 kwa kampuni ya Inter Country Contractors kuhakikisha inakamilisha...

READ MORE

GGML, Rafiki Surgical Mission Watoa ‘Ambulensi’ Mbili Geita

KATIKA kuimarisha mahusiano mazuri baina ya Serikali na jamii zinazoizunguka kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi ya...

READ MORE

Kasi ya Ukuaji NMB Ywakosha Wateja, Waongezeka Kwa Zaidi ya Asilimia 500 – Babati

Mbali na huduma za viwango vya kifalme, wateja wa Benki ya NMB wamekiri kuvutiwa  na mafanikio yake kiutendaji hasa kasi...

READ MORE

Watu 11 Wakamatwa Kwenye Maandamano Nchini Ufaransa

WATU 11 wamekamatwa na Polisi wa Ufaransa katika maandamano ya maelfu ya watu wakipinga mfumuko wa bei, ongezeko la bei...

READ MORE

Teknolojia Mpya ya Kununua Gesi ya Kupikia kwa Kutumia Simu ya Mkononi

  KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania, mapema leo imezindua mitungi mipya ya gesi yenye ujazo tofauti huku ikizingatia zaidi hali...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Uingereza Ajiuzulu Baada ya Kukaa Madarakani Siku 44

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Liz Truss amejiuzuu wadhifa wake kama kiongozi mkuu wa Chama cha Conservative na Waziri Mkuu wa...

READ MORE

Kilimanjaro Premium Lager Marathon Yazinduliwa  Dar

    MBIO za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon kwa mwaka 2023 zimezinduliwa jijini Dar es Salaam leo tayari...

READ MORE

Balozi wa Tanzania Akanusha China Kudaiwa Kutaka Kufungua Vituo vya Polisi Nchini

  BALOZI wa Tanzania nchini China, Mberwa Kairuki amekanusha taarifa zilizochapishwa na baadhi vya Vyombo vya Habari kwamba China inadaiwa...

READ MORE

Halotel Yatoa Msaada wa Vifaa vya Masomo Shule ya Sekondari Bangulo

  Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel hapa nchini imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya masomo kwa waalimu na...

READ MORE

Wakili Miguna Miguna ‘Aliyefukuzwa’ Nchini Mwake Hatimaye Arejea Tena Kenya

Wakili Miguna Miguna, ambaye alifurushwa kutoka nchini Kenya tangu mwaka 2018, amewasili jijini Nairobi. Dkt Miguna amewasili katika Uwanja wa...

READ MORE

Exclusive: Ali Kamwe Amjibu Mwinyi Zahera, Ataja Hatma Ya Kocha Nabi Yanga -Video

Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amezungumza kuhusu maandalizi yao kuelekea mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika ambao utachezwa...

READ MORE

Walimu Waliovujisha Mtihani Darasa la Saba Wapandishwa Kizimbani

Walimu saba na wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwemo la kuvujisha mtihani wa...

READ MORE

Exclusive: Ramadhan Brothers Wafunguka Safari Yao Hadi Australia Got Talent, Rais Samia Kuwapongeza -Video

Watanzania Ibrahim Ramadhan na Fadi Ramadhan almaarufu Ramadhan Brothers, waliong’ara katika mashindano ya Australia’s Got Talent yaliyofanyika usiku wa Jumapili,...

READ MORE

Vyuo Vikuu Nchini Vyatakiwa Kufanya Tafiti Ya Elimu ya Juu Itakidhi Matakwa ya Jamii

  Vyuo Vikuu nchini vimetakiwa kufanya tafiti, zikiwemo tafiti kuhusu namna ambavyo elimu ya juu itakidhi matakwa ya sasa ya...

READ MORE

Airtel Afrika Yatangaza Kudhamini Tamasha la Mashindano ya Wasanii la ‘The Voice Africa’

    Lagos 19 Oktoba 2022:  Airtel Afrika, Kampuni inayoongoza kwa kutoa huduma bora za mawasiliano pamoja na  huduma za fedha...

READ MORE

Maembe Yenye Bei Kubwa Zaidi Duniani Yauzwa Katika Mnada

MAEMBE haya yaitwayo Taiyo na Tamago ama Egg of the Sun ni maembe matamu na yenye sukari asilimia 15 zaidi...

READ MORE

Asilimia 85 ya Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam Wapata Chanjo, Uviko – 19

    DAR ES SALAAM imefikia asilimia 85 ya malengo ya utoaji chanjo kwa wananchi  ambao walilengwa kufikiwa na chanjo...

READ MORE

Netflix Imeanza Kurudisha Wafuasi Wake Baada ya Kuwapoteza Mwanzoni mwa Mwaka Huu

FILAMU kama Stranger Things na Monster: The Jeffrey Dahmer Story zimeisaidia kampuni ya Netflix kuweza kurudisha wasajili wake kwa kuwa...

READ MORE

Ujerumani Yamfuta Kazi Mkuu wa Usalama Mtandaoni juu ya Uhusiano na Urusi

MKUU wa usalama wa mtandao wa Ujerumani amefutwa kazi baada ya madai ya kuwa karibu kupita kiasi na Urusi kupitia...

READ MORE

Mpya Kutoka Meridianbet, Planet Power ya Expanse Studios!

  KWA wataalamu wa kasino ya mtandaoni ya wanafahamu vyema kwa nini wachague sloti ya kasino ya mtandaoni, lakini wanafahamu...

READ MORE

Aliyemuua Mkatisha Tiketi za Mabasi Ahukumiwa kunyongwa hadi Kufa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu kunyongwa hadi kufa mshitakiwa Hemed Ally baada ya kupatikana na hatia ya kumuua, Farhani...

READ MORE

H Baba Amtetea Harmonize, Amuumbua Mwijaku Kisa Binti Yake Paula Kajala

H Baba; ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva ambaye hivi karibuni alionekana kuwa kinyume na aliyekuwa bosi wake kwenye...

READ MORE

Kampasi ya Chuo Kikuu Cha Afya Muhimbili Kujengwa Kigoma: Waziri Mkenda

Serikali kupitia Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) ina mpango wa kuanzisha kampasi ya MUHAS mkoani Kigoma....

READ MORE

St Mary’s Mbezi Beach Yapongezwa Kwa Maendeleo ya Taaluma

    WAZAZI wameshauriwa kufuatilia kwa karibu maendeleo ya watoto wao kitaaluma na tabia ili waweze kufanya vizuri kwenye mitihani...

READ MORE

Live: Rais Samia Anazindua Chuo cha Ualimu Kabanga Mkoani Kigoma Muda Huu-Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan yupo katika ziara ya kikazi mkoani Kigoma ambapo kwa sasa...

READ MORE

Fumba Town Yashirikiana na Sauti za Busara

    FUMBA Town Zanzibar, 17, Oktoba 2022, Mji mpya wa maendeleo mjini Zanzibar wa Fumba Town CPS – unaungana...

READ MORE

Wafanyakazi wa NMB Wapeperusha Bendera Mlima Kilimanjaro!

Wafanyakazi wa Benki ya NMB pamoja na wasindikizaji wa wenzao waliopanda Mlima Kilimanjaro, wakiwashangilia wenzao waliopanda na kushuka Mlima huo...

READ MORE

Wanachama 15 NMB Business Club Wapaa Uturuki

Wafanyabiashara 15 Wanachama wa Klabu za Biashara za Benki ya NMB (NMB Business Club), wameagwa jijini Dar es Salaam leo...

READ MORE

Rais Samia Azindua Miradi Sita ya Umeme Katika Kituo cha Kupokea, Kusambaza Kigoma na Geita – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifungua kituo cha Umeme Nyakanazie leo  Oktoba 16, 2022. 

READ MORE

TBL Kwa Kushirikiana na Jeshi la Polisi Wazindua Alama Maalum Kwa Waendesha Bodaboda

    KAMPUNI ya kutengeneza bia nchini, Tanzania Breweries (TBL) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi nchini wamezindua alama maalum...

READ MORE

Wanajeshi 11 wa Urusi Wauawa Katika Tukio la Kupigwa Risasi

Wanajeshi 11 wa Urusi waliuawa jana katika tukio la ufyatuaji risasi ambalo lilionesha wazi changamoto za uhamasishaji wa haraka wa...

READ MORE

Watu 41 Wafariki Kutokana na Mlipuko Kwenye Mgodi wa Makaa Uturuki

Takriban watu 41 wamethibitishwa kufariki baada ya mlipuko kutokea kwenye mgodi wa makaa katika mji wa Amasra kaskazini mwa Uturuki,...

READ MORE

Chuo Kikuu Cha UDSM Kujengwa Kagera, Waziri wa Elimu Azungumza

  Katika kuboresha huduma za upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi nchini Serikali imepanga kujenga Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar...

READ MORE

Madereva Bajaji Zaidi ya 700 Jiji la Arusha Wapewa Utaratibu Uendeshaji Vyombo Vyao

UONGOZI wa Wilaya ya Arusha umewataka waendesha Pikipiki za mataili matatu maarufu bajaji kufuata utaratibu na kuweka mipango mathubuti wa...

READ MORE

Onyesho Lingine Lenye Mafanikio Makubwa la Studio Za Expanse G2e Huko Las Vegas

Toleo la hivi karibuni zaidi la Maonesho ya Kimataifa ya Michezo ya Kubahatisha (G2E) limekuwa na mafanikio makubwa.   \Wakati...

READ MORE