×

Habari

Bulaya, Musukuma Wataka Wabunge Waende JKT

Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya ameshauri wabunge vijana wote waliopo Bungeni kupelekwa kupata mafunzo ya JKT ili kuwajengea uzalenzo...

READ MORE

Diwani Wilayani Makete Amgomea Mkuu wa Wilaya Kujenga Bweni la Shule

NI maelekezo ya Mkuu wa Wilaya ya Makete mkoani Njombe Juma Sweda aliyoyatoa wiki moja iliyopita kwa kumuagiza Afisa Tarafa...

READ MORE

Aisha Vuvuzela: Kuvunjika kwa Bendi ya Yah Tmk Kumenifaidisha

MSANII wa kitambo wa Taarab, Aisha Vuvuzela amesema kuvunjika kwa Bendi ya Taarab ya Ya TMK kumemfaidisha kwa sababu baada...

READ MORE

Breaking News: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Yamsimamisha Mbatia – Video

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imemsimamisha Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na sekretarieti yake...

READ MORE

Video: Bunge La 12 Mkutano wa Saba Kikao cha Thelathini – Leo Mei 25, 2022

 Bunge la 12 linaendelea bungeni jijini Dodoma. Ni kipindi cha maswali na majibu. Wabunge wanaiuliza maswali magumu serikali na...

READ MORE

Mwanasiasa Mkongwe wa Upinzani Nchini Uganda Kizza Besigye Akamatwa

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Dkt Kizza Besigye alikamatwa Mei  25, 2022 alipokuwa akijaribu kuongoza maandamano katika mji mkuu, Kampala,...

READ MORE

Equity Bank (T) Yazindua Rasmi Tawi Lake Wilaya ya Kahama Shinyanga

KAHAMA, Jumatano tarehe 25 May 2022. Benki ya Equity  (T) imezindua rasmi tawi lake jipya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga....

READ MORE

Katibu Mkuu Maliasili Awataka Wadau wa Utalii Arusha Kutumia Fursa ya Mikopo Nafuu ya Nmb

  Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Francis Michael amewataka wadau wa utalii mkoani Arusha kutumia fursa ya...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mdahalo wa Wakuu wa Nchi Accra, Ghana Ataja Changamoto Tatu

  Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki Mdahalo wa Wakuu wa Nchi uliofanyika Accra, Ghana ametaja changamoto tatu ambazo amekutana nazo...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasimamisha Kazi Mkurugenzi wa Jiji, Maafisa Watano Arusha

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa sita wa Jiji la Arusha akiwemo Mkurugenzi wa Jiji hilo, Dkt. John...

READ MORE

CCM Yawakilisha Maoni Yake Kwa Kikosi Kazi

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amewasilisha maoni na mapendekezo ya Chama Cha Mapinduzi kwa Kikosi...

READ MORE

Kampuni ya Global Media Yang’ara Tuzo za TDA

HII leo Mei 24, 2022 Mshindi wa Tuzo ya Best Digital Journalist (Female) Anna Mbawala amekabidhiwa tuzo hiyo, Makao Makuu...

READ MORE

Vinara 14 wa Kupora Pikipiki Jijini Arusha Wakamatwa

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu 14 kwa makosa ya kujihusisha na matukio mbalimbali katika Jiji la Arusha,...

READ MORE

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete na Joachim Chissano Wakutana Pemba, Msumbiji

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Zanzibar Afanya Mazungumzo na Uongozi wa Vijana ACT- Taifa

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Makamu M/Kiti wa Chama cha ACT – Wazalendo Zanzibar,  Othman...

READ MORE

Basi la Ruksa Class Lapata Ajali, Laua Watu Wanne na Kujeruhi Wengine 30

WATU wanne wamefariki dunia na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa katika ajali ya Basi la Abiria kampuni ya RUKSA CLASS...

READ MORE

Wanahisa CRDB Waidhinisha Gawio La Tsh. Bilioni 94 Mwaka Wa Fedha 2021

    Wanahisa wa Benki ya CRDB wamepitisha kwa kauli moja mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio...

READ MORE

Polisi Wafunguka Walivyompata Diwani Rwakatare Nyumbani kwa Ashura Tabata Dar -Video

  Jeshi la polisi Kanda maalum Dar es salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi...

READ MORE

Watu Watatu Wafariki kwa Ajali ya Basi la Mohamed Classic Kugongana na Lori, Manyara

Watu watatu wamefariki dunia kwa ajali iliyotokana na basi la Mohamed Classic linalotoka Arusha kwenda Mwanza kugongana na lori aina...

READ MORE

AngloGold Ashanti Yaahidi Kuwekeza Zaidi Tanzania

NA MWANDISHI WETU AFISA Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya AngloGold Ashanti, Dk. Alberto Calderon jana amekutana na Rais Samia Suluhu...

READ MORE

Tatizo Kwisha… Mkali wa Mabao Simba Mlangoni Anatoka Vipers SC ya Uganda, Kocha Afunguka

IMEFAHAMIKA kuwa Simba ipo katika mipango ya kumsajili mshambuliaji wa Vipers SC ya Uganda, Yunus Sentamu, ambaye raia wa Uganda....

READ MORE

Rais Samia Atajwa Kwenye Orodha ya Watu Wenye Ushawishi Mkubwa Duniani

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametajwa katika orodha ya viongozi 100 wenye ushawishi mkubwa duniani., kwa mujibu wa jarida...

READ MORE

Chama Cha Mapinduzi Chaunga Mkono Maridhiano ya Kisiasa Nchini, Watoa Tamko – Video

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa imekutana katika kikao chake maalumu Mei 22, 2022 chini ya Mwenyekiti...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne, Mei 25, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 24, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

NMB Yatenga Bil 1 Kusaidia Wabunifu Wachanga

Benki ya NMB imetenga Sh. bilioni moja kwaajili ya kuwasaidia wabunifu wachanga waweze kuimarika na kuzifanya bunifu zao kuwa bora...

READ MORE

Mbunge wa Jimbo la Mbulu Aruka Sarakasi Bungeni

MBUNGE wa Jimbo la Mbulu Vijijini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Flatei Massay ameruka sarakasi Bungeni ikiwa ni...

READ MORE

Ajali ya Gari na Treni Mkoani Morogoro Yasababisha Kifo cha Mtu Mmoja

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Fortunatus Musilimu amethibitisha kuwa mtu mmoja ambaye ni mmiliki...

READ MORE

Auawa kwa Kupigwa Risasi Akivua Samaki Eneo la Mgodi

MWANAUME aliyejulikana kwa jina la Hamis Mayunga (27) mkazi wa Kijiji cha Dulisi wilayani Kishapu ameuawa kwa kupigwa risasi na...

READ MORE

Chadema Yatoa Tamko Zito, Yataka Kukamilika kwa Katiba Mpya Kabla ya 2025

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika kimetoa taarifa juu ya mazungumzo ambayo Cham...

READ MORE

Rais Samia Aondoka Nchini Kuelekea Nchini Ghana kwa Ziara ya Kikazi ya Siku Tatu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya ziara...

READ MORE

Ajali Imetokea Morogoro Baada ya Gari Kugonga Behewa la Treni

AJALI mbaya imetokea inayohusisha gari aina ya TOYOTA PICKUP lenye namba ya usajili T 840 DQF lililokuwa likitokea maeneo ya...

READ MORE

Askofu Adaiwa Kupotea Katika Mazingira ya Kutatanisha

Mke wa Askofu Mulilege Kameka marufu Mzee wa Yesu, Greena Mkoma alipokuwa akizungumza na wanahabari (hawapo pichani ).    ...

READ MORE

Wabunge Kuelimishwa Kuhusu PURA Wiki ya Nishati

  Wabunge na viongozi mbalimbali wa Serikali wanatarajiwa kuelimishwa kuhusu Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) na...

READ MORE

Mpya: Sasa Unaweza Kujitoa Kwenye Group la Whatsapp Bila Wenzako Kujua

Kampuni inayomiliki APP (program tumishi) ya WhatsApp yenye watumiaji zaidi ya bilioni mbili duniani kote, imesema inashughulikia kipengele kipya ambacho...

READ MORE

Wateja Kuokoa Hadi Tsh 1,000,000 Kampeni Mpya ya ” LGs Something Better”

    DAR ES SALAAM, Mei 23, 2022, Kampuni mashuhuri kwa uuzaji wa  bidhaa zinazotumia  umeme ya  LG Electronics East...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Ikulu Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Emmerson...

READ MORE

Waandishi wa Habari Arusha Watimuliwa kwa Kupigwa Mawe Kiwawa, Arumeru

Waandishi wa Habari kutoka mkoani Arusha leo Mei 22, 2022 wametimuliwa kwa kupigwa na mawe ambayo hayajulikani yanapotokea katika Kijiji...

READ MORE

Serikali Yasisitiza ni Kosa Kisheria Kwenda na Mtoto Baa au Kumbi za Burudani

  WALE wanaopenda kwenda na watoto sehemu za starehe kama baa na kwenye kumbi za burudani wakidhani kuwa wanawafurahisha watoto...

READ MORE

Manula Aumia Mkono kwa Kukatwa na Kioo katika Chumba cha Kubadilishia Nguo

Kupitia Ukurasa Rasmi wa Klabu ya  wameripoti kuwa mlinda mlango wao, Aishi Manula ameumia mkono baada ya kukatwa na kioo...

READ MORE

Basi la Super Feo Lapata Ajali Tunduru, Ruvuma… Dereva Halima Adaiwa Kukatika Mkono

  Basi la Super Feo linalofanya safari zake Songea – Dar kupitia njia ya Lindi limepata ajali asubuhi ya leo...

READ MORE