×

Habari

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho ya Miaka 30 ya Joseph Mbilinyi (Sugu)-Video

  Rais Samia leo Mei 31, 2022 ameshiriki maadhimisho ya miaka 30 ya Joseph Mbilinyi (Sugu) kuwa Msanii wa Hiphop...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Awasili Nchini Sweden Kuhudhuria Mkutano wa UN

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 31 Mei 2022 amewasili Stockholm...

READ MORE

Vijana Waliomaliza Kidato cha Sita 2022, Waitwa Kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria(PICHA+VIDEO)

JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limewaita vijna waliohitimu elimu ya Sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2022 kutoka shule zote...

READ MORE

Prof. Mbarawa Aruhusu Magari Kupita Barabara ya Juu Chang’ombe

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameruhusu kuanza kutumika kwa njia moja ya barabara ya Juu Chang’ombe ili...

READ MORE

Mamia Wajitokeza Kumzika Aliyepigwa Risasi na Mumewe Ilemela, Mwanza – Video

HATIMAYE mwili wa mwanamke Swalha Salum mkazi wa Buswelu wialayani Ilemela jijini Mwanza aliyeuawa kwa kupigwa risasi na mumewe wa...

READ MORE

Rais Samia Atoa Onyo kwa Watanzania Watakaokwenda Kufanya Biashara Haramu Nchini Qatar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa watanzania wanaofikiria kwenda kufanya huduma haramu nchini...

READ MORE

Waziri Nape Apongeza Vodacom, TBL Katika Jitihada za Kuinua Kilimo

  SERIKALI inaunga mkono jitihada za Kampuni ya Vinywaji vikali ya TBL na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mikononi...

READ MORE

Breaking News: Mambo ni Moto Simba, Kocha Pablo, Kocha wa Viungo Watimuliwa

  KLABU ya SIMBAimetangaza rasmi leo Mei 31, 2022, kuachana na Kocha wake Mkuu Pablo Franco na Kocha wa viungo...

READ MORE

Pauni 115m Kushusha Majembe Mawili United, Mambo Yameiva Kwa Kocha Mpya

  MANCHESTER United italazimika kutoa pauni 115m kwa wachezaji wawili ambao wanapewa kipaumbele katika usajili ujao.   Wachezaji hao ni...

READ MORE

Taasisi ya Dkt. Mengi Yakutanisha Watu Wenye Ulemavu Katika Kumbukizi ya Muasisi Wao

TAASISI ya Dkt. Mengi Maarufu kama Dr. Reginald Mengi Foundation imeandaa hafla ambayo imewakutanisha watu wenye ulemavu kama sehemu ya...

READ MORE

Rafiki Wa Mume Aliyempiga Risasi 7 Mke Wake Mwanza, Afunguka Mazito… – Video

 Global Tv imezungumza na rafiki wa mume wa Swalha, ambaye anatuhumiwa kuhusika na kifo cha mke wake huyo, kwa...

READ MORE

Hukumu ya Sabaya Yaahirishwa Kutolewa Juni 10, Wakili Wake Afunguka – Video

Hukumu ya Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake imeahirishwa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo Awasili Simiyu kwa Ziara ya Kikazi

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM) Daniel Chongolo amewasili leo Mkoani Simiyu akitokea Mkoani Shinyanga kuanza rasmi ziara...

READ MORE

Live: Mapya Yaibuka Sakata la Mume Kuua Mke, Kujiua, Sabaya Kutoka Au Kubaki Jela?

 Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi...

READ MORE

Vita vya Ukraine: Viongozi wa EU Wakubaliana Kupiga Marufuku Uagizaji Mafuta ya Urusi

  Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana juu ya mpango wa kuzuia zaidi ya theluthi mbili ya uagizaji wa mafuta...

READ MORE

Wydad Casablanca ya Morocco Yabeba Ubingwa Ligi ya Mabingwa Afrika -Video

 Wydad Casablanca ya Morocco wanafanikiwa kutwaa Ubingwa wa Club Bingwa Afrika kwa kuifunga 2-0 club ya Al Ahly ya Misri...

READ MORE

TADB Yaendesha Warsha ya Uwezeshaji Jinsia na Vijana Kiuchumi

    BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeandaa mpango mkakati wa kuwawezesha kiuchumi wanawake na vijana kwa kushirikiana...

READ MORE

Mwanajeshi wa Ukraine Ajitolea Kifo Ili Kuwaokoa Wenzake

  Picha za video zimeonesha mwanajeshi mmoja wa Ukraine aliyeamua kujitoa mhanga ili kuwazuia wenzake wasishambuliwe na majeshi ya Urusi...

READ MORE

Wanaovaa Nguo Fupi Wakamatwa,Wapigwa Faini Mifuko Mitano ya Saruji

KATIKA jambo ambalo sio la kawaida, kumeibuka mjadala mzito kwa baadhi ya wananchi wa wilaya ya Makete mkoani Njombe mara...

READ MORE

Meli Kubwa ya EGT Southern Cross Kubeba Makaa ya Mawe Kupitia Bandari ya Mtwara

  MELI ya MV. EGT Southern Cross inatarajia kusafirisha Tani 59960 za Makaa ya Mawe kwenda Amsterdam Uholanzi, hii ikiwa ni...

READ MORE

A-Z Mume Kuua Mke kwa Risasi 7

  Tukio la mauaji ya mwanamke aitwaye Swalha ambaye alikuwa akijishughulisha na masuala ya urembo (make-up artist) kuuawa na mumewe...

READ MORE

Mo Dewji: Najivunia Kuwekeza Simba, Tupo Nafasi Ya 12 Afrika

Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba Mohammed Dewji kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema kwa miaka mitano iliyopita ya...

READ MORE

Barua ya Rais Samia Yasomwa Bungeni, Ni Kuhusu Tuzo ya Babacar Ndiaye

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameliandikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, barua ya salamu za shukrani kuwashukuru wabunge kwa...

READ MORE

Soko la Vetenari, TAZARA Lateketea Kwa Moto Usiku wa Manane

SOKO la Vetenari lililopo maeneo ya Tazara jijini Dar es Salaam limeteketea kwa moto ulioanza majira ya saa nane za...

READ MORE

Chongolo Awaasa Wananchi Shinyanga Kutunza Miundombinu ya Maji

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Daniel Chongolo amewasihi wananchi hasa wanao jihusisha na shughuli za uchimbaji wa madini...

READ MORE

LIVE: BUNGE LIMEPAMBA MOTO, WABUNGE WANAIULIZA SERIKALI MASWALI MAGUMU

KARIBU utazame kikao cha Bunge la 12, leo Mei 30, 2022 wabunge wanaendelea na utaratibu wa kawaida wa kuibana Serikali...

READ MORE

Tasisi ya Jessy Foundation Yatoa Msaada Kituo Cha Watoto Yatima

Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Hidaya Mtaremwa mkazi wa kibada wilaya ya kigamboni Dar ea salaam amefunguka na kusema...

READ MORE

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Ashinda Tuzo ya Mtendaji Bora Barani Afrika 2022

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, mwishoni mwa wiki alitangazwa kuwa mshindi wa kipengele cha Afisa Mtendaji...

READ MORE

Nbc Yaandaa Chakula cha Jioni Kwa Ajili ya Wateja Wake,Wajadili Matarajio ya Mbele

BENKI ya NBC yaandaa Chakula cha Jioni kwaajili ya wateja wake katika hoteli ya Hyatt  Regancy  the Kilimanjaro jijini Dar...

READ MORE

Putin Ahimizwa Kufanya Mazungumzo ya Moja kwa Moja na Rais wa Ukraine Zelensky

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamemhimiza Vladimir Putin wa Urusi kufanya mazungumzo ya moja kwa moja  mazito na rais wa...

READ MORE

Diamond Apiga Shoo ya Kibabe Mwanza, Manara Apanda Stejini – (Picha+Video)

  Usiku wa kuamkia leo Mei 29, 2022 staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul “Diamond Platnumz” amefanya shoo yake katika...

READ MORE

Mo Awapongeza Yanga, Ataka Uamuzi Mgumu Ufanyike Simba Kusonga Mbele

Baada ya mchezo huo, Rais wa Heshima wa Simba, Mohamed Dewji, aliandika kwenye mtandao wa kijamii kwamba: “Hongereni watani! Huu...

READ MORE

Swissport Yatangaza Gawio Kwa Wanahisa Wake la Sh. 29.8

Kampuni ya usafirishaji wa mizigo ya swissport imetangaza gawio kwa wanahisa wake la Shilingi 29.8 kwa hisa kwa mwaka 2021...

READ MORE

Benki ya Exim Yakabidhi Msaada wa Madawati 100 Shinyanga

BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya Sh milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dkt Mwinyi Akutana na Jumuiya ya Wahindu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Mei 28, 2022 amekutana na Jumuiya...

READ MORE

Kijana Apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma ya Kumbaka Aliyemuahidi Kumuoa

MAHAKAMA ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe imemsomea shtaka la ubakaji kijana Faison Alimajani Sanga (19) mkazi wa kijiji cha...

READ MORE

Amref Yasisitiza Umuhimu wa Kupata Chanjo Ya Uviko-19

MKURUGENZI MKUU  wa Program ya  Kudhibiti na kuzuia magonjwa Amref Health Africa Tanzania Dkt.Rita Mutayoba amesema kuwa  Tanzania kwa ufadhili...

READ MORE

DC Gondwe Asisitiza Usafi Kinondoni ni Kila Siku na Ada ya Usafi ni kwa Kila Familia

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Godwin Gondwe ameongoza kwa mfano katika zoezi la usafi lililofanika maeneo ya Kata ya Wazo,...

READ MORE

Mtendaji Atuhumiwa Kumiliki Genge la Uhalifu, Wananchi Wataka Kuteketeza Familia Yake

MTENDAJI wa Kijiji cha Idunda Kata ya Yakobi mjini Njombe Otimali Mbangala maarufu kwa jina la Mtendaji wa Tanzania ameibuka...

READ MORE

Trump: Acheni Kutoa Misaada Ukraine, Angalieni Usalama wa Wanafunzi Wetu Kwanza

RAIS wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema Marekani lazima iachane na matumizi ya pesa yasiyokuwa ya lazima ya kuisaidia...

READ MORE