×

Habari

Bibi Harusi Agundua Mumewe Hana Miguu Baada ya Kufunga Ndoa

MAPENZI ni upofu na Waswahili wanasema kipenda roho hula njama mbichi! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio lililogusa mioyo ya...

READ MORE

Maajabu: Tiger Afanyiwa Birthday

Nakuvutia huu uzi kutokea pande za Texas Marekani, ambapo mnyama aina ya Tiger aliyepewa jina la Elsa amefanyiwa sherehe ya...

READ MORE

Rais Samia: Kitabu Kitafsiriwe kwa Kiswahili – Video

Rais Samia ameagiza Chama Cha Wanasheria na Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) na Wadau wa sheria kutafsiri kitabu cha ‘TANZANIA GENDER...

READ MORE

BOT Kuchukua Hatua Matumizi Mabaya ya Noti

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imetoa onyo kwa Wananchi ambao wanakaidi onyo ambalo limetolewa mara kadhaa kuhusu namna sahihi ya...

READ MORE

Breaking: Mahakama Yaamua Musiba Kumlipa Membe Bilioni 6

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania,  imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa aliyekuwa Waziri mambo ya nje, Bernard Membe...

READ MORE

Bodi ya Filamu Yawapongeza Wasanii Bongo Muvi Kuteuliwa Kuwania Tuzo Za Kimataifa

      BODI ya Filamu imewapongeza wasanii wa Bongo Muvi kwa kufanikiwa kuchaguliwa kuwania tuzo za filamu za kimataifa...

READ MORE

Naibu Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Aitembelea SBL

NAIBU balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Rick Shearn na Kemi Williams, Mkurugenzi wa Maendeleo wa ubalozi wa Uingereza wakiwa katika picha...

READ MORE

Mama Alivyomzika Mwanaye wa Miezi 3

NI dhambi iliyoje? Mtoto mchanga wa kike mwenye umri wa miezi mitatu (Malaika wa Mungu), amenusurika kifo baada ya kuzikwa...

READ MORE

Makocha Wanne Kumrithi Solskjaer Man U

KLABU ya Manchester United imewaweka makocha wanne kwenye uangalizi ili waweze kuchukua nafasi ya kocha wao wa sasa Ole Gunnar...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Kampeni ya Madawati 1000 ya Benki ya Exim

LINDI; Oktoba 26, 2021: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, hii amezindua rasmi kampeni ya ugawaji madawati 1000 yaliyofadhiliwa na Benki ya...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kuvunja TV ya Mama Yake

KIJANA Ronald Kipkemboi kutokea nairobi nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha miezi sita na mahakama nchini humo mara baada ya kuvunja...

READ MORE

Rais Samia Awazawadia Viwanja Wachezaji Twiga Stars – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewapa zawadi wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake,...

READ MORE

Benki ya NBC Yaja na Kadi Mpya, Mteja anaweza kufanya miamala hadi ya mil 40 kwa mara moja

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kadi mpya ‘NBC Visa Debit Card’ yenye kuwawezesha wateja binafsi kufanya miamala inayofikia...

READ MORE

GGML Yakabidhi Vifaa, Zana za Thamani ya Milioni 132 kwa VETA Moshi

Kampuni ya uchimbaji wa madini ya dhahabu Geita (GGML) imekabidhi rasmi zana/vifaa mbalimbali kwa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi...

READ MORE

Kijana Aliyejiuza Akamatwa

POLISI ya Kiislamu katika Jimbo la Kano inayofahamika kama Hisbah imemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 26 kwa jina Aliyu...

READ MORE

Tanzania Yatoa Leseni ya Uchimbaji Mkubwa wa Nickel

SERIKALI ya Tanzania leo Jumatano, Oktoba 27, 2021 imetoa leseni ya uchimbaji mkubwa wa madini kwa kampuni ya Tembo Nickel...

READ MORE

Waziri Jafo: Tanzania Imejidhatiti Katika Kujenga Uchumi Wa Kijani

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo amesema kuwa Tanzania imejidhatiti katika kujenga...

READ MORE

Mrembo Akiwasha “Barabara Mbovu Imeninyima Mume”

MREMBO mmoja amelalamika kuwa barabara mbovu inayounganisha jamii kadhaa katika eneo lake imemzuia kupata mume akidai kwamba wanaume ambao wanatakiwa...

READ MORE

Jela Miaka 15 Kwa Kuiba Ng’ombe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Makoye Juma (19) mkazi wa...

READ MORE

RPC Kinondoni Afunga Ushahidi Kesi ya Mbowe

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Kamshna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ramadhani Kingai ametoa ushahidi wa maelezo ya mshtakiwa...

READ MORE

Mpiga Picha wa Sabaya “Mbowe Alinipigia Simu Nikaonana Naye Usiku”

SHAHIDI wa pili upande wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Justine...

READ MORE

Familia ya Watoto 11 Wenye Majina Yenye Herufi Zinazofanana

Familia ya Gwenny Blanckaert na Marino Vaneeno imekuwa na utamaduni wa kipekee linapokuja suala la kuwapa majina watoto wao ambapo...

READ MORE

Anaswa Live Akifanya Mapenzi na Mbuzi

JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera linamshikilia Emmanuel Zakaria (38) Mkazi wa Lusahunga Wilayani Biharamulo Mkoani humo kwa kosa la...

READ MORE

Rais Samia Anakabidhiwa Kombe la COSAFA na Twiga Stars – Video

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Kombe la Ubingwa wa COSAFA kutoka kwa Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake...

READ MORE

Waliofanya Fujo Msafara wa Makamu wa Rais Wakamatwa

MAOFISA wa Polisi katika Mji wa Busia nchini Kenya, wamewakamata watuhumiwa nane wanaodaiwa kuhusika na vurugu zilizotokea Jumamosi katika ziara...

READ MORE

Mapya Yaibuka: Tukio la SunguSungu Kumuua Utingo wa Dangote – Video

Siku chache baada ya kutokea tukio la kikatili la sungusungu wa Mtaa wa Goroka A, Kata ya Tuangoma, Kongowe jijini...

READ MORE

Umoja Wa Ulaya ‘EU’, ZIFF Kuonesha Filamu Mikoa Minne

UMOJA wa Ulaya (EU), Nchini umezindua rasmi uoneshaji wa filamu mbalimbali ikiwemo zile zilizotwaa tuzo mwaka huu wakati wa tamasha...

READ MORE

Wamiliki wa Malori Waendelea Kumlilia Rais Samia

    Wanachama wa Chama cha Wamiliki Malori Wadogo na Wa kati nchini, Tanzania Medium and Small Truck Owners Association...

READ MORE

Wafugaji Wamshambulia Mwenyekiti

  WATU zaidi ya 20 ambao ni jamii ya wafugaji wanadaiwa kumshambulia Mwenyekiti wa Chama Cha Ushirika wa Wakulima wa...

READ MORE

Kijana Atupwa Jela Miaka 25 kwa Ku-Google Namna ya Kuua

Kijana Jamar Bailey (21) mkazi wa Birmingham amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 25 jela mahakama ya Birmingham Crown nchini...

READ MORE

Halopesa Yazindua Huduma Ya “Play & Win”

  Halotel Tanzania kupitia huduma yake ya HaloPesa, inawaletea wateja huduma nyingine bora inayowapa fursa ya kujishindia zawadi kabambe; HaloPesa...

READ MORE

Breaking: Ajali Yauwa Wawili Arusha – Video

Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la kampuni ya Kimotco ya jijini...

READ MORE

Mwanamke Kupata Mimba Akiwa na Mimba

SAYANSI inasitasita kuamini juu ya uwezekano wa mwanamke kupata ujauzito huku akiwa na ujauzito mwingine tayari.   Lakini visa vilivyowatokea...

READ MORE

Kingai Aeleza Mbowe na Makomando Walivyopanga Kumdhuru Sabaya

KESI ya Uhujumu Uchumi yenye Tuhuma za Ugaidi ndani yake inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mbowe...

READ MORE

Yanga Walifukuza Timu Nzima Mpaka Baba Yangu – Video

UONGOZI wa klabu ya Yanga, kupitia kwa ofisa muhamasishaji wake, Haji Manara, leo Oktoba 26, wamewasihi mashabiki na wapenzi wa...

READ MORE

Amuachia Ujumbe Mzito Mama Yake Kisha Kujinyonga

Kijana Michael Paul (18), mkazi wa Luanzari, Kata ya Ng’ambo, Manispaa ya Tabora, amekutwa amefariki dunia kwa kujinyonga na shuka...

READ MORE

BREAKING: Simba Yatangaza Kuachana na Kocha Wake

KLABU ya Simba imetangaza kuachana rasmi na Kocha wake Didier Gomes Da Rosa raia wa Ufaransa baada ya pande zote...

READ MORE

Mama Aliyejifungua Watoto 9 kwa Mkupuo Aanika Sura Zao

HABARI nyingine njema ambayo inakimbiza urimwenguni ni kuhusu mwanamke mmoja raia wa Mali, Halima Cisse, (26) ambaye mwezi Mei alijifungua...

READ MORE

Kituo cha Biashara na Hoteli Angani Kuzinduliwa

UNAAMBIWA Kampuni maarufu duniani ya Utalii wa angani ya Blue Origin ambayo inamilikiwa na bilionea wa dunia ambaye ni mmiliki...

READ MORE

Rais Samia Atoa Maagizo Wizara ya Fedha

Rais Samia Suluhu ameitaka Wizara ya Fedha na Mipango kufanya uratibu ujulikanao kama ‘Municipal Investment Financing’ ili kusaidia upatikanaji wa...

READ MORE