×

Habari

Iran Yakubali Mapigo! Yaomba Mazungumzo na Marekani – Video

Iran imesema iko katika hatua ya kutathmini masharti ya kurejea kwenye mazungumzo ya nyuklia na Marekani, huku pande zote zikionyesha...

READ MORE

Madai Mazito Yafichuliwa Kati ya Familia Ya Trump na Mwanamfalme – Video

Ripoti mpya ya uchunguzi iliyochapishwa na gazeti la The Wall Street Journal imeibua mjadala mkubwa wa kisiasa na kiusalama, baada...

READ MORE

Bima ya Afya Kwa Wote Imelenga Makundi Maalum ya Kimkakati

Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amesema mpango wa Bima ya Afya kwa Wote umejikita kuyafikia makundi maalum ya kimkakati ikiwemo...

READ MORE

Serikali Yaahidi Kuimarisha Uhuru wa Mahakama, Nchimbi Asisitiza Haki na Uwajibikaji

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kwa kutambua umuhimu wa Mahakama katika...

READ MORE

Rais Samia Aondoka Nchini Kuelekea UAE Kushiriki WGS 2026 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiondoka nchini kuelekea Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)...

READ MORE

Mamia Wajitokeza Siku ya Kwanza Uchunguzi wa Bure Hospitali ya Kairuki

ZAIDI ya wananchi 500 wamepatiwa huduma ya uchunguzi wa maradhi mbalimbali na ushauri wa bure katika siku ya kwanza ya...

READ MORE

Fungua Mlango wa Ushindi Na Naga Games Ndani Ya Meridianbet

Unajisikia vipi ukiwa na nafasi ya kushinda kila siku? Meridianbet inachukua hatua nyingine ya kipekee kwa kuleta Naga Games, jukwaa...

READ MORE

Mwanaheri Atoa Ujumbe Mzito Baada ya Kuolewa ‘Bwana nnae na natamba nae’

Msanii wa Bongo Movie, Mwanaheri maarufu kwa jina la Madam Simba, amefunguka kwa furaha baada ya kuolewa rasmi, tukio lililowagusa...

READ MORE

Serikali Yatenga Bilioni 30 Kujenga Vituo Vya Afya Vya Kimkakati Katika Majimbo 120

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI), anayeshughulikia afya Dkt. Jafar Seif,...

READ MORE

Dkt. Lazaro Bunungu Achukua Fomu Kuwania Ubunge Peramiho – Video

Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Lazaro Komba Bunungu, amechukua rasmi fomu...

READ MORE

Kimenuka Arusha, Wananchi Wafunga Barabara – Video

Wananchi wa Mtaa wa Migungani Kata ya Sokone One jijini Arusha wamefunga barabara ya kuelekea Mnara wa Voda Sombetini baada...

READ MORE

Shabiki Ampiga Ngumi Mangungu – Video

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu jioni ya leo ameingia kwenye ‘kashkash’ baada ya shabiki wa Simba kutaka kumshushia...

READ MORE

Simba Yachechemea Ligi ya Mabingwa Baada ya Sare ya 2 – 2

Dakika 90 za mchezo mkali wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Espérance Sportive de Tunis zimekamilika...

READ MORE

Waziri Mkuu Asisitiza Umuhimu wa Maadili na Mshikamano Katika Jamii

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na...

READ MORE

Bibi Clotilda Amshukuru Rais Samia Kwa Kuokoa Maisha Yake

Bibi Clotilda Isidory Kokupima, mkazi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, amemtembelea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala...

READ MORE

Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC Kupinga EU

Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la...

READ MORE

Uber Yatangaza Kuondoka Nchini, Huduma Yasitishwa Januari 30, 2026

Kampuni ya kimataifa ya usafirishaji, Uber, imetangaza rasmi kusitisha huduma zake nchini kuanzia Januari 30, 2026, siku ambayo tangazo hilo...

READ MORE

Mechi za Pesa Leo: Serie A, EPL & LaLiga Meridianbet

Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia...

READ MORE

Video: Mbunge Shigongo Atoa Hoja Muhimu Bungeni, Apongeza Rais Samia

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo Alhamisi ya Januari 29, 2026 alipata nafasi ya kuchangia hoja bungeni ambapo alishauri mambo mengi...

READ MORE

Marekani, Israel Zakanusha Kuhusika na Milipuko Iran – Video

Marekani na Israel zimekanusha kuhusika kwao na mlolongo wa milipuko ya ajabu iliyotikisa maeneo tofauti nchini Iran mwishoni mwa wiki,...

READ MORE

Askari Wapya JWTZ Wahitimu Mafunzo

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amefunga rasmi Mafunzo ya Askari wapya katika hafla iliyofanyika katika viwanja...

READ MORE

Rais Samia Atunukiwa Tuzo ya Kiongozi Mwenye Maono

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibuka kinara wa Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Yakabidhi Zawadi Ya Fedha Tzs Milioni 48

Ikihitimisha Kampeni ya “Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa” Benki ya Absa Tanzania imekabidhi zawadi kwa washindi wa kampeni...

READ MORE

Rais wa Iran Azishutumu Marekani, Israel na Ulaya Kuhusiana na Machafuko

TEHRAN, Iran – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amezishutumu vikali Marekani, Israel, na baadhi ya mataifa ya Ulaya kwa kutumia...

READ MORE

Nafasi za Kazi 30: Customer Care na Assistant Supervisor – Tuma Maombi Sasa!

Je, unatafuta nafasi ya kazi yenye changamoto na fursa za ukuaji? Kampuni yetu inatafuta wafanyakazi wenye motisha na umahiri wa...

READ MORE

Nyumba Mpya ya Kisasa Inauzwa Mapinga – Hati Miliki, Bei Poa!

NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MAPINGA Eneo: Mapinga, kilomita 1 tu kutoka Bagamoyo Road Bei: Milioni 150 (maongezi yapo) Ukubwa...

READ MORE

Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2025, Ufaulu Wapanda Hadi 94.98% – Video

Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato...

READ MORE

Mwigulu Kumuwakilisha Rais Samia Hafla ya Utoaji Tuzo za Uhifadhi na Utalii

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 31, 2026 amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo...

READ MORE

UNDP Tanzania Yawazawadia Wanafunzi Wajasiriamali

Ni 20 Zaidi ya Shilingi Milioni 70 Kupitia Awamu ya Pili ya Programu ya Youth Ignite Student Founders Fellowship Dar...

READ MORE

🇨🇦 Study & Work in Canada Exhibition

On-the-Spot Admissions with Our Trusted Partner Canadian Public Universities & Colleges 📍 Serena Hotel, Dar es Salaam Meet 15+ representatives...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Nilivyoshinda Kesi Ya Wizi Niliyosingiziwa, Mbinu Hizi Zilinisaidia Sana

Siku ile maisha yangu yalibadilika ghafla. Nilipokea habari kuwa nimeshingiziwa wizi niliokuwa sijufanya, na dunia yangu iliumia kwa hofu isiyoelezeka....

READ MORE

Afrika Kusini Yamfukuza Balozi wa Israel, Yampa Saa 72 Kuondoka

Serikali ya Afrika Kusini imempa Balozi wa Israel nchini humo, Ariel Seidman, makataa ya saa 72 kuondoka nchini kwao, kufuatia...

READ MORE

Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu...

READ MORE

Tume ya Taifa ya Uchaguzi Yateua Mbunge na Diwani wa Viti Maalumu

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi katika kikao chake kilichofanyika leo Januari 30, 2026 imefanya uteuzi wa Ndugu. Beng’i Mazana...

READ MORE

Mbinu Nilizotumia Kumaliza Mapenzi Kati ya Mume Wangu na Hausigeli Wetu

Niligundua kwa hofu kubwa kwamba mume wangu alikuwa akihusiana kimya kimya na househelp yetu. Kila ishara ilionekana kuwa ni ya...

READ MORE

Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu...

READ MORE

Rais Dkt. Mwinyi: Mwezi Wa Ramadhan Si Kisingizio Cha Kupanda Kwa Bei Za Bidhaa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa hakuna uhaba wa bidhaa...

READ MORE

Meridianbet Yagusa Maisha ya Wananchi Kinondoni Kupitia Msaada wa Kijamii

Meridianbet imeendelea kudhihirisha wajibu wake kwa jamii kwa kutekeleza zoezi la utoaji wa msaada wa vyakula kwa familia zenye uhitaji...

READ MORE

Serikali Yatenga Sh. Bilioni 2 Kusaidia Watengeneza Maudhui Mitandaoni

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji wa...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latoa Taarifa Kuelekea Mchezo wa Yanga na Al Ahly Kesho

Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Young Africans SC...

READ MORE