×

Habari

Rais Samia Aelekea Nchini Misri Kwa Ziara Ya Siku 3

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo November 10, 2021 ameondoka nchini kuelekea Cairo Misri kwa...

READ MORE

Ajiua kwa Kujichoma Moto Kisa Mkewe Kamkimbia

MOJA ya taarifa za kusikitisha iliyotolewa jana ni ile inayohusu mwanaume mmoja Jijini Mbeya amejichoma kwa moto mwili mzima hadi...

READ MORE

Tanzania Yaishinda Kenya Kwa Mapato Ya Utalii

Sekta ya Utalii nchini Tanzania inachangia Dola za Marekani Bilioni 2.6 katika uchumi wa nchi ikilinganishwa na Kenya ambako inachangia...

READ MORE

Rais Samia Kwenda Cairo Misri Kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho November 10, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo Misri...

READ MORE

#Breaking: Ghorofa Lawaka Moto Kenya – Video

MOTO mkubwa umelipuka na kusababisha taharuki miongoni mwa wakazi wa eneo la Matopeni Kayole baada ya jengo refu la ghorofa...

READ MORE

Babu wa Miaka 70 Akiri Kumlawiti Mtoto

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba limemdaka mzee (70) anayejulikana kwa jina la Sanani Seif Juma mkazi wa Chamboni,...

READ MORE

Vodacom Tanzania Plc Yashinda Tuzo Kwenye Wiki ya Azaki

MENEJA Uhusiano wa Vodacom Tanzania Plc Alex Bitekeye (kushoto) akionyesha tuzo ambayo kampuni ya Vodacom Tanzania Plc ilikabidhiwa baada ya...

READ MORE

Rais Mwinyi Akutana na Sanjay Dutt Ikulu Zanzibar

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Novemba 9, 2021 ameupongeza ujio...

READ MORE

 Watu 115 Wazikwa Pamoja

WATU 115 walifariki katika mlipuko wa tenki la mafuta siku ya Ijumaa, nchini Sierra Leone wanazikwa kwa pamoja katika mji...

READ MORE

Watoto 25 Wafariki Kwa Kuungua Moto Niger

WATOTO  25 wenye umri kati ya miaka mitano na sita wamefariki dunia  Novemba 9, 2021 baada ya darasa lao lililojengwa...

READ MORE

Pingamizi la Mbowe Lagonga Mwamba

JAJI Joachim Tiganga ametupilia mbali pingamizi lililowekwa na upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Serikali Kuruhusu Biashara ya Usafirishaji Wanyamapori Nje ya Nchi

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amesema Serikali itaondoa zuio la biashara ya usafirishaji wa wanyamapori...

READ MORE

Nape Ataka Deni la Taifa, Mikopo Awamu ya Tano Ichunguzwe – Video

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, ameitaka Serikali kufanya ukaguzi kuhusu Mikopo iliyokopwa na Serikali katika kipindi cha awamu ya...

READ MORE

Joto Laongezeka Tanzania, Kilimanjaro Ndio Usipime

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuongezeka kwa vipindi vya joto nchini Tanzania ambavyo vitaendelea hadi Desemba 2021...

READ MORE

TIRA, BOT Wavutiwa na Huduma Mpya ya Bima Benki ya Exim

Dar es Salaam; Novemba 08, 2021: Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima Nchini (TIRA) pamoja na Benki Kuu ya Tanzania...

READ MORE

Mjamzito Afariki kwa Ajali Akienda Kujifungua

MWANAMKE mmoja mjamzito amefariki dunia katika ajali ya kuogofya karibu na Hospitali ya Virgin kwenye barabara ya Kenol-Murang’a kaunti ya...

READ MORE

Binti Atupa Kitoto Kichanga cha Siku 1

MTOTO mchanga mwenye umri wa siku moja amekutwa amefariki dunia baada ya kutupwa kwenye kichaka na kufunikwa majani katika Kijiji...

READ MORE

Mama Mzazi wa Hamza Azikwa, Ndugu Ataja Kilichomuua – Video

Mama mzazi wa kijana Hamza Mohammed aliyewashambulia na kuwaua askari wanne kwa risasi kisha na yeye kuuawa kwa kupigwa risasi...

READ MORE

Mbowe Aweka Pingamizi Mahakamani

Mahakama Kuu ya Tanzania Divesheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi inatarajia kesho imepanga kutoa Uamuzi mdogo wa pingamizi...

READ MORE

Mwenyekiti Amuua Mkewe, Naye Ajinyonga

MWENYEKITI wa Kitongoji cha Urua chini, kijiji cha Mfuruashe wilayani Rombo, Agustine Moshi (35) anadaiwa kumuua mkewe, Anastasia Agustine (31)...

READ MORE

CHADEMA Yasusia Uchaguzi Ngorongoro

TAARIFA KWA UMMA Katibu Mkuu John Mnyika ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuitaarifu rasmi kuwa Chadema hakitashiriki...

READ MORE

Mwanza: Watano wa Familia Moja Wafariki Ajali ya Moto

WATU watano wa familia moja wamefariki dunia, baada ya nyumba waliokuwa wakiishi kuteketea kwa moto wakati wakiwa wamelala usiku wa...

READ MORE

Soko la Gikomba Lateketea kwa Moto

MOTO mkubwa umeteketeza upande mmoja wa Soko la Gikomba jijini Nairobi na kuharibu mali ya thamani isiojulikana mapema leo Jumatatu,...

READ MORE

Shahidi wa nane kesi ya kina Mbowe leo

BAADA ya mapumziko ya weekend, leo Jumatatu, Novemba 8,2021 kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Bastola ya Marekani Ilivyokamatwa Tanga

Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga, limekamata Bastola aina ya Trurus ambayo imetengenezwa nchini Marekani, ikiwa na risasi 5 pamoja...

READ MORE

Korea Kaskazini Yafyatua Makombora Tena

KASKAZINI Kaskazini imefanya zoezi la kufyetua mizinga ili kuimarisha uwezo wake wa ulinzi. Haya yameripotiwa jana na shirika la habari...

READ MORE

Musiba Akata Rufaa Hukumu ya Tsh. Bilioni 6 za Membe

MMILIKI wa vyombo vya habari vya Tanzanite, Cyprian Musiba, ameazimia kwenda Mahakama ya Rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda...

READ MORE

Mama Mzazi wa Marehemu Hamza Afariki Dunia

MAMA mzazi wa kijana  Hamza Mohammed aliyeshambulia na kuua askari wanne kwa risasi kabla ya yeye kuuawa kwa kupigwa katika...

READ MORE

Watu Watano Wadaiwa Kupotea Lindi

WATU watano wakazi wa Kijiji cha Rutamba Halmashauri ya Mtama wanadaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), wamepotea...

READ MORE

Haile Selasile: Mfalme Aliyeuawa na Kutupwa Chooni!

Haile Selassie akiwa na umri wa miaka 13 tu, alipewa ukuu wa mgambo, wakati siku hizi kijana wa miaka 30...

READ MORE

GGML Yaendeleza Kusaidia Upasuaji Midomo Sungura

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Rafiki Surgical Mission ya Australia kwa mara nyingine mwaka huu...

READ MORE

Muonekano Mpya wa Soko Kuu la Kariakoo

Picha za litakavyokua Soko jipya la Kariakoo baada ya ujenzi wake kukamilika zimeachiwa ikiwa gharama ya ujenzi wote itakua TZS...

READ MORE

Bashungwa Ampokea Mkongwe wa Filamu za Kihindi, Sunjay Dutt

    WAZIRI wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Innocent Bashungwa amempokea hapa nchini msanii mkongwe wa filamu kutoka nchini...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha NEC Ikulu, Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 7,...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha Pereira Silima Kuwa Balozi wa Tanzania Comoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuapisha, Pereira Ame Silima kuwa Balozi wa Tanzania katika Jamhuri...

READ MORE

Waliokufa Kwa Mlipuko wa Lori la Mafuta Sierra Leone Wafikia 99 -Video

Idadi ya watu waliokufa nchini Sierra Leone baada ya lori la kubeba mafuta kulipuka imefikia watu 99. Ajali hiyo ilitokea...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Iraq Anusurika Kuuawa

Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Khadhimi, amenusurika jaribio la mauaji lililofanywa kwa kutumia ndege zisizo rubani zenye silaha zilizoyalenga makaazi...

READ MORE

Washindi wa Shindano la DJ Compee, Take a Bite Out of Life Wakabidhiwa Zawadi Zao

      ARUSHA. Bia pendwa ya Serengeti Lite imehitimisha shindano lake la DJs lililopewa jina la Take a Bite...

READ MORE

Huyu ndiye Mopao Mokonzi? Je, atapona? Tusubiri!

JINA lake halisi ni Antoine Christophe Agbepa Mumba lakini wengi tunamjua kwa jina la Koffi Olomide au Le Grand Mopao...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Novemba 7, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 7, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE