×

Habari

Seth Aachiwa na Mahakama ya Kisutu, Kulipa Bilioni 26.9 -Video

MFANYABIASHARA Habinder Sethi, ameachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Juni 16, kwa sharti la kulipa Sh. 26.9...

READ MORE

Herbinder Seth Atakiwa Kutokutoka Nchini Kwa Kipindi Cha Mwaka Mmoja

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Kufua Umeme (IPTL), Herbinder Seth, aameachiwa huru baada ya kutakiwa kulipa fedha TSh.Bil 26.9 kama...

READ MORE

Rekodi za Ronaldo Zatikisa

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameendelea kuweka rekodi licha ya umri wake kuonekana kumtupa mkono baada ...

READ MORE

Wanandoa Wafariki Bafuni Afrika kusini

Wanandoa hao wapya Zaheer Sarang na Nabeelah Khan (24) wamefariki dunia kwa shoti ya umeme huko Afrika kusini ikiwa ni...

READ MORE

Mufti Mkuu wa Tanzania Atangaza Kutokuwa na Ibada ya Hijja – Video

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zuberi leo Juni 16, 2021 ametangaza kuwa hakutakuwa na ibada ya Hijja kutokana...

READ MORE

Breaking News: Viongozi Wa Uamsho Waachiwa Huru

Viongozi wawili kati ya 36 wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed na...

READ MORE

TB Joshua Kuzikwa Kanisani Julai 11 Lagos, Nigeria

Kanisa la Mhubiri kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu TB Joshua limetangaza siku na mahali atakapozikwa. Katika taarifa iliyotolewa...

READ MORE

Balozi wa Marekani Amtembelea Waziri Prof. Mkenda

Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda amemwambia Balozi wa Marekani nchini Dkt. Donald Wright kuwa Wakulima wa Tanzania wanahitaji uhakika...

READ MORE

Harmo Awafutia Kesi Kajala na Paula

HATIMAYEstaa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’, amefuta kesi aliyokuwa amemfungulia mpenzi wake wa zamani, Kajala Masanja pamoja na binti...

READ MORE

Rais Samia Aandaa Mkeka wa Wakuu wa Wilaya

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema atafanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya hivi karibuni na atawapa nafasi zaidi vijana...

READ MORE

Breaking: Mzee Matata Afariki Dunia

MWIGIZAJI wa Kikundi cha Maigizo cha Kashkashi kinachorusha mchezo wao wa kuchekesha wa Mizengwe kupitia Televisheni ya ITV, Jumanne Alela...

READ MORE

Wasanii Kuanza Kulipwa Mirahaba

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan leo Juni 15, amesema Serikali imeimarisha usimamizi wa hakimiliki za...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Akamilisha Zira Yake Pemba

Makamu wa Rais , Dkt. Philip Isdor Mpango, leo Juni 15, 2021 ametembelea ujenzi wa Nyumba za Makazi za Polisi...

READ MORE

Video: Rais Samia Azindua Meli 2 na Chelezo Bandari ya Mwanza

Rais Samia leo Juni 15, 2021 amezindua Chelezo 1 na Meli 2 zilizokarabatiwa katika bandari ya Mwanza (Ziwa Victoria) na...

READ MORE

Rais Samia Awatumbua DC Na Mkurugenzi Morogoro -Video

  Rais Samia Suluhu Hassan amewafuta kazi mkuu wa Wilaya ya Morogoro na mkurugenzi wa halmashauri hiyo baada ya kuchukizwa...

READ MORE

Rais Samia Ampa Shigongo Bilioni Tatu Za Maendeleo Buchosa -Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha zaidi ya shilingi bilioni tatu...

READ MORE

RC Hapi Amshukuru Rais Samia

MKUU wa mkoa wa Mara, Ally Hapi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea...

READ MORE

Mukoko Afichua Siri Yanga

KIUNGO wa Yanga, Mukoko Tonombe, amemuhakikishia Kocha Msaidizi wa AS Vita ya DR Congo, Raoul Shungu kuwa ataendelea kuitumikia Yanga...

READ MORE

Mrembo wa Mondi amtisha Zari

UBUYU wa ndani kabisa unadai kwamba, baby mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari...

READ MORE

Luhende Amtisha Tshabalala Simba

BEKI wa pembeni wa Kagera Sugar, David Luhende, amekubali kukaa meza moja na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba...

READ MORE

Aweso Atengua Kigogo wa Maji Sengerema

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amemtengua Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Sengerema, Mhandisi Robert Lupoja...

READ MORE

RC Morogoro Afungua Mafunzo ya Tathmini Kwa Madaktari

MKUU wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Martine Shigela amewaasa madaktari wanaohudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kufanya tathmini za ulemavu...

READ MORE

Waajiri Sekta Binafsi Sasa Kulipa Asilimia 0.6 Ya Michango ya Wafanyakazi

WAAJIRI kutoka Sekta Binafsi sasa watalipa asilimia 0.6 ya michango ya wafanyakazi wao kwenda Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi (WCF)...

READ MORE

Nimelea Vipaji Vingi Bongo Movies-Lamata

MTAYARISHAJI maarufu wa Tamthiliya Bongo, Lamata na mmoja wa waigizaji wake kwenye Tamthiliya ya Juakali, Dorah, leo wamezungumza mambo mengi...

READ MORE

Aliyemuua George Floyd Ahofia Visa Jela

OFISA mzungu wa Polisi wa Minneapolis nchini Marekani ambaye alimuua kikatili na kinyama Mmarekani mwenye asili ya Afrika, George Floyd,...

READ MORE

Alichosema Shigongo Mbele ya Rais Samia- Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo akizungumza mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu alipoenda kutembelea na...

READ MORE

Musukuma Ashauri Faini za Bodaboda Ziwe 2000

MBUNGE wa Geita Vijijini ,Joseph Kasheku Musukuma, amempongeza Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, kwa kupunguza tozo kwa madereva bodaboda...

READ MORE

Mwanza Kuwa Kitovu cha Biashara

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema sababu za Serikali kuimarisha huduma za kiuchumi mkoani Mwanza kwamba inalenga kufanya mkoa...

READ MORE

Fahamu CPR Huduma Iliyookoa Maisha ya Christian Eriksen

  MASHABIKI wa kandanda wiki iliyopita walipatwa na huzuni baada ya mchezaji wa timu ya taifa ya Denmark, Christian Eriksen...

READ MORE

Wahadhiri Wenye Miaka 65 Waendelee Kufundisha- Dkt Tulia

NAIBU Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, ameisisitiza Wizara ya Elimu kuhakikisha wanaliangalia upya suala la Wahadhiri ili waweze kuendelea...

READ MORE

Hukumu ya Mdude wa Chadema Yaahirishwa

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya imeahirisha kusoma hukumu ya kesi inayomkabili kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Kazi Kwenu: Vitu Vinauzwa Bei Chee, Yani Sawa na Bure

SEPCO BEDT COLLECTION AND AUCTIONEERING CO. LTD kwa wa idhini tuliyopewa na mteja wetu tutauza vitu mbalimbali kwa mnada wa...

READ MORE

Afya ya Rais Lungu Ipo Vizuri

RAIS wa Zambia Edgar Lungu amewahakikishia wananchi kwamba yuko vizuri kiafya baada ya kuzimia wakati  akihutubia mkutano wa hadhara, jana...

READ MORE

Walimu 1135 Wapandishwa Madaraja

WAZIRI Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),  Ummy Mwalimu, amesema tayari wameshawapandisha madaraja walimu 1135...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Rambirambi Kifo cha Prof. Baregu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan Ametuma salamu za rambirambi kuaaatia kifo cha Prof. Mwesiga Baregu...

READ MORE

Israel Yajiandaa Kuapisha Waziri Mkuu Mpya

ISRAEL  ipo katika maandalizi ya kuapishwa kwa serikali mpya ambayo itamfanya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuwa upande wa upinzani baada...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awapa Maagizo Wakuu wa Mikoa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Kilimo na Maafisa Ushirika nchini washirikiane katika...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Benki Kushusha Riba (Picha +Video)

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kushusha viwango vya riba vinavyotozwa na benki mbalimbali,...

READ MORE

Rais Samia Azungumza Na Wananchi Wa Pansiasi Mwanza (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Pansiasi Jijini Mwanza wakati akielekea kuzindua...

READ MORE

Breaking: Profesa Baregu Afariki Dunia leo Muhimbili

Mwanachama wa Chadema na mwanazuoni, Profesa Mwesiga Baregu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumapili Juni 13, 2021 katika Hospitali...

READ MORE