×

Habari

NMB Yapiga Tafu Milioni 20 Kinara wa Ubunifu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

  Benki ya NMB imekabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 20 kwa kinara wa Ubunifu kutoka Chuo...

READ MORE

DC Muro Aongoza Waombolezaji Kumzika Mtoto Aliyeuawa na Tembo

MKUU wa Wilaya ya Ikungi Ndugu Jerry C. Muro leo Tarehe 27/05/2022 amewaongoza mamia ya wananchi wa kata ya Ntuntu...

READ MORE

Wanawake 16 Jijini Dar Wakamatwa kwa Kufanya Matendo ya Ngono kwa Kutumia Vifaa Hatarishi

UCHUNGUZI uliofanywa na Vyombo vya Dola umebaini kuibuka kwa baadhi ya wanawake wanaofundishana kufanya matendo ya ngono kwa kutumia vifaa...

READ MORE

Mkoa wa Tabora Kuanza Kunufaika na Huduma za Ct Scan- Prof. Makubi

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amesema hospitali ya rufaa ya Kitete kuanza huduma za CT Scan hivi...

READ MORE

Ali Kiba: Usafi ni Lazima na Tabata ni Nyumbani, Tumuunge Mkono RC Makalla

MSANII wa Bongo Fleva Ali Kiba maarufu kama King Kiba leo Mei 27, 2022 ameongea na waandishi wa habari akiwa...

READ MORE

Rais Samia Ahudhuria Swala ya Ijumaa Msikiti Mkuu wa Bakwata Kinondoni Jijini Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan leo Mei akisalimiana na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM Awasili Shinyanga kwa Ziara ya Kikazi ya Siku 9

KATIBU MKUU wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Daniel Chongolo, Ametoa Salam za Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia...

READ MORE

Rais Samia Aridhia Marekebisho ya Posho ya Kujikimu kwa Watumishi wa Umma

Rais Samia leo Mei 27, 2022 ameridhia marekebisho ya posho ya kujikimu ya safari za ndani ya nchi kwa watumishi...

READ MORE

Kutana na Rita Mzungu wa Mwananyamala Anayetrend Mitandaoni (PICHA+VIDEO)

RITA FRENZEL ni mzungu raia wa Marekani ambaye anafanya kazi ya Sanaa ya vichekesho na anafanya vizuri mitandaoni kutokana na...

READ MORE

Marekani Yataifisha Jumba la Kifahari la Rais wa Zamani wa Gambia Yahya Jammeh

  WIZARA ya Sheria ya Marekani inasema imefanikiwa kutwaa jumba la kifahari lililonunuliwa na rais wa zamani wa Gambia Yahya...

READ MORE

Gwajima: Migogoro ya Ardhi Kinondoni Inachochewa na Viongozi wa Serikali

Mbunge wa Jimbo la Kawe kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mchungaji Josephat Gwajima amesema migogoro ya ardhi Wilaya...

READ MORE

Hospitali Yachunguzwa na Polisi Baada ya Mjamzito Kutolewa Figo Bila Kujitambua

Polisi wilayani Mubende nchini Uganda wanachunguza kuhusu madktari wasio waaminifu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa baada ya kudaiwa kutoa...

READ MORE

Kansela Scholz: Putin Hatoshinda Vita Ukraine, Rais Putin Akikiri Vikwazo ni Tatizo

  Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amerejelea kauli yake kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin hatoshinda vita nchini Ukraine, wakati...

READ MORE

Kimewaka: Selesini Amvaa Mbatia, Vigogo Lukuki Mikononi Mwa Takukuru | Front Page -Video

KARIBU kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Mayele: Simba Hatuwaachi Jumamosi Kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza

MSHAMBULIAJI tegemeo wa Yanga, Fiston Mayele, amesema kuwa ili wafanikiwe kubeba makombe yote mawili yaliyobaki, ni lazima wawafunge watani wao,...

READ MORE

Taasisi ya Dkt Mengi Kuandaa Hafla Maalum kwa Ajili ya Walemavu 1000

TAASISI ya ‘Dk Reginald Mengi Foundation’ (DRMF) kwa kushirikiana na Marafiki wa Dk Mengi wameandaa hafla maalum itakayowakutanisha watu wenye...

READ MORE

Naibu Rais wa Kenya William Ruto Amuomba Msamaha Rais Kenyatta

Naibu Rais wa Kenya, William Ruto leo Mei 26, 2022 amemwomba Rais Uhuru Kenyatta msamaha baada ya wawili hao kutofautiana...

READ MORE

Waziri Mkuu Apokea Maoni ya Wakazi wa Ngorongoro

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa jana Mei 25, 2022 amepokea mapendekezo kutoka kwa wananchi wa Tarafa za Loliondo, Ngorongoro na Sale...

READ MORE

Cheza Sasa kwa 1000 Ushinde Bilioni 1 na SportPesa

NI Supa Jackpot Ya Bilioni Moja, Jackpot mbili kila wiki za SportPesa kwa 1000.   KAMPUNI ya Michezo na Burudani...

READ MORE

Selasini: Mimi ni Mwanachama Halali wa NCCR-Mageuzi, Ashangazwa na Chadema – Video

MWANASIASA mkongwe Joseph Selasini amesema yeye ni mwanachama halali wa NCCR-Mageuzi na hana uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Arejea Nchini Akitokea Davos Nchini Uswisi

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdor Mpango amerejea nchiniTanzania akitokea Davos nchini Uswisi alipomuwakilisha...

READ MORE

Alipukiwa na Bomu Lililowekwa Kwenye Zawadi ya Harusi Aliyopewa na ‘X’

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mke na mume wamejikuta wakilipukiwa na bomu mara baada ya kufungua zawadi waliyozawadiwa na mpenzi...

READ MORE

Canada Yaahidi Kushirikiana na Tanzania

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amesema kuwa, licha ya Serikali kufanya kazi nzuri katika...

READ MORE

Tamasha Kubwa la Muziki wa Dansi Kutikisa Dar Keshokutwa

    Tamasha kubwa la muziki wa dansi nchini linatarajiwa kutimua vumbi jijini Dar keshokutwa Jumamosi likishirikisha bendi tano za...

READ MORE

Saido, Ambundo Wavuta Pumzi Ya Moto, Nabi Awatimua Kambini | Krosi Dongo -Video

  IMEELEZWA kuwa, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amewatimua kambini wachezaji wawili wa kikosi hicho, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ na...

READ MORE

Simbeye: Msajili Hana Mamlaka ya Kikatiba ya Kumsimamisha Mbatia – Video

MKUU wa Idara ya Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha NCCR- Mageuzi Edward Simbeye akifanya mahojiano na 255globalradio na Global...

READ MORE

Video: Kumekucha Bungeni, Waziri Mkuu Abanwa Kwa Maswali Ya Wabunge…

 Karibu utazame kipindi cha maswali na majibu kutoka Bungeni Dodoma. Leo ni Mei 26, 2022. ⚫️ SIKILIZA + 255...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Kufanya Mazungumzo na Rais wa Ghana Nana-Akufo Addo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Ghana Nana-Akufo Addo,...

READ MORE

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Apokea Tuzo ya Heshima Nchini Ghana (Picha +Video)

  RAIS Samia anapokea tuzo ya mwaka 2022 ya Babacar Ndiaye kwa mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita katika...

READ MORE

Taasisi Yaanzisha Mafunzo Kuwanoa Wadau wa Mawasiliano

TAASISI mpya ya Mahusiano na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania (IPRT) imetangaza hatua kutoa mafunzo kuhusu mawasiliano ya kimkakati mahususi...

READ MORE

Victoria Foundation Yatoa Msaada wa Taulo za Kike, Mtwara na Lindi

Katika kuonyesha mwanamke anatimiza ndoto na kuwa kinara katika jamii bila kuwa na changamoto mbalimbali zitakazo mkatisha tamaa katika kufikia...

READ MORE

NMB Teleza Kidijitali Ndani ya A-town

Kwa mara nyingine tena, Benki ya NMB katika kuendeleza ubunifu na kuwarahisishia huduma wateja wake, inaendelea kuinadi kampeni ya Teleza...

READ MORE

Kero ya Maji kwa Wakazi wa Kijiji cha Nega  B Wilayani Iringa Mbioni Kumalizika

Ukosefu wa maji katika kijiji cha Nega  B wilayani Iringa umesababisha wakazi wa eneo hilo kuoga maji pungufu katika familia...

READ MORE

GGML Yamwaga Magari VETA Mwanza

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa msaada wa magari manne aina ya Toyota Land Cruiser kwa Mamlaka ya...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Afanya Uteuzi Katika Idara Mbalimbali

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Sauda Kassim Msemo kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, kabala ya uteuzi...

READ MORE

Mbatia: Mimi Bado ni Mwenyekiti Halali wa NCCR-Mageuzi

MWENYEKITI aliyesimamishwa wa Chama Cha NCCR- Mageuzi James Mbatia amesisitiza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti halali wa Chama cha NCCR-...

READ MORE

Maua Chenkula Adai Kusingiziwa Kifo Kulimpoteza Kwenye Ramani ya Muziki

MSANII wa nyimbo za Asili Maua Chenkula ambaye amekuwa akifanya mahojiano katika studio za 255globaradio na Global TV kwenye kipindi...

READ MORE

Video: IGP Sirro Akemea Mauaji – “Kama Umemchoka Achaneni Vizuri, Wanawake Wapo Wengi”

  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema miongoni mwa matukio machache yanayowasumbua ni mauaji yanayotokana na...

READ MORE