×

Habari

Wanahisa Benki ya NMB Waidhinisha Gawio Bil. 96.7

  Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Sh 96.7 bilioni kwa mwaka 2021, huku wakiwa na imani kubwa...

READ MORE

ZIC, Wadau Wandesha Mafunzo ya Bima

Zanzibar; Mei 5, 2022: Shirika la Bima Zanzibar (ZIC) kwa kushirikiana na wadau wengine visiwani humo limeendesha mafunzo ya kujenga...

READ MORE

Waziri Mkuu Akemea Utiririshaji wa Maji Machafu kutoka Viwandani na Kwenye Migodi

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amekemea tabia ya utiririshaji wa maji machafu na majitaka kutoka viwandani na kwenye migodi kwani...

READ MORE

Kim Kiduku: Mkorea Mbabe wa Makombora ya Nyuklia Yanayoitikisa Marekani -Video

  Kim Jong Un, ni rais mbabe kutoka Korea ya Kaskazini. Ni mbabe kwelikweli. Anachojivunia zaidi ni makombora ya nyuklia...

READ MORE

Umoja wa Waandishi Wanawake wa Binti Shupavu Wagawa Taulo za Kike na Kutoa Somo

    UMOJA wa waandishi wa habari wanaounda kundi la Binti Shupavu wametoa wamezungumza na mabinti wa Shule ya Msingi...

READ MORE

SBL Kuwawezesha Vijana Kushiriki Kwenye Sekta ya Kilimo

    Kampuniya Bia ya Serengeti (SBL) imesema itaendelea kuwawezesha vijana ili waweze kuwa na ushiriki mpana zaidi katika kilimo....

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

JIpatie nakala ya Gazeti la Spoti Xtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS...

READ MORE

Viongozi wa Skauti Wakutana na Waziri wa Elimu, Kufanyika Mkutano Mkuu Julai

  Mkutano Mkuu wa SKAUTI umepangwa kufanyika tarehe 2 Julai 2022 Jijini Dodoma ukiwa na agenda kubwa ya uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Madiwani wa Viti Maalum Dar, Wacharuka Kupinga Ukatili wa Kijinsia Nchini(PICHA+VIDEO)

  MADIWANI wa vita maalum katika Mkoa wa Dar es Salaam wamesimama kidete kupinga ukatili unaoendelea dhidi ya watoto wakiomba...

READ MORE

Mauaji ya Kikatili Yamzeesha Mkuu wa Wilaya ya Njombe

MKUU wa Wilaya ya Njombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Kissa Kasongwa ametangaza vita kwa...

READ MORE

Wananchi Tabora Watakiwa Kusajili Watoto Wao ili Kupatiwa Vyeti vya Kuzaliwa

Wananchi wa Mkoa wa Tabora wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwasajili watoto wao ili wapate vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo...

READ MORE

Mke Amkata Mumewe Sehemu za Siri kwa Wembe, Ashikiliwa na Jeshi la Polisi Ruvuma

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Mwanamke mmoja ajulikanaye kwa jina la Hellen Mchahuru (40) kwa tuhuma za kumjeruhi kwa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM, Chongolo Atoa Maagizo Viboko Wavunwe Wilaya ya Busega

  KATIBU MKUU wa Chama cha mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amezitaka Mamlaka zinazohusika na uhifadhi wa wanyamapori kuwavuna viboko...

READ MORE

Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 30 kwa Kosa la Kumbaka Mwanafunzi

MAHAKAMA ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe imemuhukumu Faison Sanga ( 19 ) mkazi wa Makwaranga Kata ya Ipelele kutumikia...

READ MORE

Hamisa Aunguka “Endeleeni Kubana Pua Mkinisema Vibaya Mapambano Yanaendelea!”

  HAMISA Hassan Mobeto; ni mmoja wa wanawake warembo na mastaa nchini Tanzania. Wiki iliyopita, mbali na Kajala Masanja kukubali...

READ MORE

Watu Tisa Wakamatwa na Viungo vya Binadamu Mkoani Kigoma

JESHI LA POLISI mkoani Kigoma imewatia mbaroni watu tisa wakituhumiwa kujihusisha na usafirishaji na uuzaji wa viungo vinavyohisiwa kuwa ni...

READ MORE

Mahakama Yawachia Huru Washtakiwa Watano Akiwamo Mkurugenzi wa Udart, Kisena

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewachia huru washtakiwa watano akiwamo Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Usafirishaji wa Mabasi yaendayo...

READ MORE

Shilole Amlilia Rais Samia Ataka Sheria Mpya Mauaji ya Wanawake

SHILOLE au Shishi Baby; ni mwanamama anayefanya Bongo Fleva na mjasiriamali ambaye kuhusu kukithiri kwa mauaji ya wapenzi hasa wanawake,...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yashirikiana na Samaki Samaki Kuwazawadia Wateja

    Dar es Salaam, 3 Juni 2022. Vodacom Tanzania Plc, kampuni inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano nchini,...

READ MORE

TMA Yatoa Tahadhari ya Upepo Mkali kwa Siku Tano, Lindi, Mtwara, Tanga, Dar na Pwani

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) leo imetoa tahadhari ya upepo mkali unaotarajiwa kutokea kwenye siku tano zijazo katika...

READ MORE

Baba, Mama, Mtoto Wapata Ulemavu, Baba Asimulia Alivyokatwa Mguu – Video

 Familia ya Mzee Edimundi Malya (63) Mkazi wa Buza Jijini Dar es Salaam ambayo imejikuta katika majonzi mazito baada...

READ MORE

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Afunguka Urusi Kuteka 20% ya Nchi Yake

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema kuwa vikosi vya Urusi vimeteka 20% ya eneo la nchi yake, wakati uvamizi wa...

READ MORE

Nape: Kampuni za Simu Acheni Kutuma Ujumbe Ambao Mteja Hajaomba, Hii tabia Ikome

  Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye ametaka makampuni ya mawasiliano nchini kuacha mara moja tabia...

READ MORE

NBC Yatoa Gawio la Tsh Bil 4.5 kwa Serikali

Dodom, 3 Juni, 2022 – Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba amepokea gawio la shilingi bilioni 4.5 linalotokana na uwekezaji wa Serikali...

READ MORE

UVCCM: Asante kwa Kazi Kubwa Rais Samia, Piga Kazi Mama

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM limeaziamia kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu...

READ MORE

Makamu wa Rais Ashiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa Nchini Sweden

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 2 Juni 2022 ameshiriki...

READ MORE

Serikali Kuandaa Kanuni za Udhibiti wa Bei ya Dawa na Vifaa Tiba

SERIKALI ipo mbioni kuandaa kanuni za kudhibiti bei za dawa nchini na tayari rasimu ya kanuni hizo zimeshawasilishwa kwa Mwanasheria...

READ MORE

Watu 6 wa Familia Moja Mkoani Songwe Wanasakwa na Polisi kwa Uharibifu wa Mazingira

MKUU wa Mkoa wa Songwe, Omary Mgumba amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi kuwatafuta popote pale walipo watu sita (6)...

READ MORE

Wizara ya Afya Yanuia Kuongeza Kasi ya Matumizi ya Chanjo ya Uviko-19

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu leo Juni 02, 2022 amezindua zoezi la kuongeza kasi ya matumizi ya chanjo ya Uviko...

READ MORE

Rais Samia Afungua Mkutano wa Mwaka wa Chama cha Makatibu Mahsusi(PICHA+VIDEO)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefungua Mkutano wa Mwaka wa Makatibu Mahsusi kutoka mikoa mbalimbali...

READ MORE

Urusi Yatangaza Majaribio ya Makombora ya Nyuklia, Baada ya Marekani Kutoa Roketi

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imetangaza kuanza kwa mazoezi ya kijeshi ya kile kinachoitwa Kikosi cha Makombora cha Kimkakati –...

READ MORE

Tundu Lissu: Serikali Imenilipa Mafao Yangu ya Ubunge Baada ya Kutumikia Miaka Mitatu

  MAKAMU mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amesema Serikali imemlipa kiinua mgongo chake aliochukuwa anadai baada ya kutumikia nafasi ya...

READ MORE

Exim Yakutana na Wateja Wake Shinyanga

                   

READ MORE

Kufuatia Sakata la Mtoto wa Miaka 8 Kuuawa, Wazazi Waibua Mazito – Video

SAKATA la mtoto mwenye umri wa miaka 8 anayedaiwa kunyongwa na msichana wa kazi eneo la Kimara Temboni mtaa wa...

READ MORE

Breaking News: Makada 19 wa Chadema Waachiwa Huru na Mahakama Mwanza

Viongozi na wanachama 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walioshtakiwa kwa madai ya kufanya fujo wakati wa ibada...

READ MORE

Waziri wa Nishati Awasilisha Bajeti Yake Bungeni, Agusia Maboresha ya Umeme Vijijini

WAZIRI wa Nishati January Makamba ametoa hotuba ya makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha...

READ MORE

Dada wa Kazi Adaiwa Kumuua Mtoto kwa Kumnyonga Kimara, Dar… Anaswa na CCTV Kamera

DADA wa kazi anadaiwa kumuua Mtoto Erickson Kimaro (8) kwa kumnyonga. Tukio hilo limetokea Mei 30, 2022 eneo la Kimara...

READ MORE

Airtel Yaja na Tesa Kimilionea Inaendelea, Kutoa RAV4, Mil 10 na Mil 1 Kila Siku

    DAR ES ALAAM, Jumatano Juni 2022: Airtel Tanzania leo imetangaza TESA KIMILIONEA INAENDELEAAAA ambapo kwa sasa wateja na...

READ MORE

Equity Bank Tanzania Wazindua Kampeni ya Karibu Memba

    LEO Benki ya Equity imezindua kampeni yake mpya iitwayo Karibu Memba ambapo Mkuu Wa Kitengo Cha Uendeshaji Wa...

READ MORE

EWURA Yatangaza Punguzo la Bei ya Mafuta Ambalo Halijawahi Tokea Nchini, Petroli Sh2,994

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), leo Jumanne Mei 31, 2022  imetangaza bei kikomo za bidhaa...

READ MORE