×

Habari

Anayedaiwa Kuua Watoto 10 kwa Kuwafyonza Damu Akamatwa

Polisi nchini Kenya wanamshikilia Masten Wanjala (20) anayedaiwa kuua watoto kwa nyakati tofauti aliokuwa akiwakuta wakicheza na kuwahadaa kisha kuwaua...

READ MORE

Mshangao! Ndama Azaliwa na Miguu Miwili

Maisha ya binadamu na viumbe wengine waliohai yanategemeana ndiyo maana tunasisitizwa kupanda miti ambayo inatupatia hewa ya oksijeni wakati huohuo...

READ MORE

RC Makalla Awataka Wakurugenzi Kuwawezesha Maafisa Ushirika

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es salaam...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mjumbe wa Mfalme wa Umoja wa Kiarabu

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 15, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Mfalme wa Umoja wa...

READ MORE

Rais Samia Kufanya Ziara ya Siku Mbili Burundi

Rais Samia Suluhu Hassan, kesho Julai 16, 2021 anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Burundi, kwa mwaliko...

READ MORE

Mafuriko Ujerumani Yaua Zaidi ya Watu 21

Takribani watu 21 wamefariki dunia huku wengine wengi wakiwa hawajulikani walipo, kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Magharibi...

READ MORE

RC Geita Aipongeza GGML kwa Kuwajengea Uwezo Wafanyabiashara Wadogo

    Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule ameupongeza uongozi wa Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu Geita- GGML kwa kushiriana...

READ MORE

Waziri Ummy: TARURA Msikae Maofisini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  Ummy Mwalimu amewaagiza Wakala wa Barabara Vijijini...

READ MORE

Majaliwa Aishukuru Benki ya Afrika

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameishukuru Benki ya Afrika (BOA) kwa jitihada zake za kuendelea kuisaidia Tanzania katika Sekta mbalimbali...

READ MORE

Shirika la Bima Zanzibar kutanua Huduma zake kupitia Shirika la Posta

  NA MWANDISHI WETU Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limeingia makubaliano ya kiutendaji na Shirika la Posta nchini (TPC)...

READ MORE

Waandamanaji Afrika Kusini Wapora Chanjo za Covid

Mamlaka ya Usimamizi wa Maduka ya Madawa Afrika Kusini (SACP), imeelezwa kusikitishwa kwake na vitendo vya waandamanaji nchini Afrika Kusini,...

READ MORE

CEOrt Waandaa Kongamano la Fursa ya Kukuza Uchumi

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye kongamano la wajumbe wa CEOrt...

READ MORE

Rwanda Yatangaza Siku 10 za ‘Lockdown’

SERIKALI ya Rwanda imetangaza marufuku ya kutoka nje ya muda wa siku 10 katika mji mkuu wa Kigali na wilaya...

READ MORE

Baba Ampa Mimba Mwanae wa Kumzaa, Alishampa Mwingine – Video

WASWAHILI wanasema ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni! Hebu vuta picha kichwani mwako, baba mzazi anafanya mapenzi kwa nguvu na...

READ MORE

Kirusi cha Corona Aina ya Delta Kinatajwa Kuwa ni Hatari

MKURUGENZI wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, ameonya kwamba ulimwengu uko katika “kipindi hatari” cha janga la...

READ MORE

Papa Francis Aruhusiwa Kutoka Hospitali

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Gemelli, Roma nchini Italia alikokuwa akitibiwa, zikiwa ni...

READ MORE

DPP Kuamua Hatma Hausiboi Aliyeua Familia Dar

JESHi la Polisi Mkoa wa Kinondoni limesema upelelezi kuhusu mauaji ya mama na watoto wake wawili wa kike umekamilika na...

READ MORE

Wateja Sabasaba Walivyovutiwa na simu Za TTCL

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepata mafanikio makubwa katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 45 ya sabasaba 2021,...

READ MORE

NBC Yashikilia Tuzo ya Taasisi za Fedha

Dar es Salaam. Benki ya NBC nchini Tanzania, imeendelea kuwa kinara kwa mara ya nne mfululizo katika maonyesho ya Kimataifa...

READ MORE

Wanafunzi 11 Geita Wafukuzwa kwa Kubainika na Makosa ya Jinai

Kufuatia matukio matatu ya moto katika Shule ya Sekondari Geita ndani ya siku saba na kusababisha wanafunzi watatu kujeruhiwa, maabara...

READ MORE

Geita Sekondari Yaungua Moto Mara ya Tatu, Yafungwa

SERIKALI imelazimika kuifunga kwa muda wa siku 14 Shule ya Sekondari Geita iliyoko mkoani Geita kutokana na matukio ya kuungua...

READ MORE

Mwanajeshi JWTZ Ajiua Juu ya Kaburi la Mkewe

ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Reginald Ruta amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa juu ya kaburi la...

READ MORE

Mwanajeshi JWTZ Akamatwa Kwa Tuhuma za Mauaji

Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Askari wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) wa chuo Cha mafunzo ya Kijeshi...

READ MORE

Chadema Yamgomea Msajili wa Vyama vya Siasa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitotoa maelezo juu ya malalamiko yaliyopelekwa kwa msajili wa vyama vya siasa na...

READ MORE

Naibu Waziri wa Viwanda Azindua Kinywaji Cha Kiwingu

Dar es Salaam Jumatano 14 Julai 2021: Kampuni ya KILIMANJARO BIOCHEM LIMITED inazindua kinywaji kipya aina ya pombe kali ya...

READ MORE

Ghasia Afrika Kusini: Vifo Vyafikia 72

WATU wapatao 72 wameuawa na zaidi ya watu 800 wamekamatwa katika ghasia hizo zilizoanza kama maandamano alhamisi iliyopita kupinga kwenda...

READ MORE

Joshua Nassari Azindua Duka la Vodacom Wilaya Bunda

  Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Joshua Nassari  amezindua duka la Vodacom wilayani humo mwishoni mwa wiki ambapo...

READ MORE

Tanzia: Gardiner Afiwa na Mama Yake

MTANGAZAJI maarufu nchini wa Traffic Jamz ya Clouds FM, Gardner G. Habash amefiwa na mama yake mzazi, Mama Habash.  ...

READ MORE

🔴#Live: Rais Samia Ashiriki Kongamano la Kumbukizi ya Hayati Mkapa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Ashiriki Katika Kongamano la Kumbukizi ya Rais wa Awamu...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Julai 13, 2021 kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje...

READ MORE

Waganga wa Jadi Wajenga Madarasa

WAGANGA 87 wa tiba asilia wamefanikiwa kujenga vyumba viwili vya madarasa kwa kutumia fedha zao za uganga, katika Shule ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Atua Morocco Kwa Ziara Ya Kikazi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  Julai 12, 2021 amewasili nchini Morocco kwa ziara ya kikazi. Katika uwanja wa Mohammed V jijini...

READ MORE

Mtaka: Msiwasikilize Sababu ya Uwaziri, Wanakula Viyoyozi – Video

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthon Mtaka amewataka wananchi wa Mkoa wa Dodoma kumsikiliza yeye katika suala la elimu kwa...

READ MORE

Global Publishers Yapokea Tuzo Sabasaba 2021

Kampuni ya Global Publishers Ltd leo Julai 13, 2021 imepokea Tuzo ya Heshima kwa kudhamini maonesho ya Kimataifa ya Biashara...

READ MORE

Makamu wa Rais Zanzibar Afunga Maonyesho ya Sabasaba – Video

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdullah leo Julai 13, 2021, amefunga rasmi maonyesho ya Sabasaba...

READ MORE

Kampuni ya Mafuta Yazuiwa Kuchukua Pesa Kwenye Benki

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imezuia kwa muda Kampuni ya Alchemist Energy Trading DMCC ya Dubai...

READ MORE

Wagonjwa 50 wa Corona Wafariki kwa Moto

Zaidi ya watu 50 wamekufa baada ya moto kuzuka katika wodi ya wagonjwa wa Corona katika hospitali nchini Iraq. Moto katika...

READ MORE

Zanzibar Yaanza Kutoa Chanjo ya Corona

Wahudumu wa afya visiwani Zanzibar wameanza kupokea dozi ya kwanza ya chanjo ya covid-19. Serikali ya Zanzibar imethibitisha kuwa dozi...

READ MORE

Uporaji, Machafuko Yaendelea Afrika Kusini

Maandamano yenye ghasia yameendelea nchini Afrika Kusini usiku kucha na Jumatatu asubuhi juu ya kufungwa jela kwa rais wa zamani...

READ MORE

Mke wa Rais wa Ghana Kurejesha Mkwanja wa Marupurupu

MKE wa rais wa Ghana anataka kurejesha fedha za marupurupu anayopatiwa tangu rais aingie madarakani mwaka 2017, baada ya wananchi...

READ MORE