×

Habari

Spika Tulia Amtwisha Mzigo Waziri Mkuu, Amtaka Atatue Mzozo wa Bodaboda na Bajaji

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Akson amemtaka Mtendaji Mkuu wa shughuli za Serikali...

READ MORE

Google Yazindua Kituo cha Ukuzaji wa Bidhaa Nairobi Kenya Ambacho ni cha Kwanza Afrika

Mtandao wa Google umezindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi Kenya ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika...

READ MORE

TAMISEMI Yatangaza Nafasi za Ajira kwenye Kada za Afya na Ualimu

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya TAMISEMI imetangaza nafasi za Ajira kwa Walimu na Madaktari ambalo...

READ MORE

Waziri Bashungwa Atoa Maelekezo Zuio la Bajaji, Bodaboda Mjini Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Dkt. Tulia Aipongeza Benki ya CRDB Kuuenzi Mwezi Ramadhani

    Dodoma 20 Aprili 2022 –Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dkt. Tulia Ackson. Spika ameipongeza Benki ya...

READ MORE

Mbowe Amuuma Sikio Rais Samia, Nauli Mpya Mabasi Ndani Ya Siku 10 | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Benki ya Exim Yafuturisha Wateja Wake Zanzibar

Zanzibar; April 21, 2022: KATIKA kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhan, Benki ya Exim Tanzania imefuturisha wateja wake visiwani Zanzibar.  ...

READ MORE

Ruby Kutoka Tanzania Yageuka Gumzo Dubai, Yavunja Rekodi kwa Ukubwa

JIWE kubwa zaidi duniani la madini ya ruby kutoka nchini Tanzania, limegeuka na kuwa gumzo kubwa Dubai, Falme za Kiarabu...

READ MORE

Xiaomi Yazindua Redmi Note 12 na kuwahamasisha watumiaji kuishi kwa uhalisia

Mfululizo wa simu za Redmi Note 12 unaendelea kuleta uwezo wa kipekee (mithili ya simu za kiwango cha juu) kwa...

READ MORE

Vodacom Yakuza Matumizi ya Tehama Kwa Uwekezaji wa Dola Bil 10 Mkongo wa Taifa

    20 Aprili 2022, Vodacom Tanzania PLC imesaini mkataba na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano (NICTBB) wenye thamani ya...

READ MORE

Kafulila: Nyaraka za Tegeta Escrow Nilipewa na Mwandishi wa Habari

Kwa mara kwanza tangu aibue Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow wakati akiwa mbunge mwaka 2014, Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Chizika na Gurudumu la Bahati Kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni...

READ MORE

Ajali ya Gari Yaua Watu 6 na Kujeruhi Wengine Wanne Wilayani Monduli.

WATU sita wamefariki na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Alkatani, Monduli mkoani Arusha usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Waziri Bashungwa Amsimamisha Kazi Mkurugenzi wa Mvomero

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri...

READ MORE

Wamiliki wa Magari Sasa Kukata Bima Kupitia Nmb

Pata amani ya moyo ukiwa umebima gari lako kupitia Benki ya NMB.  Unaweza kupata mkopo wa bima na kuulipia...

READ MORE

Madereva wa Daladala Mkoani Songwe Wagoma Kutoa Huduma ya Usafirishaji

Madereva wa Daladala za Tunduma Mpemba Mkoani Songwe wamegoma kutoa huduma ya usafirishaji kwa madai ya Maslahi madogo. Wakizungumza na...

READ MORE

Mwizi Aogeshwa Maji ya Tope, Akimbia Kipigo Kutoka kwa Wananchi, Polisi Wamuokoa

KIJANA ambaye hajafahamika haraka jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 mpaka 30 mkazi wa Igoma halmashauri...

READ MORE

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Linachunguza kwa Kina Kifo cha Padri Kangwa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linachunguza kwa kina tukio la kifo cha Padri wa Kanisa...

READ MORE

Waethiopia Wakusanyika Katika Ubalozi wa Urusi Kujiandikisha kwa Vita Nchini Ukraine

VIJANA  wa Ethiopia wanaendelea kukusanyika katika ubalozi wa Urusi mji mkuu Addis Ababa, leo Jumanne Aprili 19, 2022 kufuatia uvumi...

READ MORE

Msemaji wa Yanga Haji Manara Alamba Dili la Ubalozi, Adai ni Baraka za Mke Mpya -Video

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga Haji Manara amesaini mkataba huo mbele ya waandishi wa habari na ameahidi kuitumikia vema kampuni...

READ MORE

Mtoto Auawa Kwa Kumwagiwa Maji ya Moto na Bibi Yake Lyabukande Wilaya ya Shinyanga

Mtoto aitwaye Joseph Juma mwenye umri wa miaka minne mkazi wa kijiji cha Lyabukande kata ya Lyabukande wilaya ya Shinyanga...

READ MORE

Urusi Yaanza Mashambulizi Mashariki Mwa Ukraine, Zelenskiy Afunguka

Urusi hatimaye imeanza kufanya mashambulizi yaliyokuwa yamesubiriwa kwa muda mrefu mashariki mwa Ukraine. Haya yamesemwa na Rais wa Ukraine Volodomyr...

READ MORE

RC Tabora Kufungua Maadhimisho ya Elimu Igunga

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dkt. Batilda Burian anatarajiwa kufungua Maadhimisho ya wiki ya Elimu Aprili 25, 2022 Wilayani...

READ MORE

Rais Samia Azindua Filamu ya The Royal Tour Jijini New York Marekani (Picha +Video)

FILAMU ya The Royal Tour imezinduliwa katika ukumbi wa Guggenheim Museum Jijini New York nchini Marekani kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Rais Samia Atoa Wito kwa Vijana Kuchangamkia Fursa za Maendeleo ya Teknolojia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watanzania hususa ni Vijana, kuchangamkia fursa za maendeleo ya...

READ MORE

Baby Madaha Adai Marehemu Maunda Aliomba Msaada wa Maombi Kabla ya Kifo Chake

MWANAMUZIKI wa zamani wa Bongo Fleva Baby Madaha ameongelea ukaribu aliokuwa nao na msanii ambaye kwa sasa ni marehemu Maunda...

READ MORE

Mitihani ya Kitaifa Kusahihishwa Kidigitali

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda (Mb) leo Aprili 18 2022 amekagua na kuridhishwa na majaribio...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Atoa Maagizo kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi

MKUU wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila, ametoa siku 14 kwa wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri mkoani humo,...

READ MORE

Mufti Wa Tanzania Ashiriki Iftari na Wateja wa Nmb

  Kwa kutambua thamani ya Wateja wao na umuhimu Mwezi wa Ramadhani, Benki ya NMB imeshiriki Futari na Wateja na...

READ MORE

Serikali ya Zanzibar Kufanya Uchunguzi Madai ya Mtalii Anayedai Kudhalilishwa Kingono

  Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia kamisheni ya utalii, imesema uchunguzi wa madai ya mtalii kutoka Nigeria, Zainab Oladehinde anayedai...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa New York Marekani

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 17, 2022 amefanya mazungumzo na  Naibu Katibu...

READ MORE

Makamu wa Rais na Mkewe Washiriki Ibada ya Pasaka Katika Kanisa Katoliki Maria Theresa

Leo Aprili 17, 2022 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango na mke wake,...

READ MORE

Vikosi vya Ukraine Mji wa Mauripol Vyatakiwa na Urusi Kujisalimisha Leo

Urusi imesema kuwa itahakikisha kunakuwa na usalama wa maisha ya wanajeshi wa Ukraine katika Mariupol wanaojisalimisha watakaojisalimisha katika kipindi cha...

READ MORE

Rais Samia Amlilia Maunda Zorro, Atuma Salamu za Rambirambi Kutokea Marekani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye yupo nchini Marekani katika ziara yake ya kikazi ametuma...

READ MORE

Spika Dkt. Tulia Awataka Wananchi Chunya Kuiunga Mkono Serikali ya Rais Samia

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackaon (Mb), amewataka Wananchi kuendelea kuiunga mkono...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Ashiriki Mazishi ya Maunda Zorro, Awapa Pole Familia – VIDEO

Maelfu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika kuusindikiza mwili wa aliyekuwa msanii hapa nchini...

READ MORE

Urusi Yatoa Onyo Kali kwa Marekani Kuacha Kuipatia Misaada ya Kivita Ukraine

URUSI  imeionya Marekani na mataifa mengine washirika wengine kuacha mara moja kusambaza silaha kwa Ukraine.   Onyo hilo lilikuja katika...

READ MORE

Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani Kuboresha Sekta ya Usafiri wa Anga

ZIARA ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan imechukua nafasi yake ya kipekee baada ya kutokea tukio la kihistoria ambapo...

READ MORE

Benki ya CRDB: Tuko Tayari Kufanya Kazi na Makampuni ya Bima ya TAKAFUL

  WATEJA wa Benki ya CRDB sasa wanaweza kupata huduma za Bima zinazofata misingi ya Shariah, ijulikanayo kama Takaful baada...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani – (Picha +Video)

  RAIS Samia Suluhu Hassan Aprili 15, 2022 amekutana kwa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris karibu...

READ MORE