×

Habari

Zaidi ya Mchezo, Meridianbet Missions Ni Mfumo wa Mafanikio

Ndani ya soko linalokua kwa kasi mtandaoni, Meridianbet inaendelea kujitofautisha kwa kuleta mifumo inayomweka mtumiaji katikati ya uzoefu. Kupitia Meridianbet...

READ MORE

Fahamu Nguvu ya USS Abraham Lincoln, Ngome ya Kijeshi ya Marekani Baharini – Video

USS Abraham Lincoln (CVN-72) ni meli kubwa ya kivita ya Marekani aina ya aircraft carrier (meli ya kubeba ndege za...

READ MORE

Fursa Kubwa kwa Watanzania: Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Zinatangazwa

Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, kwa kushirikiana na Almah Travel and Tours Company Limited, imetangaza fursa...

READ MORE

China Yapiga Marufuku Hidden Door Handles kwenye Magari

China imetangaza rasmi kuzuia matumizi ya milango ya gari yenye hifadhi iliyojificha (hidden door handles), hatua inayoweza kuathiri mtindo wa...

READ MORE

Washington Yatuma Dola Milioni 500 Kusaidia Huduma za Umma Venezuela

Marekani sasa imekamilisha marejesho ya dola milioni 500 zilizotokana na mauzo ya mafuta ya Venezuela, kama sehemu ya makubaliano mapya...

READ MORE

Prof. Shemdoe Akutana na Mkurugenzi wa Azania Kujadili Maeneo ya Ushirikiano

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekutana...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya  Mazungumzo  Na Waziri Wa Mambo  Ya  Nje Fedha  Na Taasisi  Ya  Kuke Ya Poland

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Fedha pamoja...

READ MORE

Nmb Yakabidhi Vifaa Vya Mil 105, Shule na Hospitali Manyara

Mkuu wa wilaya ya Hanang Alimish Hazali (kulia) akikabidhiwa benchi na Meneja wa Benki ya Nmb Kanda ya Kaskazinid ,Ladislaus...

READ MORE

Pep Guardiola Azungumzia Mauaji Marekani, Israel, Ukrane – Video

Pep Guardiola amesema atatumia nafasi yake kama mmoja wa watu wanaosikilizwa zaidi duniani kuzungumzia “maumivu” anayohisi kuhusu waathiriwa wa migogoro...

READ MORE

Taarifa ya Polisi Kuhusu Kundi la Uasi Mwanza – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetoa wito kwa wananchi kuzipuuza taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zenye kichwa cha...

READ MORE

Rais Samia Akizungumza Jambo na Makamu Rais wa UAE

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Fursa za Uwekezaji Tanzania Mbele ya Viongozi wa Dunia

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa hakikisho la miundombinu bora ya uwekezaji nchini kwa wawekezaji duniani, akisema Tanzania imewekeza vema...

READ MORE

Makamu Nchimbi Kwenye Mazishi ya Munde Tambwe Tabora

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, amewasili katika Kata ya Cheyo, Manispaa ya Tabora mkoani...

READ MORE

Rais Kiir Awafutia Kazi Wasaidizi Wawili Baada ya Kuteua Marehemu

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, amewafuta kazi wasaidizi wake wawili waandamizi kufuatia kashfa ya kumteua mtu aliyefariki miaka mitano...

READ MORE

Ndege ya Iran Yadunguliwa na Jeshi la Marekani Karibu na Meli ya Kivita

Jeshi la Marekani limedungua ndege isiyo na rubani (drone) ya Iran baada ya kukaribia kwa umbali hatari meli ya kivita...

READ MORE

Utafiti Mpya Wabaini Pombe Haramu  kuhatarisha Afya Za Wananchi 

Tanzania Kugharimu Zaidi ya Shilingi Trilioni 1 za Kitanzania Dar es Salaam, Februari 5, 2026: Pombe haramu zinaendelea kuwa tishio...

READ MORE

Mtoto wa Gaddafi Auwawa Kwa Shambulio na Watu Wenye Silaha Libya

Saif al-Islam Gaddafi, mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Libya marehemu Kanali Muammar Gaddafi, ameripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la ghafla la...

READ MORE

EWURA yatangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Februari 2026

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya...

READ MORE

Mambo 8 ya Kujua Kabla ya Kuchukua Gari la Kukodi ‘Usifanye Makosa’

Kukodisha gari kumekuwa suluhisho rahisi kwa watu wengi wanaosafiri kikazi, kitalii au kwa matumizi ya muda mfupi. Iwe unasafiri ndani...

READ MORE

Mbeto: Usinunue Nyumba, Kiwanja Znz Kienyeji ni vema wakajiridhisha Mamlaka

WATU wanaotaka kununua nyumba, shamba au kiwanja Zanzibar wametakiwa kutokufanya hivyo holela ni vema wakajiridhisha mamlaka husika ili kuondoa sintofahamu...

READ MORE

Balozi Na Bodi Ya Utalii Uganda Watembelea Kituo Cha Polisi Utalii Arusha

Balozi wa Uganda Nchini Tanzania katika Ofisi ndogo za Arusha, Anne Katusiime leo Februari 03, 2026 ameongoza ujumbe wa Bodi...

READ MORE

Marekani Yafunga Ubalozi Nchini Burundi, Rwanda na Uganda

Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwemo Burundi, Rwanda,...

READ MORE

Serikali Yakaza Kudhibiti Mikopo ya Riba Kubwa Kulinda Wananchi

Naibu Waziri wa Fedha, Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali kudhibiti mikopo yenye riba kubwa...

READ MORE

Benki Kubwa Tanzania Zifanikisha Faida Ya Kihistoria, NMB na CRDB Kila Moja Sh1 Trilioni!

Benki za NMB na CRDB zimeendelea kuimarisha nafasi yao kama vigogo wa sekta ya benki nchini Tanzania baada ya kuripoti...

READ MORE

”Prof Mkumbo na Mimi Tulifukuzwa CHADEMA” – Baba Levo – Video

Msikilize Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Chipando almaarufu Baba Levo alivyowavunja mbavu wabunge wakati akisimulia jinsi yeye na Waziri Kitila...

READ MORE

Watanzania Watakiwa Kushiriki Kudhibiti Silaha – Video

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka watanzania wote kushiriki katika jukumu la udhibiti na usimamizi wa...

READ MORE

Moto Mkubwa Wazuka Iran, Mvutano na Marekani Ukiendelea – Video

Moto mkubwa umezuka katika soko la Jannat Abad lililopo magharibi mwa mji mkuu wa Iran, Tehran, na kusababisha hofu kubwa...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akutana Na Naibu Mkurugenzi Wa Fao Kuimarisha Ushirikiano Wa Sekta Ya Kilimo

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation Yaweka Makambi Ya Afya Bure Zanzibar

Zanzibar, Tanzania, Februari 4, 2026: Nchini Tanzania, magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa afya ya jamii, huku takribani...

READ MORE

Mixx Yazindua ‘Mchango’ Kurahisisha Usimamizi wa Michango

Dar es Salaam, 4 Februari 2026 – Wakati familia zinapokabiliwa na dharura za kiafya, jamii inapoandaa shughuli za misiba, au...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Mpango wa Matrekta 10,000 Kuinua Sekta ya Kilimo

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana...

READ MORE

Rais Samia Aanza Ziara ya Kikazi Dubai, Afanya Mazungumzo na Viongozi

Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jumanne, Februari 3 ameanza ziara ya kikazi Nchini Dubai,...

READ MORE

JK Kwa Mfalme Mswati Kujadili Upatikanaji Wa Fedha Za Miradi Ya Afya

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi Jakaya Mrisho...

READ MORE

Marekani Yapunguza Ushuru kwa Bidhaa za India Baada ya Makubaliano Mapya

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza rasmi kwamba Marekani na India wamefikia makubaliano ya kibiashara yanayolenga kuboresha uhusiano wa uchumi...

READ MORE

Wamiliki wa Mabasi NBS, Hood Wafariki, Sekta ya Mabasi Yapata Pigo – Video

Mfanyabiashara Nassor Hamdan Seif, maarufu kama Mzee NBS, mmiliki wa mabasi ya NBS Tabora, amefariki dunia jana katika Hospitali ya...

READ MORE

Simba Yatoa Tamko Baada ya Kukwama Kutinga Robo Fainali CAF

UONGOZI wa Simba  umewaomba mashabiki kutokata tamaa wala kuivunjia adabu timu hiyo mara baada ya matumaini ya kukata tiketi kutinga...

READ MORE

Mahakama Kuu Yaiamuru Serikali Kumlipa Bilioni 3.22 Mmiliki wa Jengo Lililobomolewa Mbezi

Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi, imewaamuru aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Manispaa...

READ MORE

Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC

Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tchisekedi kwa ajili ya...

READ MORE

Prof. Shemdoe Ateta na Nmb Uboreshaji Mchakato wa Utoaji wa Mikopo ya Asilimia 10

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OWM- TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekutana...

READ MORE

Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al...

READ MORE