×

Habari

Polepole Ataka Serikali Iwajibu Wanaohoji Deni la Taifa Awamu ya Tano – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amewataka viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza na kuwajibu watu wanaohoji kuhusu...

READ MORE

Polepole Aitwa Kujieleza TCRA “Siwezi Kunyamazishwa” – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema ameitwa na Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kujieleza kuhusu tuhuma zinazomkabili huku akidaiwa...

READ MORE

Polisi Kilimanjaro Wateketeza Mashamba ya Mirungi

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro leo tarehe...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idd Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa...

READ MORE

Wanandoa Watupwa Jela kwa Kutesa Mtoto Wao

MWANAUME mmoja na mke wake wa pili wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia...

READ MORE

“Sisi Ndio Tunapaswa Kulaumiwa” – Naibu Waziri Silinde

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI) David Ernest Silinde, amefurahishwa na fedha zilizotolewa na Rais Samia Suluhu kwa...

READ MORE

Mume Amuua Kikatili ‘Mchepuko’ Wa Mkewe-Video

Mkazi wa Kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Juvenal Claudi (20) ameuawa kwa kukatwa kwa kile kinachodaiwa kuwa...

READ MORE

Waziri Mhagama Awataka Wenye Viwanda Kuimarisha Afya, Usalama na Maslahi ya Wafanyakazi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama, ametoa wito...

READ MORE

TIPER Wataja Dawa Kudhibiti Kupaa kwa Bei za Mafuta Nchini

    KAMPUNI ya Kuhifadhi Mafuta Tanzania (TIPER), imesema upo wezekano wa kudhibiti kupanda kwa bei za mafuta ya petroli...

READ MORE

Ajali Ndani ya Hifadhi ya Mikumi Yaua Mmoja

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Joseph, Mkazi wa Makambako mkoani Iringa amefariki dunia huku wengine wawili wakijeruhiwa katika...

READ MORE

Aliyebeti kwa Pesa za Bosi Zikaliwa Yamkuta

KIMEUAMA! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya raia wa Kenya, Robert M’munoru mwenye umri wa miaka 20 kutoka Kaunti ya...

READ MORE

Benki ya BADEA Kuipa Tanzania Tsh Trilioni 7

Benki ya Maendeleo ya Kiarabu (BADEA) imeahidi kuipatia Tanzania mikopo yenye masharti nafuu pamoja na misaada inayokadiriwa kufikia dola za...

READ MORE

Maelekezo ya TCU kwa Waliotunukiwa Shahada za Heshima

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema kuwa shahada za heshima nchini Tanzania zinatolewa nana vyuo vikuu vinavyotambulika na vilivyoorodheshwa...

READ MORE

Wasifu wa CDF Jenerali Mabeyo JWTZ

Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa Februari...

READ MORE

Mara: Wanaotuhumiwa Kumuua Mwalimu Wakamatwa

JESHI la Polisi Mkoani Mara limefanya Operesheni maalumu kwenye Halmashauri zote na kukamata watuhumiwa 22 wakiwemo Wawili ambao wanahusishwa na...

READ MORE

Faru Rajabu Mtoto wa Faru John Kuoa Kenya – Video

MTOTO wa Faru John, maarufu kama Faru Rajabu huenda akapata ‘jiko’ jingine siku za hivi karibuni baada ya Rais Samia...

READ MORE

Rais Samia Amzawadia Kenyatta Korongo 20 – Video

Rais Samia Suluhu Hassan, amempa Rais Kenyatta ndege 20 aina ya Korongo kutokana na Kenya kuwa na idadi ndogo ya...

READ MORE

Njombe: Mwili wa Marehemu Wafukuliwa – Video

IKIWA ni siku chache tu baada ya Jeshi la Polisi Mkoani Njombe kutangaza kupatikana kwa baadhi ya viungo vya mwili wa mfanyabiashara...

READ MORE

Bunduki 5,000 Kuchomwa Moto Dar

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene anatarajiwa kuziteketeza kwa moto silaha zaidi ya 5,000 zilizokua zinamilikiwa kiholela....

READ MORE

Jela Miaka 14 kwa Kutorosha na Kubaka Binti

KIJANA, Hamad Ali Hamad (25) mkazi wa Chake Chake, Pemba ameanza kutumikia kifungo cha miaka 14 gerezani baada ya kupatikana...

READ MORE

Pablo Rasmi Awaondoa Mugalu, Lwanga

RASMI Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, amemuondoa mshambuliaji Chris Mugalu na kiungomkabaji, Taddeo Lwanga katika mfumo wake kuelekea...

READ MORE

Jaji Mkuu Awasajili Mawakili Wapya 313

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amekubali na kuwasajili mawakili wapya 313 katika sherehe ya 65 ya kuwakubali na...

READ MORE

THE ROCK’, BTS Wakimbiza Tuzo Za People’s Choice

  Washindi wa Tuzo za People’s Choice kwa mwaka 2021, wametangazwa katika usiku wa ugawaji wa tuzo hizo uliofanyika Desemba...

READ MORE

Vodacom Yawaongezea Wafanyakazi Wake Likizo ya Uzazi ya Miezi Minne

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia ( wapili kushoto ) akichangia mada kwenye kongamano la siku...

READ MORE

Uswizi Kupitisha Matumizi ya Kifaa cha Kujitoa Uhai

SERIKALI ya Uswizi ipo mbioni kuidhinisha matumizi ya kifaa maalum cha kusaijia kujitoa uhai kinachoitwa “Sarco Capsule”. Kifaa hicho kimetengenezwa...

READ MORE

Monalisa Alamba Uteuzi, Sasa Ni Balozi Rasmi Wa Bodi Ya Filamu Nchini-Video

MUIGIZAJI wa filamu Tanzania, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ ameteuliwa kuwa balozi wa bodi ya filamu nchini. 

READ MORE

Watu 53 Wafariki kwa Ajali ya Lori

TAKRIBANI watu 53 wamefariki dunia na wengine 58 kujeruhiwa kufuatia lori walilokuwa wakisafiria kupata ajali mbaya baada ya kugonga daraja...

READ MORE

#Miaka60YaUhuru: Silaha na Vifaa vya Kivita JWTZ

Onesho la silaha na vifaa vita na umahiri wa vikosi vya ulinzi na usalama vikipita mbele ya Rais na Amiri...

READ MORE

Boris Johnson na Carrie Wapata Mtoto Mwingine Ndani ya Miezi 20

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson na mkewe Carrie Johnson wametangaza kuzaliwa kwa binti, mtoto wao wa pili tangu awe...

READ MORE

Rais Aidhinisha Waziri Mkuu Ajiuzulu

RAIS wa Burkina Faso Roch Marc Christian Kabore amekubali kujizulu kwa Waziri Mkuu Christophe Dabire na serikali yake. Kujiuzulu kwa...

READ MORE

Afariki Siku 10 tu Baada ya Kuwasili Uarabuni Kufanya Kazi za Ndani

FAMILIA moja Mjini Mombasa nchini Kenya inaomboleza kifo cha binti yao kilichotokea siku 10 tu baada ya kutua nchini Saudi...

READ MORE

Kortini kwa Kutafuna Pesa Alizotumiwa Kimakosa M-Pesa

MWANAMAMA Nancy Chonge Chepkwemoi nchini Kenya ameshtakiwa kwa tuhuma za kuiba pesa alizotumiwa kimakosa kupitia simu kutoka kwa Vincent Maina...

READ MORE

Msukuma Atoa Neno Wanaobeza Phd Yake

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Musukuma, amesema kwamba kuhusu watu wanaobeza PhD yake mitandaoni atalizungumzia jambo hilo...

READ MORE

Makomando Wakishuka Kwenye Helikopta kwa Kamba – (Picha + Video)

KUTOKA Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es salaam, pichani ni matukio mbalimbali ya Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)...

READ MORE

Marais Wanne, Wastaafu Wahudhuria Sherehe za Uhuru

MARAIS wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru zinazoendelea sasa...

READ MORE

Makomando Mbele ya Rais Samia – Video

  Makomando Wa JWTZ (Wanamaji na Nchi kavu) wakipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri...

READ MORE

Aliyepata Mafunzo ya Al Shabaab Ajilipua Kenya

Mshukiwa wa Ugaidi nchini Kenya ambaye Polisi wanadai alipewa mafunzo na Al Shabaab, John Odhiambo Ondiek amefariki baada ya kujilipua...

READ MORE

Mwanafunzi Ahukumiwa kwa Kutoa Mimba

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Nyandeo (jina linahifadhiwa), amehukumiwa kifungo cha nje mwaka mmoja baada ya...

READ MORE